KUNA JAMAA ANASUKA SOCIAL NETWORK YAKE KAENI MKAO WA KULA, AMEWEKA MPAKA SEHEMU YA MARKETINGNini kimesababisha kufa kwa hii App, yaan ilikuja kasi sana.
Ukiuliza wenye nayo leo unaweza usiwapate kirahisi.
Jamaa utazani wanashirikiana na matapeli wateja wengi wanalalamika wao hawajali
Huwa hawaishi mpaka Dunia inarudi.Ivi kwan kuna wajinga walikua wanatuma hela
Bei za kule nilikuwa nashangaa sana,Kuuzwa vitu bei ghali sana kuliko uhalisia
Tatizo ni usimamizi wa mauziano. Watu wananunua magari yakiwa Japan bila hata kuonana au kuongea na muuzaji. Mimi nimenunua vitu vingi tu kupitia app ya AliExpressTena wakainunua hadi Zoom Tanzania ikawa chini yao. Shida matapeli ndo wameiharibu. Na wanunuzi nao ni mazombie sana hivi unawezaje kununua kitu kwa mtu aliye mbali na mkoa uliopo afu unamtumia hela kabisa ilhali mzigo haujauona bado.
Mr right?Nje ya mada Kuna kile kipindi cha kupatanisha watu EATV sijui kwa nini yule master aliamua kuacha kilikuwa kipindi kizuri kweli
Ni Chanel Ten kikiongozwa na Frank Mtao mume wa kwanza wa Chuchu Hansi anayeishi na Ray Kigosi. Aliwapatanisha Zay B na Sister P ikashindikana live. Then Dudu Baya na Mr.NiveNje ya mada Kuna kile kipindi cha kupatanisha watu EATV sijui kwa nini yule master aliamua kuacha kilikuwa kipindi kizuri kweli
Ni Chanel Ten kikiongozwa na Frank Mtao. Aliwapatanisha Zay B na Sister P ikashindikana live. Then Dudu Baya na Mr.Nive
dotto ushawahi kuuza au kununua kitu Kupatana??
Nilikuita usome, halafu siku ingine we have this discussion, not here.dotto ushawahi kuuza au kununua kitu Kupatana??
Simu za wiziUtapeli wa salers
Unazungumzia tems and condition? Kwani watanzania huwa wanasomaMbona wametoa angalizo kwenye site yao pale kuwa mtu asitume hela mpaka apate mzigo. Wanunuzi ndo hawajielewi.
All and all wabongo na biashara za online bado sana.
Matangazo ndani ya matangazo.Nini kimesababisha kufa kwa hii App, yaan ilikuja kasi sana.
Ukiuliza wenye nayo leo unaweza usiwapate kirahisi.
Nmekikumbuka nlikuwa nacheka sana. Kuna ugomv alienda patanisha anaowapatanisha wakamzinguaKilikuwa kinarushwa EATV mwamba alikuwa anapatanisha ndugu,jamaa na marafiki waliogombana kilikuwa kinavutia sana
Unazungumzia tems and condition? Kwani watanzania huwa wanasoma
Sawa ndugu yangu..ngoja nikutumie kitu about this...Nilikuita usome, halafu siku ingine we have this discussion, not here.