Nini kilitokea B-hits

Kwa ile production ya Bye bye,beat kalii,mashairi makalii pale Pancho Latino aliiifanyia haki ngoma ile!Ngoma yangu bora kwa Joh Makini kwa muda wote
Pancho mkali the latino mafia anajua hata matango pori kaifanya vzuri
 
aysee Pancho Pancho panchoooo...Daah jamaa hata beat za michiriku alikuwa anaziwezea sana,kama ile majaliwa ya Omar Omar au Kazi yangu ya dukaniiii oooh ooooh daaaah namkubali sana basi tu...kuna producers sikutaka kabisa wapotee kama vile Pancho,Prof. Ludigo, Hermy B, daaah...game hii
 
Kitambo nilishasikia master jay analalamika kuwa wao kama wao hawana ushirikiano.
Ukikataa kumrekodia mtu bure au kwa bei chee kesho anaenda studio ya huko uswahilini unashangaa katoa wimbo ume hit na bure kabisa na wasanii wote wanahamia huko
Ndio maana master jay alijitoa izi mambo kitambo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…