Nini kimeiua CHADEMA? Walikosea wapi? Vyama vingine vya upinzani vijifunze kuepuka kibri cha kupendwa

Nini kimeiua CHADEMA? Walikosea wapi? Vyama vingine vya upinzani vijifunze kuepuka kibri cha kupendwa

Upinzani nchi hii hamna kitu. Ni bora tu CCM waendelee kulamba asali. Wenyeviti wake ni madikteta, wengi wako vyamani zaidi ya miaka 20. Sasa watu hao utaanzaje kuwapa nchi, utakuwa kichaa mkubwa.
Upinzani sio Taasisi ni Ideology, na uko hata levo za Familia, Upinzani hauwezi kuumaliza hata kwa kuua watu, rudi shule ulio sa dai ada, ilipotea bure
 
Chadema ni mradi wa kupiga pesa hawana lolote wanamtumia lissu [emoji23][emoji23][emoji23]na mwenywe anajua ...Bongo hamna chama cha upinzani ni wachumia tumbo.
Upinzani kwani ni watu au taasisi? We ni mjinga na umeandika ujinga, ila wajinga wenzako wanaweza kusapoti
 
Upinzani soo mtu wala Chama ni Ideology, upinzania upo hadi Family levol na huwezi ua Upinzani, saaa mlivyo wajinga mnazania Upinzano ni mtu

Kweli mkuu endelea kuwaelimisha . Watu wanadhani upinzani ni Lissu au Mbowe. Upinzani ni jambo pana sana.
 
Sijakwambia nina amini. Ila ninachosema kama wananchi tubaona halali chama kimoja kututawala miaka mia ijayo, inakuwaje tunaumia na uongozi wa chama ambacho hakipo bungeni wala serikalini , huo ni unafiki.

Ungeleta hiyo mada kwa kenya ningekuunga mkono maana kenya wamebadilisha vyama vitano sasa madarakani. KANU, NARC, PNU, JUBILEE na sasa UDA. Sisi tumebakia ccm itawale milele, lakini tunainyoshea mikono chadema kisa mwenyekiti kakaa muda mrefu. Tupunguze unafiki.
Tofautisha chama kushika madaraka na mtu mmoja kushika madaraka. Na chama cha siasa ni taasisi ya umma, huwezi sema ifanye inachotaka kwa sababu hakipo bungeni na serikalini. Unafiki mkubwa ni kudhani kuwa udikteta ni mbaya ukifanywa na wengine, ila mzuri tukifanya sisi.
 
Upinzani sio Taasisi ni Ideology, na uko hata levo za Familia, Upinzani hauwezi kuumaliza hata kwa kuua watu, rudi shule ulio sa dai ada, ilipotea bure
Nani kataka kumaliza upinzani? Usije kuwa wewe unajiita upinzani ndiye hutaki kusikia upinzani, maana hutaki kusikia kuwa vyama vya upinzani ni vya kihuni na kidikteta.
 
Kuna wengi sn wanaweza kufikiria nini kilisababisha anguko la Chadema wapo wachambuzi wengi wa masuala ya siasa wanaweza Kuja kuelezea mengi Sana yaliyosababisha anguko la kilichokuwa chama kikuu cha upinzani zifuatazo ni baadhi ya hoja zinazotoa ushahidi juu ya kiini cha anguko la Chadema

Udikteta: Pamoja na kujitabanaisha kama chama kikuu cha upinzani lakini Chadema kilikumbwa na tafsiri batili ya Jina na matendo yake, Chama cha kidemokrasia kinachoendeshwa kidikteta kwa kung'ang'aniwa na mtu mmoja kukiongoza kwa muda mrefu na kukifanya chama kama Mali binafsi ya Familia kwa mfano Mbowe amekuwepo madarakani toka enzi za Mzee mkapa, mkapa aliondoka akamuacha Mbowe kama mwenyekiti baadaye akaja kikwete akamuacha Mbowe kama mwenyekiti

akaja Magufuli akamuacha Mbowe kama mwenyekiti na sasa ni Samia, kwa lugha nyingine ni kwamba CCM imepata wenyeviti wanne tofauti lkn Chadema kikiwa na mwenyekiti mmoja tu naye ni Freeman Alkael Mbowe

