Nini kimempata CEO wa zamani wa Simba Barbra Gonzalez?

Hahahaha, mark my words.Yule anatembeza pesa.Yaani wakipeleka tu jina lake kwenye yale majina 5 baasi.Labda wamfanyie kama Lowassa.Mwigulu kamnunua mpaka Kigogo,Mange Kimambi.
Aaha wapi bado hujanishawishi
✍️
 
Makamba ni muislamu tangu lini? Mzee Makamba umewahi kumuona msikitini?

By the way mama yake January Makamba ni Mkristo Mkatoliki, kwahiyo si kwamba anabadili dini Bali kubatizwa na kuishi kwenye imani ya Ukristo.
Inawezekan Kweli mm cjawai kuona akiangaika na waislamu angalabu amefah kanzu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…