DR VRM
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 853
- 1,040
..ngwengwe ni ugonjwa gani?Ni haya madawa ya kuzuia mimba na ulaji/unywaji hovyohovyo. Kingine ni dawa za ngwengwe mzee wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..ngwengwe ni ugonjwa gani?Ni haya madawa ya kuzuia mimba na ulaji/unywaji hovyohovyo. Kingine ni dawa za ngwengwe mzee wangu
Apate kisukariHembu jaribu kula kidogo na kwa afya kama kitambi hakitaondoka
Subiria eid na pasaka watoto watakavyotumwa p2Yeah...ila kwa kwaresma hii ....mh ..vidonge vimegoma kututumua mwili
Na wanawake wengi ile sehemu ya uchi karibia na kiuno imetuna sijui kwanini? Je, kuna dawa pia zinahusika?Vitambi kwa wanaume ni jambo ambalo linajulikana limekuwepo karne zote lakini wimbi la wanawake kuwa na vitambi kote duniani lilianza takribani miaka ya 2000's. Nini hasa imechochea wimbi kubwa la wanawake kuwa na vitambi mijini na vijijini?
Kwangu kitambi kidogo muhimu bana,akiwa hana kitambi kabisa afu hana tako anakuwa kama bondia wa light weight.Mimi binafsi mwanamke mwenye kitambi hata akivua nguo hapo naona mauza uza tu.....
Yale mabonde mabonde na mamilichilizi ukijumlisha na hilo tumbo ndio stimu zinapotea moja kwa moja......
Kwa kweli wenzangu sijui wanawezaje kulalana na mwanamke wa hivyo.......
Kwa hiyo Dr Tulia hatumii pills?Matumizi ya vidonge vya uzazi wa mpango
GENTAMYCINE huiita dally kimoko..ngwengwe ni ugonjwa gani?
Umeongea kwa hisia kali mkuu 🤣🤣, kuna mmoja aliniambia yy anapenda kuwa bonge mweny minyama zaid ya alivyo sasa hapend kuwa mwembamba ni anakula sijapata ona oyaa eenh kuna wadada wanajua kula jamanUmero/uroho uliokithiri. Toto la kike linafuta kilo nzima ya kitimoto peke yake huku likishushia na safari kadhaa.
Zamani watoto wa kike walikuwa wanakula kwa staha. Siku hizi wana matonge kama makuli.
Kufakamia pombe hasa za ofa.
Uvivu wa kufanya shughuli hata za nyumbani. Hata kitandani ni wavivu, jitu linalala kama gogo mawazo yote yapo kwenye VICOBA na upatu.
Kujishindilia midonge ya majira ili isishike mimba ikinjunjana ovyo wakati wa kutafuta pesa za VICOBA
Huo ni mfuko wa uzazi…Na wanawake wengi ile sehemu ya uchi karibia na kiuno imetuna sijui kwanini? Je, kuna dawa pia zinahusika?