Ni kosa kubwa sana kuruhusu mawazo ya mtu mmoja anayekosea Mara kwa Mara kutowajibika pale anaposhindwa
uchaguzi wa Mwaka 2005 ulitosha kabisa kumuondosha Mbowe kama mwenyekiti wa Chadema

Lakini ameng'ang'ania madaraka tu utazani kupe na hatimaye America chama kwa kunyonya damu yote

Mbowe Hana Mamlaka ya kudai katiba mpya kwa sababu yeye mwenyewe ni mvurugaji namba moja wa katiba ndani ya chama chake

tutaendelea kujadili udikteta kama kigezo cha anguko la Chadema namba 2
Ulivyo na akili mbovu unaandika kwa kuchekelea kana kwamba kuwepo kwa chama kikuu cha upinzani ni faida kwa chama chenyewe na si faida kwa mwananchi.
 
Kilichoiua chadema ni natural coincidences zilizotokea wakati wa uchaguzi wa 2015.
Within chadema yenyewe kulitokea ukengeufu wa kumtosa Dr Slaa na kumleta Lowassa kuwa mgombea wa urais. Wale wasioamini ktk unyumbu hawakufurahishwa na hicho kitendo. Hicho kiliifanya chadema kutoaminika.
Outside chadema, ccm wakachagua jembe, Hayati Dr John Pombe Magufuli (rip) kuwa mgombea wa urais, ambaye aliihuisha na kuipa uhai mpya ccm ambayo ilikuwa imejifia kama chadema ya sasa hivi.
A two headed serpent hypocrite Wilboard Slaa, yoyote anayeamini kuwa anafaa kuwa kiongozi itakuwa hana akili timamu. Mwanzoni kabla hajajulikana his true colors yeah lakini si baada ya hapo, bora huyo Mmasai Lowassa kwani ukitoa kwamba ni 'ntu ya dili' and that he was over ambitious lakini si mjinga mjinga kama Slaa asiyejielewa.
 
Kuna wengi sn wanaweza kufikiria nini kilisababisha anguko la Chadema wapo wachambuzi wengi wa masuala ya siasa wanaweza Kuja kuelezea mengi Sana yaliyosababisha anguko la kilichokuwa chama kikuu cha upinzani zifuatazo ni baadhi ya hoja zinazotoa ushahidi juu ya kiini cha anguko la Chadema

Udikteta: Pamoja na kujitabanaisha kama chama kikuu cha upinzani lakini Chadema kilikumbwa na tafsiri batili ya Jina na matendo yake, Chama cha kidemokrasia kinachoendeshwa kidikteta kwa kung'ang'aniwa na mtu mmoja kukiongoza kwa muda mrefu na kukifanya chama kama Mali binafsi ya Familia kwa mfano Mbowe amekuwepo madarakani toka enzi za Mzee mkapa, mkapa aliondoka akamuacha Mbowe kama mwenyekiti baadaye akaja kikwete akamuacha Mbowe kama mwenyekiti

akaja Magufuli akamuacha Mbowe kama mwenyekiti na sasa ni Samia, kwa lugha nyingine ni kwamba CCM imepata wenyeviti wanne tofauti lkn Chadema kikiwa na mwenyekiti mmoja tu naye ni Freeman Alkael Mbowe

Ni kosa kubwa sana kuruhusu mawazo ya mtu mmoja anayekosea Mara kwa Mara kutowajibika pale anaposhindwa
uchaguzi wa Mwaka 2005 ulitosha kabisa kumuondosha Mbowe kama mwenyekiti wa Chadema

Lakini ameng'ang'ania madaraka tu utazani kupe na hatimaye America chama kwa kunyonya damu yote

Mbowe Hana Mamlaka ya kudai katiba mpya kwa sababu yeye mwenyewe ni mvurugaji namba moja wa katiba ndani ya chama chake

tutaendelea kujadili udikteta kama kigezo cha anguko la Chadema namba 2
Chadema bado kipo sana na kitaendelea kuwepo.
The funny shit ni kwamba aliyetumia nguvu nyingi na kila ya recourses kukiua amekufa yeye na Chadema kiko hai.
 
