Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Mada tayari, karibuni kwa mjadala...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?
Yeye hayupo kwenye Wizara ya HabariAndenda kumdhibiti msemaji wa serikali, pia hyo wizara haina skendo na huenda manjagu alikuwa hawaheshm wakaomba aondolewe.
Manjagu wamepelekewa mhagama mpole, tax mpole na masauni mpole
Raisi hachagui mtu kwa sababu ya familia yake, bali anamteua mtu kwa sababu ya sifa zake.Kutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?
Yule Ni Mkwerema, nchi Sasa Ni Yao, hakuna la kuharibikaKutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?
Wa kutoka wapi Oman or?Majibu anayo Bi Mwarabu
Labda amepata mchepuko baada ya kupata uwaziri.Kutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?
Wabongo [emoji23][emoji23][emoji23]Labda amepata mchepuko baada ya kupata uwaziri.
Andenda kumdhibiti msemaji wa serikali, pia hyo wizara haina skendo na huenda manjagu alikuwa hawaheshm wakaomba aondolewe.
Manjagu wamepelekewa mhagama mpole, tax mpole na masauni mpole
Ukielewa landscape hii basi jua kabisa Tanzania huwa inashinda kila inapoitwa leoAndenda kumdhibiti msemaji wa serikali, pia hyo wizara haina skendo na huenda manjagu alikuwa hawaheshm wakaomba aondolewe.
Manjagu wamepelekewa mhagama mpole, tax mpole na masauni mpole
Kuondoa au kupunguza kelele za "amemweka mkwe wake pale"Kutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?
Tena ashukuru mama ana huruma maana kosa alilofanya alistahiri kuwa tu mjumbe waKutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?
Raisi hachagui mtu kwa sababu ya familia yake, bali anamteua mtu kwa sababu ya sifa zake.
Alikuwa haelewani na TISS jamaa hakuwa na maadili ya kazi TISS walikuwa wanalalamika sana hakuweza kuwasaidia. Kifupi hiyo wizara imemfaa sana muache akate viuno mtoto wa kibiti.Kutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?