elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
- Thread starter
- #61
Fanya kumuona t-touch, lufaNafanya rap mkuu zaman nilikuwa nafanya ngumu sana lakin saiv nimelegeza kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya kumuona t-touch, lufaNafanya rap mkuu zaman nilikuwa nafanya ngumu sana lakin saiv nimelegeza kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Pancho mkali the latino mafia anajua hata matango pori kaifanya vzuriKwa ile production ya Bye bye,beat kalii,mashairi makalii pale Pancho Latino aliiifanyia haki ngoma ile!Ngoma yangu bora kwa Joh Makini kwa muda wote
Ni wazur lakin sijawah kuwafikiria kabisa kichwan mwanguFanya kumuona t-touch, lufa
aysee Pancho Pancho panchoooo...Daah jamaa hata beat za michiriku alikuwa anaziwezea sana,kama ile majaliwa ya Omar Omar au Kazi yangu ya dukaniiii oooh ooooh daaaah namkubali sana basi tu...kuna producers sikutaka kabisa wapotee kama vile Pancho,Prof. Ludigo, Hermy B, daaah...game hiiMiaka kama minne iliyopita B-hits ilikuwa kati ya studio zilizokuwa zikitoa hits nyingi chini ya pancho latino mafia na hammy B.
Mtakumbuka ngoma kama
Bado nipo nipo - FA
Dakika moja tu - FA ft AY
Amore- Baby Madaha
Show za joh - joh makini
Closer - Vannessa Mdee
Bye bye - Joh Makini
Leo - AY ft avril
Ndole - Mabeste ft Deddy
Sirudi tena - Mabeste ft Jux
Baadaye sana - Mabeste
Destiny - mrap ft deddy
Msiache kuongea- FA ft jaydee
Unanijua unaniskia - FA
Nangoja ageuke - FA & AY
na ngoma kibao. Mara ghafla wasanii wakahama almost wote.
Siamini kama uwezo wa Pancho au hammy B umeshuka ila kutakuwa na sababu maana siku hizi B-hits haina hits kama zamani
Hivi marco chali bado anafanya nilidhan siku hizi labda yuko kwenye mixing maana kazi nyingi naskia mdogo wake ndiye anasikika humoNi wazur lakin sijawah kuwafikiria kabisa kichwan mwangu
Akili yangu ipo kwa marcho chal sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaz anazofanya dogo lazima marco azikague na kuongeza vitu au kupunguza kitu lakin hata yeye anafanya badoHivi marco chali bado anafanya nilidhan siku hizi labda yuko kwenye mixing maana kazi nyingi naskia mdogo wake ndiye anasikika humo
Kwa hapa walipofikia washalewa sifa hawaYap, nasikia ndio kisa cha kumkimbia Nahreel, ila sio waungwana kabisa yaani zile beat za Nahreel zilivyowang'arisha wao wanachukulia poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana master jay alijitoa izi mambo kitambo sanaKitambo nilishasikia master jay analalamika kuwa wao kama wao hawana ushirikiano.
Ukikataa kumrekodia mtu bure au kwa bei chee kesho anaenda studio ya huko uswahilini unashangaa katoa wimbo ume hit na bure kabisa na wasanii wote wanahamia huko
noma saaanaPancho mkali the latino mafia anajua hata matango pori kaifanya vzuri
Poa poa, sikiliza ushauri wa elmagnifico, ni mtu ambaye alishawahi kunitengenezea beats flan kali nikafanya nazo demo flan sema majukum ya kikaz yalinibana sikuweza kufanya full ngoma
[emoji23] [emoji23] [emoji23] usimsahau Ney Wa Kitego alivyokuwa akimchoresha Mr. T Touch huku yeye anapiga helaWasanii wengi wakubwa wanapenda kurekodi kwa bei chee au bure....Na andaa list yao na hiyo nita iita list of shame
Ndio raha ya kuwa producer at the same time unajua kuimba, anajua hata wakimsusia atajirekodia mwenyewe na kupiga hela. Ila kama kaweka bei maalum itakuwa ndio sababu sikuhizi kazi zake sio nyingi !!!Nahreel naye saiv kaweka bei maalum kama huna hiyo hela pita kushoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana miika mwamba aliona use..e akasepaYaani kuna maproducer wanafanya kazi nzuri lakini wanaishi kwa hisani ya wasanii ( Wao ndo wanajisikia wakutoe kiasi gani )
Beats plus mastering Hammy B hatari kama majaniTurn Up nafikiri katengeneza yeye
Beats plus mastering Hammy B hatari kama majaniTurn Up nafikiri katengeneza yeye
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] wabongo wachawiUsiniambie kuwa abydady na kiba haziivi kwa sasa.
Basi kwa mwendo huo diamond hawezi record kwa man walter pia.
Hapana Hammy kwenye beat wa kawaida sana, kwa b-hitz mnyama alikuwa Pancho, refer ngoma kama Dar es salaam Stand up ya Chid. Sema Hammy huko kwenye mastering ndio yuko vyema