Mkuu hiki Chama Cha Mambuzi ubongo [emoji3447] wao uko katika [emoji706] kiasi kwamba eti kwa kutumia fedha za umma wameanzisha "idara" ndani ya Chama kwa sherehe kubwa inaitwa Chawa wa Mama, na viongozi wanaacha kazi za umma wanaenda kwenye hiyo sherehe! Upumbaf mtupu!
View attachment 2480362

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
One of the CCM icons.
Screenshot_20230113-205008.jpg
 
Kuna wengi sn wanaweza kufikiria nini kilisababisha anguko la Chadema wapo wachambuzi wengi wa masuala ya siasa wanaweza Kuja kuelezea mengi Sana yaliyosababisha anguko la kilichokuwa chama kikuu cha upinzani zifuatazo ni baadhi ya hoja zinazotoa ushahidi juu ya kiini cha anguko la Chadema

Udikteta: Pamoja na kujitabanaisha kama chama kikuu cha upinzani lakini Chadema kilikumbwa na tafsiri batili ya Jina na matendo yake, Chama cha kidemokrasia kinachoendeshwa kidikteta kwa kung'ang'aniwa na mtu mmoja kukiongoza kwa muda mrefu na kukifanya chama kama Mali binafsi ya Familia kwa mfano Mbowe amekuwepo madarakani toka enzi za Mzee mkapa, mkapa aliondoka akamuacha Mbowe kama mwenyekiti baadaye akaja kikwete akamuacha Mbowe kama mwenyekiti

akaja Magufuli akamuacha Mbowe kama mwenyekiti na sasa ni Samia, kwa lugha nyingine ni kwamba CCM imepata wenyeviti wanne tofauti lkn Chadema kikiwa na mwenyekiti mmoja tu naye ni Freeman Alkael Mbowe

Ni kosa kubwa sana kuruhusu mawazo ya mtu mmoja anayekosea Mara kwa Mara kutowajibika pale anaposhindwa
uchaguzi wa Mwaka 2005 ulitosha kabisa kumuondosha Mbowe kama mwenyekiti wa Chadema

Lakini ameng'ang'ania madaraka tu utazani kupe na hatimaye America chama kwa kunyonya damu yote

Mbowe Hana Mamlaka ya kudai katiba mpya kwa sababu yeye mwenyewe ni mvurugaji namba moja wa katiba ndani ya chama chake

tutaendelea kujadili udikteta kama kigezo cha anguko la Chadema namba 2
Nitaamini chadema imekufa indapo utafanyika uchaguzi huru na wa haki chini ya tume huru ya uchaguzi halafu CHADEMA washindwe kapata wabunge 150 wa kuchaguliwa. Hayo mangine yote uliyoyasema ninaona ni porojo tu za kujifariji
 
Mnawaita chadema mandonga, ila mlizuia mikutano kuwaogopa na siku ya kupiga kura 2020 mkazima mtandao wa internet.
Mwana uchumi kweli unaamini kabisa Chadema wanaweza kutawala? Chadema kama mchezaji mpira kwenda Kagera au Mtibwa kutengeneza jina akipata ndoto kwenda Simba au Yanga. Akikosa huko ndio utamkuta Lindi au Singida united.
 
