Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Wameshaoana ?Mo anaona wivu,Barbara siku hizi ni mke wa January Makamba. Mo si alikuwa danga la Barbara. Sasa Mo amelipiza kisasi kwa Barbara. Hajampa mikwanja. Kuchapiwa kubaya nyie.
Dini yao inaruhusu mitaala. Walishaoana.Wameshaoana ?
Makamba nimemsamehe dhambi zake kwa kuweza kuoa hilo toto lenye akili nyingi sana. Huwa nakaa natafakari toto jeupe kama lile lenye akili zake lililokulia ushuani linaamua kukuvulia kwa hiari yake sipati picha. MAKAMBA FOR PRESIDENT 2030.Dini yao inaruhusu mitaala. Walishaoana.
January ni dini gani?Dini yao inaruhusu mitaala. Walishaoana.
IslamJanuary ni dini gani?
🤣🤣 Hapo kwenye Urais 2030 haiwezekani. Rais atakuwa mkristo.Makamba nimemsamehe dhambi zake kwa kuweza kuoa hilo toto lenye akili nyingi sana. Huwa nakaa natafakari toto jeupe kama lile lenye akili zake lililokulia ushuani linaamua kukuvulia kwa hiari yake sipati picha. MAKAMBA FOR PRESIDENT 2030.
Ndio anatuma salamu kwa wachekechajiAtulie kashachekechwa 🤣🤣🤣
Wewe kichwani zimo kweli? Sorry lakini.Makamba nimemsamehe dhambi zake kwa kuweza kuoa hilo toto lenye akili nyingi sana. Huwa nakaa natafakari toto jeupe kama lile lenye akili zake lililokulia ushuani linaamua kukuvulia kwa hiari yake sipati picha. MAKAMBA FOR PRESIDENT 2030.
Ila hili taifa lina uozo wa ubaguzi manina 🤣🤣🤣 Hapo kwenye Urais 2030 haiwezekani. Rais atakuwa mkristo.
Kwa ushujaa alioonyesha apewe hata uwaziri mkuu halafu Barbra awe Makamu wa Rais kwa Rais Humphrey Polepole.🤣🤣 Hapo kwenye Urais 2030 haiwezekani. Rais atakuwa mkristo.
Ameingia lini kwenye Uislamu?Islam
Tokea siku zote ni muislam,ndo hivi karibuni ilisemekana anataka kubadili dini na kuwa mkristo ili aongeze chance ya kuchaguliwa kuwa mgombea urais CCM 2030.Ameingia lini kwenye Uislamu?
Makamba ni muislamu tangu lini? Mzee Makamba umewahi kumuona msikitini?Tokea siku zote ni muislam,ndo hivi karibuni ilisemekana anataka kubadili dini na kuwa mkristo ili aongeze chance ya kuchaguliwa kuwa mgombea urais CCM 2030.