Nini kimeiua CHADEMA? Walikosea wapi? Vyama vingine vya upinzani vijifunze kuepuka kibri cha kupendwa

Nini kimeiua CHADEMA? Walikosea wapi? Vyama vingine vya upinzani vijifunze kuepuka kibri cha kupendwa

Kuna wengi sn wanaweza kufikiria nini kilisababisha anguko la Chadema wapo wachambuzi wengi wa masuala ya siasa wanaweza Kuja kuelezea mengi Sana yaliyosababisha anguko la kilichokuwa chama kikuu cha upinzani zifuatazo ni baadhi ya hoja zinazotoa ushahidi juu ya kiini cha anguko la Chadema

Udikteta: Pamoja na kujitabanaisha kama chama kikuu cha upinzani lakini Chadema kilikumbwa na tafsiri batili ya Jina na matendo yake, Chama cha kidemokrasia kinachoendeshwa kidikteta kwa kung'ang'aniwa na mtu mmoja kukiongoza kwa muda mrefu na kukifanya chama kama Mali binafsi ya Familia kwa mfano Mbowe amekuwepo madarakani toka enzi za Mzee mkapa, mkapa aliondoka akamuacha Mbowe kama mwenyekiti baadaye akaja kikwete akamuacha Mbowe kama mwenyekiti

akaja Magufuli akamuacha Mbowe kama mwenyekiti na sasa ni Samia, kwa lugha nyingine ni kwamba CCM imepata wenyeviti wanne tofauti lkn Chadema kikiwa na mwenyekiti mmoja tu naye ni Freeman Alkael Mbowe

Ni kosa kubwa sana kuruhusu mawazo ya mtu mmoja anayekosea Mara kwa Mara kutowajibika pale anaposhindwa
uchaguzi wa Mwaka 2005 ulitosha kabisa kumuondosha Mbowe kama mwenyekiti wa Chadema

Lakini ameng'ang'ania madaraka tu utazani kupe na hatimaye America chama kwa kunyonya damu yote

Mbowe Hana Mamlaka ya kudai katiba mpya kwa sababu yeye mwenyewe ni mvurugaji namba moja wa katiba ndani ya chama chake

tutaendelea kujadili udikteta kama kigezo cha anguko la Chadema namba 2
Una kaujinga fulani hivi.Yani unadhani ukiamka asubuhi ukiangalia angani utaiona CHADEMA ile paleee angani inaelea?Dhumumi la vyama vya ukinzani ni nini?Vipo kwa ajili gani na vinatoka wapi na kwa nini?Umeyajibu hayo maswali kimoyomoyo?Sasa jiulize ukinzani upo au haupo?😜😜😜😜😜
 
Mnawaita chadema mandonga, ila mlizuia mikutano kuwaogopa na siku ya kupiga kura 2020 mkazima mtandao wa internet.
Na ukifika wakati wa uchaguzi wanakesha kwa waganga na kukaa na vyombo vya dola kuwaomba wawasaidie kuwakabili CHADEMA.Huwa wanatoa vijisentensi vyepesi kujionesha hawaiogopi CHADEMA.Ila ndani moyoni,wanaiogopa kuliko kifo au njaa.😜😜😜😜
 
Tatizo Tz hamna upinzani uliosimama haswa watu wanaona bora tu wawaachie tu ma ccm yani upinzani uliponichosha haswa ni pale wlipomuachia Lowassa agombee, yani mnamuingiza tena adui na kumpa cheo aisee [emoji23][emoji23] ila tukiongea ukweli Nan wa upinzani anafaa kupewa nchi??? Wote hawana misimamo
Hivi kama Chadema imekufa kwanini kila siku mnaangaika nayo?
 
