MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Acha kukaza fuvu.Noted: we umewaza kuvua tu akili mbovu mbovu
✍️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kukaza fuvu.Noted: we umewaza kuvua tu akili mbovu mbovu
✍️
Urais, unamfanya abadili dini.Mwislam labda aanze kuhudhulia St. Peter leo akapewe ubatizo
✍️
Wewe ndo unampikia Mungu chai sio?Mnampigia debe, nilisikia kabadili dini na kuwa mkristo. Kumbe kweli aisee.Anatafuta Urais kwa nguvu zote. Sema nini hata iweje hawezi kuwa Rais.Mark my words.
Hahahaha, mark my words.Yule anatembeza pesa.Yaani wakipeleka tu jina lake kwenye yale majina 5 baasi.Labda wamfanyie kama Lowassa.Mwigulu kamnunua mpaka Kigogo,Mange Kimambi.Rais wa mawe au ?
✍️
Niko hapa,huyu ndugu tako haji kuwa Rais kamwe.Wewe ndo unampikia Mungu chai sio?
January hajawahi kuwa mwislamu, hata baba yake Mzee Makamba siyo mwislamu.Urais, unamfanya abadili dini.
Aaha wapi bado hujanishawishiHahahaha, mark my words.Yule anatembeza pesa.Yaani wakipeleka tu jina lake kwenye yale majina 5 baasi.Labda wamfanyie kama Lowassa.Mwigulu kamnunua mpaka Kigogo,Mange Kimambi.
Kwa hio wale ni tuwaiteje wapagani au maana hawana dini au ushawahi kumuona church ?January hajawahi kuwa mwislamu, hata baba yake Mzee Makamba siyo mwislamu.
Ukweli huu haumpi sifa yoyote ya Urais.
Mchepuko wako Mwigulu ndo hata top ten haendiHahahaha, mark my words.Yule anatembeza pesa.Yaani wakipeleka tu jina lake kwenye yale majina 5 baasi.Labda wamfanyie kama Lowassa.Mwigulu kamnunua mpaka Kigogo,Mange Kimambi.
Hivi ukiwa mwanasiasa huwa hujui kama kuna kifo wala magonjwa?Boss ni jamaa yake,anampigia debe Urais 2030.
Inawezekan Kweli mm cjawai kuona akiangaika na waislamu angalabu amefah kanzuMakamba ni muislamu tangu lini? Mzee Makamba umewahi kumuona msikitini?
By the way mama yake January Makamba ni Mkristo Mkatoliki, kwahiyo si kwamba anabadili dini Bali kubatizwa na kuishi kwenye imani ya Ukristo.
Na wewe unaongelea nini ?Akili kubwa zinaongelea maendeleo.
Akili za kawaida zinaongelea matukio.
Akili ndogo zinaongelea watu.
Wee uliyeongwa na dipii weldi nyamaza tuAkili kubwa zinaongelea maendeleo.
Akili za kawaida zinaongelea matukio.
Akili ndogo zinaongelea watu.
Hapa kaenda kuswali Eid kama nani?January hajawahi kuwa mwislamu, hata baba yake Mzee Makamba siyo mwislamu.
Ukweli huu haumpi sifa yoyote ya Urais.
Mumewahi kumuona akiingia msikitini?! January mama yake ni mnaswara na jina la January pia linaasili ya nchi za magharibi mwa Dunia. Sasa huo uislamu wa January ni uislamu wa kufikirika.Islam
Wewe hauna uhakika, mimi ninao uhakika. Nitakuja kukumbusha hii post 2030.Hivi ukiwa mwanasiasa huwa hujui kama kuna kifo wala magonjwa?
Yani kuna binadamu wenzetu tayari wana uhakika wa kuiona 2030?