mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani bei wanapanga wao?Kuuzwa vitu bei ghali sana kuliko uhalisia
Nakipata kile kipindi yule jamaa sijui alienda wapi!? Alikuwa anaitwa sijui iddy pama kama sikosei,Kilikuwa linaitwa KISA NA MKASA
Mbona bado ipo inatumikaNini kimesababisha kufa kwa hii App, yaan ilikuja kasi sana.
Ukiuliza wenye nayo leo unaweza usiwapate kirahisi.
Jamaa utazani wanashirikiana na matapeli wateja wengi wanalalamika wao hawajaliTena wakainunua hadi Zoom Tanzania ikawa chini yao. Shida matapeli ndo wameiharibu. Na wanunuzi nao ni mazombie sana hivi unawezaje kununua kitu kwa mtu aliye mbali na mkoa uliopo afu unamtumia hela kabisa ilhali mzigo haujauona bado.
Kilichosababisha ni biashara kuhamia kwenye platform nyingine kama facebook na instagram.Nini kimesababisha kufa kwa hii App, yaan ilikuja kasi sana.
Ukiuliza wenye nayo leo unaweza usiwapate kirahisi.
Tanzania bado sana kwenye biashara utume hela alafu hutumiwe mzigo,sahauuu
Hata kupatana ipo ya bongo, Zambia, Malawi n. Kjiji ni ya kibongo
Hapana huwezi kufananisha web au App na mtu anaetumia Facebook kufanya boosting Facebook tangazo linamfikia mtu yoyote ambaye Hana hela au Hana mpango ila web au App mtu anaingia kutafuta akiwa na hela mkononi watu wanatumia sana google kutafuta bidhaaKilichosababisha ni biashara kuhamia kwenye platform nyingine kama facebook na instagram.
Ukumbuke social network ni rahisi zaidi kufikia wateja wengi tofauti na Kupatana. Pia kukosa ubunifu na Marketing strategies ilichangia pia.
Lazima umfanye mtumiaji wa application yako aitumie kila siku. Walishindwa kufanya hivyo. Yani ukishanunua kama ni Gari app unaisahau kabisa. Hii inasababisha app inakuwa na watembeleaji wachache tofauti na matangazo ambayo yanakuwa pushed na social network
Ni kweli uaminifu mdogo sijui kama inawezekana kama wenzetu wanachokifanya pesa ya mteja inashikiliwa mpaka mteja apate bidhaa yake kwanza pesa ndio inatokaTanzania bado sana kwenye biashara utume hela alafu hutumiwe mzigo,sahauuu
Lazima utapigwa tuuu
Watu wezi,dhuluma tu hawana ukweli..
Ova
Wewe ndio Umeongea point sasa! Tatizo kubwa kabisa ni user interface ha kupatana, angalia jjji ilivyo imepangiliwa vizuri na inaelewekaOnline platforms za kuuza na kununua zimeongezeka zaidi wakati Kupatana hawakutaka enda na wakati mfano hata user interface imekua ya hovyo kuliko mwanzo,
Sidhani kama utapeli ni sababu kwa sababu hata insta matapeli wamejaa na bado watu tunaitumia
Watanzania uaminifu mdogo sana...wachache sana ni wa kweliNi kweli uaminifu mdogo sijui kama inawezekana kama wenzetu wanachokifanya pesa ya mteja inashikiliwa mpaka mteja apate bidhaa yake kwanza pesa ndio inatoka
Insta,fb,whatsap group kote watu wezi tu...Ni kweli uaminifu mdogo sijui kama inawezekana kama wenzetu wanachokifanya pesa ya mteja inashikiliwa mpaka mteja apate bidhaa yake kwanza pesa ndio inatoka
Naunga mkono hojaKilichosababisha ni biashara kuhamia kwenye platform nyingine kama facebook na instagram.
Ukumbuke social network ni rahisi zaidi kufikia wateja wengi tofauti na Kupatana. Pia kukosa ubunifu na Marketing strategies ilichangia pia.
Lazima umfanye mtumiaji wa application yako aitumie kila siku. Walishindwa kufanya hivyo. Yani ukishanunua kama ni Gari app unaisahau kabisa. Hii inasababisha app inakuwa na watembeleaji wachache tofauti na matangazo ambayo yanakuwa pushed na social network
Duh!simu za wizi na vitu vya wizi viliuzwa sana hapo.kesi ostabey polisi zilikuwa nyingi kuhusu kupatana upande wa simu
Sana vitu vingi vilivyokuwa vikiuzwa huko,wanunuaji wengi waliishia polisisimu za wizi na vitu vya wizi viliuzwa sana hapo.kesi ostabey polisi zilikuwa nyingi kuhusu kupatana upande wa simu
Sasa ukitumiwa namba mwenye namba akigoma kuwekwa? 6K imeenda?Insta,fb,whatsap group kote watu wezi tu...
Hata wale wa sijui connection tuma 6000 nkutumie namba ya pisi kali nao matapeli tupu 😄
Ova