Mkuu inawezekana ila nadhani harakati zake na mdogo wake Amani vile alivyokuwa amewabana FA na Ay watu waliona hii hatari just imagine V money, mabeste, Weusi, na wengine kukimbia hapa ndo nakumbuka Fid anavyosema wabongo hatupendaniHapana Hammy kwenye beat wa kawaida sana, kwa b-hitz mnyama alikuwa Pancho, refer ngoma kama Dar es salaam Stand up ya Chid. Sema Hammy huko kwenye mastering ndio yuko vyema
Sent using Jamii Forums mobile app
Vip mkuu...P funk Majani umemsahau.....huyu jamaa hakuna wa kufananisha nae katika beats kali...Bongo Recordsaysee Pancho Pancho panchoooo...Daah jamaa hata beat za michiriku alikuwa anaziwezea sana,kama ile majaliwa ya Omar Omar au Kazi yangu ya dukaniiii oooh ooooh daaaah namkubali sana basi tu...kuna producers sikutaka kabisa wapotee kama vile Pancho,Prof. Ludigo, Hermy B, daaah...game hii
Jamaa alikuwa na style ya peke yake sana. Sema kila ngoma aliyorekodi alikuwa lazima auze sura. Mzee wa Fishcrab Cockout !Wapi Lamar Talk of the town? Kuna kipindi karibu kila msanii mkubwa alifanya naye kazi, sijui what happened hadi kazimika mazima
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap alikuwa na mabiti flan hivi kama crank, na kuna mtu anaitwa Dunga naye mbaya sema hanaga kazi nyingi sijui kwanini. Yeye naye ukienda kurekodi kwake lazima atiepo voko hata kama haimbi, ni kama Lamar alivyokuwa anapenda kuuza nyagoJamaa alikuwa na style ya peke yake sana. Sema kila ngoma aliyorekodi alikuwa lazima auze sura. Mzee wa Fishcrab Cockout !
Fid Q sijui wabongo walimfanya nini maana hata kwenye wimbo wa JAHMAN Mabundi karap "Mbongo mbongo maneno ya shombo nje nje"Mkuu inawezekana ila nadhani harakati zake na mdogo wake Amani vile alivyokuwa amewabana FA na Ay watu waliona hii hatari just imagine V money, mabeste, Weusi, na wengine kukimbia hapa ndo nakumbuka Fid anavyosema wabongo hatupendani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndo unajua uwezo huwa unaisha, P FUNK ana MABEAT YA KUFA PUNDA hakuna bongo hii.Vip mkuu...P funk Majani umemsahau.....huyu jamaa hakuna wa kufananisha nae katika beats kali...Bongo Records
wasanii wanazingua...kama vp watengeneze wenyewe beats zaoAy na FA waliachana na B hitz baada ya Hamees kutengeneza mikataba ambayo anakua na haki na beat anapata kiasi na yeye kuanzia show, ringtones na matangazo akina FA wakachomoa!Ilivyo kwa sasa msanii akishalipa hela ya studio baada ya hapo hata akitengeneza million 100 producer hana chake
C kwamba Latino ndo alifariki?Hammy B alikua msenge .
Nasikia amefariki mwaka jana
Dah! Muwe na uhakika mnachokiongea acheni kukashifu watu.Hammy B alikua msenge .
Nasikia amefariki mwaka jana