Nini kimempata CEO wa zamani wa Simba Barbra Gonzalez?

Makamba ni muislamu tangu lini? Mzee Makamba umewahi kumuona msikitini?

By the way mama yake January Makamba ni Mkristo Mkatoliki, kwahiyo si kwamba anabadili dini Bali kubatizwa na kuishi kwenye imani ya Ukristo.
Mmeshaanza kutupanga mapema kabisa yale ya Malechela naona yanajirudia Mzee jumanne.
 
Hivi una akili nzuri?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Uliwahi kupata hitilafu yoyote kwenye mshipa wowote unaopeleka damu kwenye ubongo wako?
 
Hii mtatuonea bure Arusha...HATUJAKUUZIA ,utakuwa umeipata Njombe huko
 
Mmeshaanza kutupanga mapema kabisa yale ya Malechela naona yanajirudia Mzee jumanne.
Yani mimi nipigie kura Ccm nimerogwa?

Hivi kama tumekosa watu wa kuwapa Urais si bora tugawane nchi tu tuongozwe na machifu wetu kama zamani, hivi watu wahuni kama huyu January Makamba wanapata wapi ujasiri wa kuthubutu tu kuwaza Urais?

Ccm mnatudharau sana Watanzania ila mwisho wenu umefika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…