Kuna wengi sn wanaweza kufikiria nini kilisababisha anguko la Chadema wapo wachambuzi wengi wa masuala ya siasa wanaweza Kuja kuelezea mengi Sana yaliyosababisha anguko la kilichokuwa chama kikuu cha upinzani zifuatazo ni baadhi ya hoja zinazotoa ushahidi juu ya kiini cha anguko la Chadema

Udikteta: Pamoja na kujitabanaisha kama chama kikuu cha upinzani lakini Chadema kilikumbwa na tafsiri batili ya Jina na matendo yake, Chama cha kidemokrasia kinachoendeshwa kidikteta kwa kung'ang'aniwa na mtu mmoja kukiongoza kwa muda mrefu na kukifanya chama kama Mali binafsi ya Familia kwa mfano Mbowe amekuwepo madarakani toka enzi za Mzee mkapa, mkapa aliondoka akamuacha Mbowe kama mwenyekiti baadaye akaja kikwete akamuacha Mbowe kama mwenyekiti

akaja Magufuli akamuacha Mbowe kama mwenyekiti na sasa ni Samia, kwa lugha nyingine ni kwamba CCM imepata wenyeviti wanne tofauti lkn Chadema kikiwa na mwenyekiti mmoja tu naye ni Freeman Alkael Mbowe

Ni kosa kubwa sana kuruhusu mawazo ya mtu mmoja anayekosea Mara kwa Mara kutowajibika pale anaposhindwa
uchaguzi wa Mwaka 2005 ulitosha kabisa kumuondosha Mbowe kama mwenyekiti wa Chadema

Lakini ameng'ang'ania madaraka tu utazani kupe na hatimaye America chama kwa kunyonya damu yote

Mbowe Hana Mamlaka ya kudai katiba mpya kwa sababu yeye mwenyewe ni mvurugaji namba moja wa katiba ndani ya chama chake

tutaendelea kujadili udikteta kama kigezo cha anguko la Chadema namba 2
AKILI NDOGO hiyo kama CHADEMA IMEKUFA ina Maana RAIS SAMIA alikuwa anafanya MARIDHIANO na TLP?
 
Kuna wengi sn wanaweza kufikiria nini kilisababisha anguko la Chadema wapo wachambuzi wengi wa masuala ya siasa wanaweza Kuja kuelezea mengi Sana yaliyosababisha anguko la kilichokuwa chama kikuu cha upinzani zifuatazo ni baadhi ya hoja zinazotoa ushahidi juu ya kiini cha anguko la Chadema

Udikteta: Pamoja na kujitabanaisha kama chama kikuu cha upinzani lakini Chadema kilikumbwa na tafsiri batili ya Jina na matendo yake, Chama cha kidemokrasia kinachoendeshwa kidikteta kwa kung'ang'aniwa na mtu mmoja kukiongoza kwa muda mrefu na kukifanya chama kama Mali binafsi ya Familia kwa mfano Mbowe amekuwepo madarakani toka enzi za Mzee mkapa, mkapa aliondoka akamuacha Mbowe kama mwenyekiti baadaye akaja kikwete akamuacha Mbowe kama mwenyekiti

akaja Magufuli akamuacha Mbowe kama mwenyekiti na sasa ni Samia, kwa lugha nyingine ni kwamba CCM imepata wenyeviti wanne tofauti lkn Chadema kikiwa na mwenyekiti mmoja tu naye ni Freeman Alkael Mbowe

Ni kosa kubwa sana kuruhusu mawazo ya mtu mmoja anayekosea Mara kwa Mara kutowajibika pale anaposhindwa
uchaguzi wa Mwaka 2005 ulitosha kabisa kumuondosha Mbowe kama mwenyekiti wa Chadema

Lakini ameng'ang'ania madaraka tu utazani kupe na hatimaye America chama kwa kunyonya damu yote

Mbowe Hana Mamlaka ya kudai katiba mpya kwa sababu yeye mwenyewe ni mvurugaji namba moja wa katiba ndani ya chama chake

tutaendelea kujadili udikteta kama kigezo cha anguko la Chadema namba 2
Wamejiua wenyewe kwa tamaa zao
  1. Mbowe
  2. Lissu
  3. Lema
  4. Msigwa
  5. Mnyika
Walisimama majukwaani kusema Lowasa fisadi papa, ndimi hizohizo zikaja kusema Lowasa safiiiii👍🤣

1673677656344.png

Utamwamini mtu wa hivi?
Utamuelewa?
 