Kuna wengi sn wanaweza kufikiria nini kilisababisha anguko la Chadema wapo wachambuzi wengi wa masuala ya siasa wanaweza Kuja kuelezea mengi Sana yaliyosababisha anguko la kilichokuwa chama kikuu cha upinzani zifuatazo ni baadhi ya hoja zinazotoa ushahidi juu ya kiini cha anguko la Chadema

Udikteta: Pamoja na kujitabanaisha kama chama kikuu cha upinzani lakini Chadema kilikumbwa na tafsiri batili ya Jina na matendo yake, Chama cha kidemokrasia kinachoendeshwa kidikteta kwa kung'ang'aniwa na mtu mmoja kukiongoza kwa muda mrefu na kukifanya chama kama Mali binafsi ya Familia kwa mfano Mbowe amekuwepo madarakani toka enzi za Mzee mkapa, mkapa aliondoka akamuacha Mbowe kama mwenyekiti baadaye akaja kikwete akamuacha Mbowe kama mwenyekiti

akaja Magufuli akamuacha Mbowe kama mwenyekiti na sasa ni Samia, kwa lugha nyingine ni kwamba CCM imepata wenyeviti wanne tofauti lkn Chadema kikiwa na mwenyekiti mmoja tu naye ni Freeman Alkael Mbowe

Ni kosa kubwa sana kuruhusu mawazo ya mtu mmoja anayekosea Mara kwa Mara kutowajibika pale anaposhindwa
uchaguzi wa Mwaka 2005 ulitosha kabisa kumuondosha Mbowe kama mwenyekiti wa Chadema

Lakini ameng'ang'ania madaraka tu utazani kupe na hatimaye America chama kwa kunyonya damu yote

Mbowe Hana Mamlaka ya kudai katiba mpya kwa sababu yeye mwenyewe ni mvurugaji namba moja wa katiba ndani ya chama chake

tutaendelea kujadili udikteta kama kigezo cha anguko la Chadema namba 2
So mkuu kwanini unaangaika angaika na kitu kilichokufa? Jiwe alisema ataiua Chadema mwisho wa siku sote tunajua kilichotokea
 
Kuna wengi sn wanaweza kufikiria nini kilisababisha anguko la Chadema wapo wachambuzi wengi wa masuala ya siasa wanaweza Kuja kuelezea mengi Sana yaliyosababisha anguko la kilichokuwa chama kikuu cha upinzani zifuatazo ni baadhi ya hoja zinazotoa ushahidi juu ya kiini cha anguko la Chadema

Udikteta: Pamoja na kujitabanaisha kama chama kikuu cha upinzani lakini Chadema kilikumbwa na tafsiri batili ya Jina na matendo yake, Chama cha kidemokrasia kinachoendeshwa kidikteta kwa kung'ang'aniwa na mtu mmoja kukiongoza kwa muda mrefu na kukifanya chama kama Mali binafsi ya Familia kwa mfano Mbowe amekuwepo madarakani toka enzi za Mzee mkapa, mkapa aliondoka akamuacha Mbowe kama mwenyekiti baadaye akaja kikwete akamuacha Mbowe kama mwenyekiti

akaja Magufuli akamuacha Mbowe kama mwenyekiti na sasa ni Samia, kwa lugha nyingine ni kwamba CCM imepata wenyeviti wanne tofauti lkn Chadema kikiwa na mwenyekiti mmoja tu naye ni Freeman Alkael Mbowe

Ni kosa kubwa sana kuruhusu mawazo ya mtu mmoja anayekosea Mara kwa Mara kutowajibika pale anaposhindwa
uchaguzi wa Mwaka 2005 ulitosha kabisa kumuondosha Mbowe kama mwenyekiti wa Chadema

Lakini ameng'ang'ania madaraka tu utazani kupe na hatimaye America chama kwa kunyonya damu yote

Mbowe Hana Mamlaka ya kudai katiba mpya kwa sababu yeye mwenyewe ni mvurugaji namba moja wa katiba ndani ya chama chake

tutaendelea kujadili udikteta kama kigezo cha anguko la Chadema namba 2
Nani kasema chadema imekufa. Uchaguzi usingeibiwa na yule kichaa wabunge wote wa chadema wangerudi na lisu angekuwa rais. Jpm alitaka kukiua kwa nguvu akafa yeye
 
Mbona tumetapeliwa miaka sitini sasa mpaka deni la nje limefika trilioni 92? Tumetapeliwa kagoda, EPA, ESCROW, pesa za Radar, Richmond, Trilioni 1.5 za magufuli, mabilioni yanayoibwa kwenye ripoti ya CAG kila mwaka etc.
Sio bora na Ccm kuliko nyie
 
Acha uongo. Lowassa kaleta kura milioni 6 ambazo hazijawahi kupatikana na pia kaleta wabunge wengi haijawahi kutokea. Kama kifo kingeonekana pale kwenye kura. Mpaka ccm wakakubali kupata asilimia 58 sio mchezo, ina maana waliiba sana kura.

