Nini kimempata CEO wa zamani wa Simba Barbra Gonzalez?

Nini kimempata CEO wa zamani wa Simba Barbra Gonzalez?

Hahahaha, mark my words.Yule anatembeza pesa.Yaani wakipeleka tu jina lake kwenye yale majina 5 baasi.Labda wamfanyie kama Lowassa.Mwigulu kamnunua mpaka Kigogo,Mange Kimambi.
Aaha wapi bado hujanishawishi
✍️
 
Makamba ni muislamu tangu lini? Mzee Makamba umewahi kumuona msikitini?

By the way mama yake January Makamba ni Mkristo Mkatoliki, kwahiyo si kwamba anabadili dini Bali kubatizwa na kuishi kwenye imani ya Ukristo.
Inawezekan Kweli mm cjawai kuona akiangaika na waislamu angalabu amefah kanzu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
January hajawahi kuwa mwislamu, hata baba yake Mzee Makamba siyo mwislamu.

Ukweli huu haumpi sifa yoyote ya Urais.
Hapa kaenda kuswali Eid kama nani?
 

Attachments

  • 20230715_175338.jpg
    20230715_175338.jpg
    145.7 KB · Views: 5
Back
Top Bottom