saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
Jioni ya leo Agosti 17,2022 Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetoa tangazo la kuahirisha zoezi la matengenezo kinga kwenye mfumo wa LUKU kama ilivyotangazwa mapema hivi leo asubuhi.
Tangazo la awali lilisema Tanesco kuzima mfumo wa kununua Luku kwa siku 4 kuanzia Agosti 22 hadi 25 kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi.
Ndio tunajiuliza maswali mengi mlioko jikoni mtusaidie nini kilisababisha kutolewa tangazo hilo na nini kimesababisha kuahirisha zoezi hilo la matengenezo maana hazikutolewa sababu kwenye kuahirisha.
Tangazo la awali lilisema Tanesco kuzima mfumo wa kununua Luku kwa siku 4 kuanzia Agosti 22 hadi 25 kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi.
Ndio tunajiuliza maswali mengi mlioko jikoni mtusaidie nini kilisababisha kutolewa tangazo hilo na nini kimesababisha kuahirisha zoezi hilo la matengenezo maana hazikutolewa sababu kwenye kuahirisha.