Magufuli kwa kuiogopa chadema isije pata influence ikamtoa madrakani akazuia mikutano ya siasa hadi ya ndani kwa miaka mitano, na hata uchaguzi ulipofika 2020, akaengua wagombea robo tatu wa chadema, kama haitoshi akazima internet siku ya kupiga kura 2020.

Kama chadema ilikufa kwanini magufuli alihangaika hivyo?. Kama chadema ingekuwa imekufa wasingeleta ujinga wa kuzuia mikutano au kuenguwa wagombea wake.
Tatizo kujibia facts hawana uwezo huo maana nchi yetu wameipeleka south, umeongea facts hapo juu na hakuna mwana Lumumba humu atakayejibia, sana wataleta mzaha tu,hivi kuna anayeamini kabisa deep miyoni mwetu kuwa 2020 Tanzania ilifanya uchaguzi mkuu?
 
Tatizo Tz hamna upinzani uliosimama haswa watu wanaona bora tu wawaachie tu ma ccm yani upinzani uliponichosha haswa ni pale wlipomuachia Lowassa agombee, yani mnamuingiza tena adui na kumpa cheo aisee [emoji23][emoji23] ila tukiongea ukweli Nan wa upinzani anafaa kupewa nchi??? Wote hawana misimamo
Upinzani sio Chama ni Ideology, shuleni ulienda kusomea ujinga?
 
Tatizo Tz hamna upinzani uliosimama haswa watu wanaona bora tu wawaachie tu ma ccm yani upinzani uliponichosha haswa ni pale wlipomuachia Lowassa agombee, yani mnamuingiza tena adui na kumpa cheo aisee [emoji23][emoji23] ila tukiongea ukweli Nan wa upinzani anafaa kupewa nchi??? Wote hawana misimamo
Upinzani soo mtu wala Chama ni Ideology, upinzania upo hadi Family levol na huwezi ua Upinzani, saaa mlivyo wajinga mnazania Upinzano ni mtu
 
Chama kikiwa ni mwendelezo wa kiupinzani tuuu miaka na miaka bila ya kushika dola, Hata kama kikiwa na sera nzuri na mikakati mizuri kiasi gani, lazima kitachokwa tuu!

Chadema kinachokwa na mambo mengi. Miongoni mwake ni pamoja na hayo
Upinzania sio Chama ni Ideology, rudi shule ulio soma waambie wakurudishie ada yako make ilipotea bure
 
Chadema kama Mandonga tu maneno mengi utadhani wako serious hawana wanachogambania kama Mandonga yeye mechi za kirafiki tu hawana sera wanafuata trending kama Mandonga tu anaalikwa kupigana kama sherehe ya harusi tu. Miaka yote hiyo mpaka leo hujui wanasimamia nini tofauti na CCM.
Ulitaka wasimamie uswahili wako?
 
Tatizo kujibia facts hawana uwezo huo maana nchi yetu wameipeleka south, umeongea facts hapo juu na hakuna mwana Lumumba humu atakayejibia, sana wataleta mzaha tu,hivi kuna anayeamini kabisa deep miyoni mwetu kuwa 2020 Tanzania ilifanya uchaguzi mkuu?

Kweli mkui watu wanbwabwaja hapa. Wanasahau kuna kipindi chadema walipambana na bunge, mahakama na polisi kwa wakati mmoja. Wakapigwa faini ya milioni mia tatu ambayo haipo kisheria. Mpaka imekuja kutenguliwa juzi na mahakama kui na kuamuru pesa zirudishwe.
 
Back
Top Bottom