Mmeshaanza kutupanga mapema kabisa yale ya Malechela naona yanajirudia Mzee jumanne.Makamba ni muislamu tangu lini? Mzee Makamba umewahi kumuona msikitini?
By the way mama yake January Makamba ni Mkristo Mkatoliki, kwahiyo si kwamba anabadili dini Bali kubatizwa na kuishi kwenye imani ya Ukristo.
Mwanamke kupata cheo,kazi au pesa bila kutumia Ile kitu ni ngumu sanaMbona nilikuwa namuona kama msomi Fulani hivi kumbe hana tofauti na kina Shishi baby? Uswahili uswahili uswahili.
Na wewe njoo nikuchapeMo anaona wivu,Barbara siku hizi ni mke wa January Makamba. Mo si alikuwa danga la Barbara. Sasa Mo amelipiza kisasi kwa Barbara. Hajampa mikwanja. Kuchapiwa kubaya nyie.
Hivi una akili nzuri?Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo ya urais kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho kifungu ili kukidhi mahitaji yetu kwa sasa.. Mama Samia aongoze hadi 2040.
Uliwahi kupata hitilafu yoyote kwenye mshipa wowote unaopeleka damu kwenye ubongo wako?Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo ya urais kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho kifungu ili kukidhi mahitaji yetu kwa sasa.. Mama Samia aongoze hadi 2040.
Kitu ganiMwanamke kupata cheo,kazi au pesa bila kutumia Ile kitu ni ngumu sana
Hii mtatuonea bure Arusha...HATUJAKUUZIA ,utakuwa umeipata Njombe hukoKatiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo ya urais kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho kifungu ili kukidhi mahitaji yetu kwa sasa.. Mama Samia aongoze hadi 2040.
MakuKitu gani
Barbara kaolewa lini na JM, Daslam mambo mengi sana mpaka hadi vitu vya shangwe kama harusi vinatupita.Mo anaona wivu,Barbara siku hizi ni mke wa January Makamba. Mo si alikuwa danga la Barbara. Sasa Mo amelipiza kisasi kwa Barbara. Hajampa mikwanja. Kuchapiwa kubaya nyie.
Tena mkatoliki[emoji1787][emoji1787] Hapo kwenye Urais 2030 haiwezekani. Rais atakuwa mkristo.
Noted: we umewaza kuvua tu akili mbovu mbovulinaamua kukuvulia kwa hiari yake sipati picha
Yani mimi nipigie kura Ccm nimerogwa?Mmeshaanza kutupanga mapema kabisa yale ya Malechela naona yanajirudia Mzee jumanne.
Yeyote yule.Ila atakuwa mkristo .Ila kusema ukweli ninamuona kabisa Mwigulu atakuwa Rais .Mwigulu ni mlutheri.Tena mkatoliki
Huyu mama ndio Rais wa mwisho kutokea Ccm, endeleeni kujizima data tu.Yeyote yule.Ila atakuwa mkristo .Ila kusema ukweli ninamuona kabisa Mwigulu atakuwa Rais .Mwigulu ni mlutheri.
NotedHivi kama tumekosa watu wa kuwapa Urais si bora tugawane nchi tu tuongozwe na machifu wetu kama zamani, hivi watu wahuni kama huyu January Makamba wanapata wapi ujasiri wa kuthubutu tubkuwaza Urais?
Punguza uongo..Islam
Rais wa mawe au ?Mwigulu atakuwa Rais
Kwa ile ile tume,Upinzani itakuwa ngumu sana kushinda uchaguzi. Ninajua ipo siku Upinzani watashinda, as tunakoelekea vijana ni wengi kuliko wazee. Vijana sasa wanajitambua.Huyu mama ndio Rais wa mwisho kutokea Ccm, endeleeni kujizima data tu.
Mwislam labda aanze kuhudhulia St. Peter leo akapewe ubatizoPunguza uongo..
January mkatoliki
Mnampigia debe, nilisikia kabadili dini na kuwa mkristo. Kumbe kweli aisee.Anatafuta Urais kwa nguvu zote. Sema nini hata iweje hawezi kuwa Rais.Mark my words.Punguza uongo..
January mkatoliki