Chadema haijafa bado ipo hai ila moja ya sababu kubwa inayopelekea Chadema kuwa chama dhaifu ni pale walipoamua kuukana ukweli wao wenyewe kwakutaka kumsafisha fisadi waliyezunguka Nchi nzima kumtukana!!. Ujio wa Eddo 2015 ndani ya chadema uliondoa uaminifu hasa kwa watu wenye uelewa mpana juu ya siasa zetu wakaona Chadema na viongozi wao wakuu hawapo kwaajili ya Tz bali wao kwanza, mpaka Leo ukimfuata mwanachadema ukamuuliza ni sababu zipi ziliifanya Chadema kumpokea Eddo hawawezi kukupa... Kuanzia hapo watu timamu wakaona hamna la maana zaidi ya ubabaishaji mtupu.
Sababu nyingine ni utawala wa Magufuli na uchaguzi wa 2020, magufuli alikuwa na nia hasa yakuiondoa Nchi kwenye mfumo wa vyama vingi kuipeleka chama kimoja. Siku zote uhai wa chama cha siasa ni kufanya siasa na kuuza sera zao kwa wananchi, Chadema na wapinzani wengine hawakupata tena hiyo fursa automatically Nchi ikabaki kusikia sifa na mapambio yanayoimbwa juu ya chama kimoja Cha CCM chini ya Magufuli.
Pia kutokuwa na ukomo wakiuongozi kwa kiongozi mkuu wa chama, hii inadhoofisha na inaondoa uhalisia wa chadema na wanachokipigania hasa ni Demokrasia ipi wanayoitaka wao?, Haiwezekani mtu mmoja ndio akawa Bora kwa vipindi vyote vya zaidi ya miaka 15 bila kuachia ngazi ili Chadema ipate kiongozi mwingine ambaye nae atatoa dira na mwenendo mpya kuhakikisha wanachukua dola.
Ukiwasililiza Chadema wanavyoimba suala la kujenga taasisi imara za kiuongozi kuliko kumjenga mtu au kimtegemea mtu imara kwa mbaali utawaona wapo siriasi lakini hebu tafakari wao Wana hizo taasisi imara? Kama wanazo Kwanini FAM haachi uongozi?, Jibu lao ni jepesi sana eti mwamba tuvushe!! Mara eti hanunuliki kinachoshangaza ni Kumbe Chadema sio chama cha kitaasisi bali ni chama kinachotegemea maamzi ya mtu mmoja. Ili Chadema ichukue dola inahitaji ipate kiongozi kijana tena asiyemwoga.... Huyu Mbowe ni mandonga mtupu aliyepata umaarufu kupitia mgongo wa Dr slaa na kazi nzuri za vijana wa chadema.
 
Hivi kumbe ilikuwa haijafa tu? Mbona toka 2000 tunaambiwa imekufa? Anglia utakufa wewe utaiacha maana hata jiwe alidhani ameiua akafa yeye
 
