Nini kilitokea B-hits

Nini kilitokea B-hits

Ndo hivyo, na producer akiwaringia tu wanahama. Tatizo hata maproducer wenyewe hawana umoja wala ushirikiano wowote. Wanaburuzwa na wasanii
- Hebu fikiria Alikiba eti anakosana na Abydady kwa kuwa kawarekodia Wasafi ( Mavoko ) yaani mtu ana biashara yake kwaajili yake na familia yake halafu hutaki ahudumie baadhi ya wateja wakati wewe mwenyewe unarekodi bure!
Usiniambie kuwa abydady na kiba haziivi kwa sasa.
Basi kwa mwendo huo diamond hawezi record kwa man walter pia.
 
Usiniambie kuwa abydady na kiba haziivi kwa sasa.
Basi kwa mwendo huo diamond hawezi record kwa man walter pia.
Abydady na Kiba hawapikiki chungu kimoja tangu enzi za Kokoro

- Kuhusu Wasafi kurekodi kwa Man Water hilo haliwezekani kwa sasa maana Man Water mwenyewe amekuwa FRONT TeamKiba anaongea na Media na kutumia mitandao kurusha vijembe kwa wasafi tena kwa chuki kalii kwasababu tu ya ukaribu wake na Kiba
 
Abydady na Kiba hawapikiki chungu kimoja tangu enzi za Kokoro

- Kuhusu Wasafi kurekodi kwa Man Water hilo haliwezekani kwa sasa maana Man Water mwenyewe amekuwa FRONT TeamKiba anaongea na Media na kutumia mitandao kurusha vijembe kwa wasafi tena kwa chuki kalii kwasababu tu ya ukaribu wake na Kiba
Hii imetoka kuwa biashara na kuwa vita.
Sema producers wangekaa neutral bila upande
 
Hii imetoka kuwa biashara na kuwa vita.
Sema producers wangekaa neutral bila upande
Maproducer Kukaa Neutral ndo hawawezi wanaona kama watachukiwa na msanii kama ilivyotokea kwa Abydady, kwasababu ukimrekodia mmoja mwingine anaweka beef
 
Maproducer Kukaa Neutral ndo hawawezi wanaona kama watachukiwa na msanii kama ilivyotokea kwa Abydady
Itawacost maana biashara yangu na yako kama haingiliani hauko label kwanini nisiwe neutral
 
Itawacost maana biashara yangu na yako kama haingiliani hauko label kwanini nisiwe neutral
Yaani kuna maproducer wanafanya kazi nzuri lakini wanaishi kwa hisani ya wasanii ( Wao ndo wanajisikia wakutoe kiasi gani )
 
Yaani kuna maproducer wanafanya kazi nzuri lakini wanaishi kwa hisani ya wasanii ( Wao ndo wanajisikia wakutoe kiasi gani )
Kitambo nilishasikia master jay analalamika kuwa wao kama wao hawana ushirikiano.
Ukikataa kumrekodia mtu bure au kwa bei chee kesho anaenda studio ya huko uswahilini unashangaa katoa wimbo ume hit na bure kabisa na wasanii wote wanahamia huko
 
Kitambo nilishasikia master jay analalamika kuwa wao kama wao hawana ushirikiano.
Ukikataa kumrekodia mtu bure au kwa bei chee kesho anaenda studio ya huko uswahilini unashangaa katoa wimbo ume hit na bure kabisa na wasanii wote wanahamia huko
Ndo hivyo Msanii anambeba Prodyuza ndo maana wanaringa. Msanii akiwa anarekodi kwa prodyuza mchanga, huyo prodyuza anakuwa mkubwa.

- Laizer ni prodyuza mchanga na wa kawaida tu ila kwakuwa anawarekodia wasanii wakubwa basi anaonekana kama bonge la prodyuza kama ilivyo kwa Shedy Clever, Na wengi huwa wanatafuta FURSA hiyo. Hata Nahreel alikuwa na BEATS anawasikilizisha kina AKA, KO, PATORANKING anawashawishi awarekodie hata BURE akuze jina !
 
Ndo hivyo Msanii anambeba Prodyuza ndo maana wanaringa. Msanii akiwa anarekodi kwa prodyuza mchanga, huyo prodyuza anakuwa mkubwa.

- Laizer ni prodyuza mchanga na wa kawaida tu ila kwakuwa anawarekodia wasanii wakubwa basi anaonekana kama bonge la prodyuza kama ilivyo kwa Shedy Clever, Na wengi huwa wanatafuta FURSA hiyo. Hata Nahreel alikuwa na BEATS anawasikilizisha kina AKA, KO, PATORANKING anawashawishi awarekodie hata BURE akuze jina !
Uwa wanazichomolea nini maana sijawah kuskia wanetumia beats zetu
 
Kwa ile production ya Bye bye,beat kalii,mashairi makalii pale Pancho Latino aliiifanyia haki ngoma ile!Ngoma yangu bora kwa Joh Makini kwa muda wote
 
Ay na FA waliachana na B hitz baada ya Hamees kutengeneza mikataba ambayo anakua na haki na beat anapata kiasi na yeye kuanzia show, ringtones na matangazo akina FA wakachomoa!Ilivyo kwa sasa msanii akishalipa hela ya studio baada ya hapo hata akitengeneza million 100 producer hana chake
 
Back
Top Bottom