Makalla hana :-
1. Hoja na hajui kujenga/kupangua hoja (argumentative ability)
2. Mvuto kwa watu na hawezi kuiteka hadhira anapoongea.
3. Uwezo wa kutangulia mbele ya hoja yake na kuangalia athari za anachotaka kukiongea.
Kwasababu hiyo Amos Makalla amekuwa akiongea vitu vidogo sana (petty issues) visivyoendana na nafasi na hadhi yake.
Mambo ya kuongelewa na UVCCM ngazi ya kata ndiyo anayaongea katibu katibu mwenezi.
Amos Makalla ameshindwa kuvaa viatu vya Polepole na Nape.
Aibu naona mimi.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally Hapi Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi
1. Hoja na hajui kujenga/kupangua hoja (argumentative ability)
2. Mvuto kwa watu na hawezi kuiteka hadhira anapoongea.
3. Uwezo wa kutangulia mbele ya hoja yake na kuangalia athari za anachotaka kukiongea.
Kwasababu hiyo Amos Makalla amekuwa akiongea vitu vidogo sana (petty issues) visivyoendana na nafasi na hadhi yake.
Mambo ya kuongelewa na UVCCM ngazi ya kata ndiyo anayaongea katibu katibu mwenezi.
Amos Makalla ameshindwa kuvaa viatu vya Polepole na Nape.
Aibu naona mimi.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally Hapi Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi