Nini kimemkuta Waziri Mchengerwa?

Nini kimemkuta Waziri Mchengerwa?

Hapana dogp alizengua na alikua anaelekea kumchafua bi mkubwa kwa tamaa zake … pamoja na kuwa akiongea utajua huyu mtu ana madhaifu ya ujana pia … akijirekebisha atakuja kuwa kiongozi mzuri ila kwa sasa hajakomaaa kushika wozara Nyeti
Kwel ujana anao
 
Kumbe Hery James Ni wale wale anamwita mwendakuzimu mjomba. Ndio maana dogo alikua na kiburi Cha kupitiliza. Ni muda muafaka wa kujitafakari maana taa imezimika
Sema alinifurahisha baada tu ya kuona mjomba kafa akaomba radhi uma chap!
 
Ni sababu hatujaweka kipaumbele kwenye michezo kama moja ya sekta kubwa inayochangia mapato na kama sekta inayoweza kunyanyua sekta nyingine Kama utalii wa kimichezo, cultural tourism etc.
Nadhani ufinyu wa bajet unachangia
 
Mbona nilisikia hata yeye ni tiss? Na alikua kwenye kitengo cha waziri mkuu kipindi kile wanamfundisha dini cjui?
Hajawahi kuwa ofisi ya Waziri mkuu ever since, namfahamu toka tunamaliza shule Iringa huko na mpaka tunaajiriwa yeye akapata kazi ya uhakimu akapangiwa kitio Mbeya mjini .

In short amepanda akiwa judiciary mpaka akawa Katibu wa Jaji Kiongozi (JK) then nadhani uTISS ailupata kabla ya kuwa Hakimu sababu alipotea mwaka mzima wakati sisi tunajoin University.

Thereafter akajoin Makerere University ndio aliporudi akakuta Kuna recruitment ya mahakimu wenye degree by then walikuwa wanafanya mabadiliko ya judiciary wale wasio na degree wabaki Mahakama ya mwanzo.

Akaacha kazi judiciary 2015 akaingia jimboni rufiji akamng'oa jamaa alikuwaga waziri wa afya mwarabu fulani hivi.

Amepambana na hiyo dini anayo ever since hata mie baba yake ni muumini mzuri tu.

Huyo binti kakutana nae hukohuko kwenye siasa na kwa taarifa tu ni mke wa tatu huyo sio wa kwanza na wameoana hata kabla mama hajawa Rais.

Mengineyo ya kuhama wizara mama ndio anajua yawezekana ni kuhusu hao TISS kweli lakini why should we speculate itakuwa tunapoteza muda Cha muhimu ni Waziri Tena wizara isiyo na presha za wanajeshi mshahara ni uleule tu wa Waziri.
 
Weeeee yule bwana jeuri imelala pale haezi fanya mambo hayo doh!
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
Wanawake waone hivi hivi. Unaweza kumkuta mwanaume na sharubu zake anaogopa kurudi mapema kwenye nyumba yake aliyoijenga mwenyewe. Simu inaiweka pw kisa mwanamke.
 
Ana wake watatu tena huyu ndio mdogo na wameoana kabla hata mama kuwa Rais.
Umri ule anawake watatu?
Waislamu mna Raha!!!!
Duh. Imagine A akinuna unaona kabisa hapa Leo sipati Cha usiku fasta tu unakwenda zako B halafu sio kwa kujificha au Nini.....
 
Amekwishaongeza mke tayari, na hapo ndiyo kuna mgogoro mkubwa. Hata tuhuma za uchawi zinahusika
Naeza kuamini! Niongezee nyama kidogo bas! Ila nachojua jamaa ni mshirikina na ni jeuri atar! Maskin wanou mpoleee japo kawivu kamelala pale lakini ni mtu wa kurizika tu, ila na wanou si aliolewa akaachika?
 
Hajawahi kuwa ofisi ya Waziri mkuu ever since, namfahamu toka tunamaliza shule Iringa huko na mpaka tunaajiriwa yeye akapata kazi ya uhakimu akapangiwa kitio Mbeya mjini .

In short amepanda akiwa judiciary mpaka akawa Katibu wa Jaji Kiongozi (JK) then nadhani uTISS ailupata kabla ya kuwa Hakimu sababu alipotea mwaka mzima wakati sisi tunajoin University.

Thereafter akajoin Makerere University ndio aliporudi akakuta Kuna recruitment ya mahakimu wenye degree by then walikuwa wanafanya mabadiliko ya judiciary wale wasio na degree wabaki Mahakama ya mwanzo.

Akaacha kazi judiciary 2015 akaingia jimboni rufiji akamng'oa jamaa alikuwaga waziri wa afya mwarabu fulani hivi.

Amepambana na hiyo dini anayo ever since hata mie baba yake ni muumini mzuri tu.

Huyo binti kakutana nae hukohuko kwenye siasa na kwa taarifa tu ni mke wa tatu huyo sio wa kwanza na wameoana hata kabla mama hajawa Rais.

Mengineyo ya kuhama wizara mama ndio anajua yawezekana ni kuhusu hao TISS kweli lakini why should we speculate itakuwa tunapoteza muda Cha muhimu ni Waziri Tena wizara isiyo na presha za wanajeshi mshahara ni uleule tu wa Waziri.
Namaanisha alikua akimsaidia waziri kumfundisha dini maana nilisikia alikua hajui kabisa!
 
Huyu dogo si ndiye aliyekuwa anawambia maaskofu kuwa fungeni midomo yenu.
Inaezekana! Alikua na mdomo mchafu hasa! Ila nadhani katika sukumagang yeye alikua wa kwwnza kukubali magu kafa na upepo ushabadilika akaita media akaomba msahama fasta
 
Andenda kumdhibiti msemaji wa serikali, pia hyo wizara haina skendo na huenda manjagu alikuwa hawaheshm wakaomba aondolewe.

Manjagu wamepelekewa mhagama mpole, tax mpole na masauni mpole
Mchengerwa hakuwa waziri wa mambo ya ndani...kabla ya kuandika mambo uwe unachunguza.. Mchengerwa alikuwa Utawala bora na utumishi. Vitu tofauti
 
Back
Top Bottom