Chadema kama Mandonga tu maneno mengi utadhani wako serious hawana wanachogambania kama Mandonga yeye mechi za kirafiki tu hawana sera wanafuata trending kama Mandonga tu anaalikwa kupigana kama sherehe ya harusi tu. Miaka yote hiyo mpaka leo hujui wanasimamia nini tofauti na CCM.
Upinzani nchi hii hamna kitu. Ni bora tu CCM waendelee kulamba asali. Wenyeviti wake ni madikteta, wengi wako vyamani zaidi ya miaka 20. Sasa watu hao utaanzaje kuwapa nchi, utakuwa kichaa mkubwa.
Hakuna ukomo wa chama kushika madaraka ya nchi. CDM kuna ukomo wa kuwa mwenyekiti?Mbona ccm inetawaka miaka 61 sasa? Kichaa nani hapo?
Mlishakalili ayo ayo tu kwan hakunaga point zingne imekuwa as if mashairi jmnii kwan chadm si imeanza zamni kabla ya magu kuingia madarakani mbna mlikuwaga ivo ivo 2 toka enzi kwaiy nie toka mmeanzishaga chama chenu mnaibiwaga tu kura na kuonewa miaka yote iyoo hamjashika nchiii basi tutawaona na apa kwa samiaAcha unafiki,uzuzu na ujuha!!! Ile nchi hakuna asiyejua dola ilitumia mabavu na dikteta wa wakati huo mwendazake jiwe akawafunga,akawateka ,akawatesa,wakapigwa risasi,wakanyimwa mikutano na hata wao kukutana vikao vyandani,akawafilisi biashara zao, wakatishwa kuuwawa nk.
Nani angeweza kuruka vihunzi vyote hivyo vya dola?? Na bado unaosema wamekufa wapo na wanaogopeka kisiasa
Wakijibu hili pls naomba Nami unitaarifu, nini ccm wameifanyia nchi yetu wakati wamekiri kuwa bado ujinga, umasikini, maradhi na rushwa vimeshamiri nchini?nini sasa ccm watafanya TOFAUTI na walivyokua wanafanya for the last 61yrs?,day by day Tanzania inazidi kwenda south!,tatizo utawala mbovu wa Chama dola, ccm bila dola ni wepesi kama doli la mtoto wa 2yrsMbona ccm inetawaka miaka 61 sasa? Kichaa nani hapo?
Kilichoiua chadema ni natural coincidences zilizotokea wakati wa uchaguzi wa 2015.
Within chadema yenyewe kulitokea ukengeufu wa kumtosa Dr Slaa na kumleta Lowassa kuwa mgombea wa urais. Wale wasioamini ktk unyumbu hawakufurahishwa na hicho kitendo. Hicho kiliifanya chadema kutoaminika.
Outside chadema, ccm wakachagua jembe, Hayati Dr John Pombe Magufuli (rip) kuwa mgombea wa urais, ambaye aliihuisha na kuipa uhai mpya ccm ambayo ilikuwa imejifia kama chadema ya sasa hivi.
Chadema ni mradi wa kupiga pesa hawana lolote wanamtumia lissu 😂😂😂na mwenywe anajua ...Bongo hamna chama cha upinzani ni wachumia tumbo.
Hakuna ukomo wa chama kushika madaraka ya nchi. CDM kuna ukomo wa kuwa mwenyekiti?
Kama unaona ni halali mtu mmoja kuwa na madaraka bila ya ukomo kwenye jamii ya kidemokrasia, kama unaamini hivyo, safari tunayo ndefu sana.Elewa swali langu, kama kuna uhalali wa CCM kutawala milele nchi ya Tanzania, kwanini iwe shida kwa chama kuongozwa na mtu kwa muda wanaotaka wanachama?.
Kama nchi ambayo ni kubwa na ya muhimu zaidi inatawaliwa na chama kimoja miaka 61, iweje muone nongwa kwa chama ambacho hata hakiko madarakani kuwa na mwenyekiti kwa miaka ishirini?
Makasiriko ya nn? Njaa mbaya sana na hampati madaraka ngo'😂😂Wewe ndio mchumia tumbo. Unapenda pesa kiasi kwamba unadhani kila mmoja ni kama wewe.
Mlishakalili ayo ayo tu kwan hakunaga point zingne imekuwa as if mashairi jmnii kwan chadm si imeanza zamni kabla ya magu kuingia madarakani mbna mlikuwaga ivo ivo 2 toka enzi kwaiy nie toka mmeanzishaga chama chenu mnaibiwaga tu kura na kuonewa miaka yote iyoo hamjashika nchiii basi tutawaona na apa kwa samia
Wakijibu hili pls naomba Nami unitaarifu, nini ccm wameifanyia nchi yetu wakati wamekiri kuwa bado ujinga, umasikini, maradhi na rushwa vimeshamiri nchini?nini sasa ccm watafanya TOFAUTI na walivyokua wanafanya for the last 61yrs?,day by day Tanzania inazidi kwenda south!,tatizo utawala mbovu wa Chama dola, ccm bila dola ni wepesi kama doli la mtoto wa 2yrs
Kama unaona ni halali mtu mmoja kuwa na madaraka bila ya ukomo kwenye jamii ya kidemokrasia, kama unaamini hivyo, safari tunayo ndefu sana.
Kwa hiyo wewe unashauri kibadili mwelekeo na kuingia msituni?Chama kikiwa ni mwendelezo wa kiupinzani tuuu miaka na miaka bila ya kushika dola, Hata kama kikiwa na sera nzuri na mikakati mizuri kiasi gani, lazima kitachokwa tuu!
Chadema kinachokwa na mambo mengi. Miongoni mwake ni pamoja na hayo
Makasiriko ya nn? Njaa mbaya sana na hampati madaraka ngo'😂😂
😂😂Tuongozwe na chadema uko serious kabisa? Haiwezekani ni utapeliUzuri wewe sio Mungu. Kuna watu walikuwa na kiburi zaidi yako dhidi ya chadema. Wameondoka wameiacha chadema. Tujifunze kutoka kwa mtu aliyeiba uchaguzi akijiona ana ikomoa chadema kumbe mauti yake.
Watu gani hao ,CCM wanaachiwa au wanapora?Tatizo Tz hamna upinzani uliosimama haswa watu wanaona bora tu wawaachie tu ma ccm yani upinzani uliponichosha haswa ni pale wlipomuachia Lowassa agombee, yani mnamuingiza tena adui na kumpa cheo aisee 😂😂 ila tukiongea ukweli Nan wa upinzani anafaa kupewa nchi??? Wote hawana misimamo
Mkuu hiki Chama Cha Mambuzi ubongo [emoji3447] wao uko katika [emoji706] kiasi kwamba eti kwa kutumia fedha za umma wameanzisha "idara" ndani ya Chama kwa sherehe kubwa inaitwa Chawa wa Mama, na viongozi wanaacha kazi za umma wanaenda kwenye hiyo sherehe! Upumbaf mtupu!Thread ya kwanza ya kipumbavu kutoka Kwa mfuasi was kimambuzi na chawa! Unaacha kulala unaposti ujinga saa Saba usiku?
😂😂Tuongozwe na chadema uko serious kabisa? Haiwezekani ni utapeli