Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Msanii mkubwa akienda na laki 4 MJ ana record lakin wewe mchanga ukienda na hiyo wanakutosa labda uende hiz studio uchwara maana zenyewe hata elf sabin wanapokeaAlienacho anaongezewa asie nacho ananyang'anywa ata kidogo alicho nacho.
Nilijua wasanii wachanga ndo wanarekodiwa bure kwasababu wengi wao hawana hela.
Sent using Jamii Forums mobile app