Nini kilisababisha Kufa kwa “Kupatana”

Nini kilisababisha Kufa kwa “Kupatana”

Kupatana.com mara ya mwisho mwisho mc pilipili alikuwa anaipromo sana kwny tv.
 
KUNA JAMAA ANASUKA SOCIAL NETWORK YAKE KAENI MKAO WA KULA, AMEWEKA MPAKA SEHEMU YA MARKETING
Unajua kwanini Aliexpress, Ebay, Amazon zipo hadi leo? Kwasababu mteja amehakikishiwa usalama wa pesa yake. Hizi platform za kuuza bidhaa lazima kuwe na mtu wa kati anayelinda maslahi ya wote, muuzaji na mnunuzi.

Nikiuziwa bidhaa tofauti na yaliyoandikwa kwenye description ninaweza kucomplain na nikafanyiwa refund. Nikituma hela sijapata mzigo uhakika wa kupata pesa yangu ipo.

Sijui jamaa yako amejipangaje ila akae akumbuke hata uwe na site yenye interface nzuri kiasi gani kama hakuna ulonzi wa pesa ya mteja ni sawa sawa na bure. Site itapoteana kama walivyopoteana kupatana.
 
Kuna jamaa nilimtumia hela anipe laptop 1.3 m akanipiga tatizo alichochemka alitumia namba ya mtu wake wa karibu,wahuni tukakausha kama mwezi tukamtafuta jamaa kujifanya tunataka bidhaa ,akajiloga tukutane mwenge tulimminya mpaka akatupa mteja wetu baada ya kichapo akaomba tumpe muda aripe akatoa 500k ,wahuni tukajua hii ntolee tukamwita mwamba flani akaliwa marinda tukamtema.

Hii pia kwenye matapeli wa madini ya spinel moro asee vijana wamepasuliwa sana malinda na wahuni ,mwanzo wameliza sana watu
 
Mm kuna jamaa tulikuwa tunatest mitambo na jamaa wangu, kuhusu mabando mwamba ana matangazo ya bando GB30 15,000. Mm nikajisema hii kitu haiwezekan🤣.

Nikamchek mwanangu fln ivi tutest mitambo. Mwamba akakubal kutia hela. (Mind you, apo jamaa tushamfatilia Insta tunaona wateja wanamshkuru sana, nika Mdm dada fln akaniambia uyu jamaa yuko makini) Alooo. Tumelizwa

Uyu jamaa nimesema lazma aingie 18 zangu. Tunamzibua.

Anajiita fahe_bundles IG km unasoma hii post kimbia dar. Umekula pesa ndogo but gharama itakuw kubwa kumbe unaliza wengi
 
Mm kuna jamaa tulikuwa tunatest mitambo na jamaa wangu, kuhusu mabando mwamba ana matangazo ya bando GB30 15,000. Mm nikajisema hii kitu haiwezekan🤣.

Nikamchek mwanangu fln ivi tutest mitambo. Mwamba akakubal kutia hela. (Mind you, apo jamaa tushamfatilia Insta tunaona wateja wanamshkuru sana, nika Mdm dada fln akaniambia uyu jamaa yuko makini) Alooo. Tumelizwa

Uyu jamaa nimesema lazma aingie 18 zangu. Tunamzibua.

Anajiita fahe_bundles IG km unasoma hii post kimbia dar. Umekula pesa ndogo but gharama itakuw kubwa kumbe unaliza wengi
Si ndio wahuni huwa haturuhusu arudie popote
 
Mm kuna jamaa tulikuwa tunatest mitambo na jamaa wangu, kuhusu mabando mwamba ana matangazo ya bando GB30 15,000. Mm nikajisema hii kitu haiwezekan🤣.

Nikamchek mwanangu fln ivi tutest mitambo. Mwamba akakubal kutia hela. (Mind you, apo jamaa tushamfatilia Insta tunaona wateja wanamshkuru sana, nika Mdm dada fln akaniambia uyu jamaa yuko makini) Alooo. Tumelizwa

Uyu jamaa nimesema lazma aingie 18 zangu. Tunamzibua.

Anajiita fahe_bundles IG km unasoma hii post kimbia dar. Umekula pesa ndogo but gharama itakuw kubwa kumbe unaliza wengi
Kwann hawashughulikiwi
 
Kupatana ilikufa mara baada ya kubadilisha mfumo wakidhani wanaboresha na kumbe wanaboa watumiaji. Ilivyo kuwa na mfumo wa zamani ilikuwa rahisi sana kuitumia hivi sasa app yao ni nzito sana na kama iko oudated hivi kwa kukosa simplicity. Sasa hivi wengi tumehamia facebook market.
Hizi feedback huwa hawazipati
 
Unajua kwanini Aliexpress, Ebay, Amazon zipo hadi leo? Kwasababu mteja amehakikishiwa usalama wa pesa yake. Hizi platform za kuuza bidhaa lazima kuwe na mtu wa kati anayelinda maslahi ya wote, muuzaji na mnunuzi.

Nikiuziwa bidhaa tofauti na yaliyoandikwa kwenye description ninaweza kucomplain na nikafanyiwa refund. Nikituma hela sijapata mzigo uhakika wa kupata pesa yangu ipo.

Sijui jamaa yako amejipangaje ila akae akumbuke hata uwe na site yenye interface nzuri kiasi gani kama hakuna ulonzi wa pesa ya mteja ni sawa sawa na bure. Site itapoteana kama walivyopoteana kupatana.
Kwenye swala hili mwanasheria anahitajika bila hivyo wateja na wafanyabiashara watashikana mashati kila siku
 
Tena wakainunua hadi Zoom Tanzania ikawa chini yao. Shida matapeli ndo wameiharibu. Na wanunuzi nao ni mazombie sana hivi unawezaje kununua kitu kwa mtu aliye mbali na mkoa uliopo afu unamtumia hela kabisa ilhali mzigo haujauona bado.
Mkuu mbona huwa tunanunua kikuu, Alibaba n.k na mizigo unafika?!
 
Back
Top Bottom