Chadema haijafa bado ipo hai ila moja ya sababu kubwa inayopelekea Chadema kuwa chama dhaifu ni pale walipoamua kuukana ukweli wao wenyewe kwakutaka kumsafisha fisadi waliyezunguka Nchi nzima kumtukana!!. Ujio wa Eddo 2015 ndani ya chadema uliondoa uaminifu hasa kwa watu wenye uelewa mpana juu ya siasa zetu wakaona Chadema na viongozi wao wakuu hawapo kwaajili ya Tz bali wao kwanza, mpaka Leo ukimfuata mwanachadema ukamuuliza ni sababu zipi ziliifanya Chadema kumpokea Eddo hawawezi kukupa... Kuanzia hapo watu timamu wakaona hamna la maana zaidi ya ubabaishaji mtupu.
Sababu nyingine ni utawala wa Magufuli na uchaguzi wa 2020, magufuli alikuwa na nia hasa yakuiondoa Nchi kwenye mfumo wa vyama vingi kuipeleka chama kimoja. Siku zote uhai wa chama cha siasa ni kufanya siasa na kuuza sera zao kwa wananchi, Chadema na wapinzani wengine hawakupata tena hiyo fursa automatically Nchi ikabaki kusikia sifa na mapambio yanayoimbwa juu ya chama kimoja Cha CCM chini ya Magufuli.
Pia kutokuwa na ukomo wakiuongozi kwa kiongozi mkuu wa chama, hii inadhoofisha na inaondoa uhalisia wa chadema na wanachokipigania hasa ni Demokrasia ipi wanayoitaka wao?, Haiwezekani mtu mmoja ndio akawa Bora kwa vipindi vyote vya zaidi ya miaka 15 bila kuachia ngazi ili Chadema ipate kiongozi mwingine ambaye nae atatoa dira na mwenendo mpya kuhakikisha wanachukua dola.
Ukiwasililiza Chadema wanavyoimba suala la kujenga taasisi imara za kiuongozi kuliko kumjenga mtu au kimtegemea mtu imara kwa mbaali utawaona wapo siriasi lakini hebu tafakari wao Wana hizo taasisi imara? Kama wanazo Kwanini FAM haachi uongozi?, Jibu lao ni jepesi sana eti mwamba tuvushe!! Mara eti hanunuliki kinachoshangaza ni Kumbe Chadema sio chama cha kitaasisi bali ni chama kinachotegemea maamzi ya mtu mmoja. Ili Chadema ichukue dola inahitaji ipate kiongozi kijana tena asiyemwoga.... Huyu Mbowe ni mandonga mtupu aliyepata umaarufu kupitia mgongo wa Dr slaa na kazi nzuri za vijana wa chadema.
Andiko refu lakini pumba tupu
 
Kuna wengi sn wanaweza kufikiria nini kilisababisha anguko la Chadema wapo wachambuzi wengi wa masuala ya siasa wanaweza Kuja kuelezea mengi Sana yaliyosababisha anguko la kilichokuwa chama kikuu cha upinzani zifuatazo ni baadhi ya hoja zinazotoa ushahidi juu ya kiini cha anguko la Chadema

Udikteta: Pamoja na kujitabanaisha kama chama kikuu cha upinzani lakini Chadema kilikumbwa na tafsiri batili ya Jina na matendo yake, Chama cha kidemokrasia kinachoendeshwa kidikteta kwa kung'ang'aniwa na mtu mmoja kukiongoza kwa muda mrefu na kukifanya chama kama Mali binafsi ya Familia kwa mfano Mbowe amekuwepo madarakani toka enzi za Mzee mkapa, mkapa aliondoka akamuacha Mbowe kama mwenyekiti baadaye akaja kikwete akamuacha Mbowe kama mwenyekiti

akaja Magufuli akamuacha Mbowe kama mwenyekiti na sasa ni Samia, kwa lugha nyingine ni kwamba CCM imepata wenyeviti wanne tofauti lkn Chadema kikiwa na mwenyekiti mmoja tu naye ni Freeman Alkael Mbowe

Ni kosa kubwa sana kuruhusu mawazo ya mtu mmoja anayekosea Mara kwa Mara kutowajibika pale anaposhindwa
uchaguzi wa Mwaka 2005 ulitosha kabisa kumuondosha Mbowe kama mwenyekiti wa Chadema

Lakini ameng'ang'ania madaraka tu utazani kupe na hatimaye America chama kwa kunyonya damu yote

Mbowe Hana Mamlaka ya kudai katiba mpya kwa sababu yeye mwenyewe ni mvurugaji namba moja wa katiba ndani ya chama chake

tutaendelea kujadili udikteta kama kigezo cha anguko la Chadema namba 2
CHADEMA HAIJAFA NA KAMWE HAITAKUFA

Huu ndiyo ukweli ninaouamini kama CDM iliendelea kuwepo wakati ule waliponunuliwa kina silinde,yule dogo wa kule meru,aliyekuwa katibu mkuu cdm,katambi na wengine wengi unafikiri saa hizi ndiyo inalufa?
 
Back
Top Bottom