Nini kimemkuta Waziri Mchengerwa?

Nini kimemkuta Waziri Mchengerwa?

Ameonyesha uwezo mzuri kwenye Wizara aliyopewa mara ya kwanza kabisa kuiongoza na ndio maana wizara hii mpya ya Sanaa, utamaduni na Michezo nayo ni mpya hivyo yawezekana Rais ana maana yake .

Angeweza kumpa kokote Ila amempeleka kama Waziri kamili anajua pale hakuna kelele sana apumzike ale kimya.

Hata ingekuwa mimi ningefurahi kupelekwa kwenye michezo kwanza panakuweka karibu na wananchi kupitia michezo yaani unakutana na watu wakiwa kwenye raha tupu ni fulu kuwapa shangwe unajipatia umaarufu bila jasho.

Huko kwenye mambo magumu utakutana na majungu kila siku. Hapo anakula kimyakimya na mshahara ni wa Waziri hauna presha.

Hata madili yapo Kuna ujenzi wa viwanja vya watoto, Makumbusho nk hizo ni deal hazina presha hakuna atakayelalamika kuhusu tozo.
Wacha wee
 
Andenda kumdhibiti msemaji wa serikali, pia hyo wizara haina skendo na huenda manjagu alikuwa hawaheshm wakaomba aondolewe.

Manjagu wamepelekewa mhagama mpole, tax mpole na masauni mpole

Hapana dogp alizengua na alikua anaelekea kumchafua bi mkubwa kwa tamaa zake … pamoja na kuwa akiongea utajua huyu mtu ana madhaifu ya ujana pia … akijirekebisha atakuja kuwa kiongozi mzuri ila kwa sasa hajakomaaa kushika wozara Nyeti
 
Hapana dogp alizengua na alikua anaelekea kumchafua bi mkubwa kwa tamaa zake … pamoja na kuwa akiongea utajua huyu mtu ana madhaifu ya ujana pia … akijirekebisha atakuja kuwa kiongozi mzuri ila kwa sasa hajakomaaa kushika wozara Nyeti
Natamani kujua mawazo yako kuhusu huu uteuzi wa wakuu safari hii...
 
Andenda kumdhibiti msemaji wa serikali, pia hyo wizara haina skendo na huenda manjagu alikuwa hawaheshm wakaomba aondolewe.

Manjagu wamepelekewa mhagama mpole, tax mpole na masauni mpole
Hivi unajua hata unachoongea? Msemaji wa Serikali yupo wizara ya sanaa na utamaduni?
 
Ameonyesha uwezo mzuri kwenye Wizara aliyopewa mara ya kwanza kabisa kuiongoza na ndio maana wizara hii mpya ya Sanaa, utamaduni na Michezo nayo ni mpya hivyo yawezekana Rais ana maana yake .

Angeweza kumpa kokote Ila amempeleka kama Waziri kamili anajua pale hakuna kelele sana apumzike ale kimya.

Hata ingekuwa mimi ningefurahi kupelekwa kwenye michezo kwanza panakuweka karibu na wananchi kupitia michezo yaani unakutana na watu wakiwa kwenye raha tupu ni fulu kuwapa shangwe unajipatia umaarufu bila jasho.

Huko kwenye mambo magumu utakutana na majungu kila siku. Hapo anakula kimyakimya na mshahara ni wa Waziri hauna presha.

Hata madili yapo Kuna ujenzi wa viwanja vya watoto, Makumbusho nk hizo ni deal hazina presha hakuna atakayelalamika kuhusu tozo.
Kweli kabisa Chief, wizara kama madini, nishati, ujenzi na uchukuzi, fedha, afya na mambo ya ndani ni pasua kichwa sana! Ni bora ufichwe huko mambo ya nje, muungano, michezo, mifugo! Mkwere udhaifu wake haukuonekana sababu alijificha mambo ya nje miaka 10! Nakumbuka fedha na nishati hakudumu sana, kingmakers walishaona pangemuharibia
 
Andenda kumdhibiti msemaji wa serikali, pia hyo wizara haina skendo na huenda manjagu alikuwa hawaheshm wakaomba aondolewe.

Manjagu wamepelekewa mhagama mpole, tax mpole na masauni mpole
Kuna ukweli hapa
 
Mchengerwa atafua, kupika na kuosha vyombo. Na kuchelewa kurudi nyumbani marufuku.
Hiyo Ni indiketa aseme nyee nyee aone.
 
Andenda kumdhibiti msemaji wa serikali, pia hyo wizara haina skendo na huenda manjagu alikuwa hawaheshm wakaomba aondolewe.

Manjagu wamepelekewa mhagama mpole, tax mpole na masauni mpole
Msemaji wa Serikali yupo chini ya Waziri Nape
 
Kutoka wizara nyeti ya Utawala Bora na Utumishi wa Umma mpaka Wizara ya Michezo? Nini kimemkuta waziri huyu kutoka royal family?
Akiwa nyumbani alijaribu kumpiga mtoto wa mama kwhyo mtoto kaenda kushtaki kwa mama yake Ikulu na mama kampa Mchengerwa last warning na kumuondoka katika wizara ya karibu na yeye
 
Back
Top Bottom