The Tanzanian government has announced that on August 23, 2022, a population and housing census will be held, which was last
Sio kila jambo ni Njama.umenunua wa shilingi ngapi? ina maana ishu ilikuwa ni watu wanunue umeme mwingi kwa pamoja au ilikuwa ni nini
Labda 👈walikuwa waataka ku update software au... sifanyi kazi huko.Sio njama ilikuwa ni nini ndio utusaidie
Tanesco wamo humu nadhani watakupa sababuKwanini watangaze kuahirisha kama walisha plan kufanya matengenezo
Serikali inayoishi kwa kuzingatia mtiririko wa matukio nje ya mipango ndo huwa ivoInaonesha jinsi taasisi, wizara, viongozi n.k wasivyounganika kujua kesho, wiki ijayo, mwezi, robo mwaka, mwaka ujao, 2025 n.k wamepanga kufanya nini kama taifa .
TANESCO wana yao, wizara ya fedha na mipango ina mpango kazi wao, Ofisi ya Rais wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa pia wana yao, maDC na MaRC wanakurupuka na maelekezo yao, Bunge pia lina lake jambo ..... ni kusubiri tamko au maagizo na wala wakuu wahusika hawawezi kulitazama jambo ktk upana wake.
Yaani hakuna mfumo wa utawala, serikali na taasisi za umma na binafsi zinazofanya mambo kwa pamoja.
Tunaowekaga umeme wa 2000 shuguli tunayo [emoji1]Mimi nishanunua Umeme.