Nini kimempata CEO wa zamani wa Simba Barbra Gonzalez?

Mo anaona wivu,Barbara siku hizi ni mke wa January Makamba. Mo si alikuwa danga la Barbara. Sasa Mo amelipiza kisasi kwa Barbara. Hajampa mikwanja. Kuchapiwa kubaya nyie.
Aisee hatari sii mchezo mbususu balaa tupu
 
Kigogo ni January ananuliwaje wakati ni mahasimu wanachekeana kinafki

Na wewe unatoaga boko
Hahahaha, mark my words.Yule anatembeza pesa.Yaani wakipeleka tu jina lake kwenye yale majina 5 baasi.Labda wamfanyie kama Lowassa.Mwigulu kamnunua mpaka Kigogo,Mange Kimambi.
 
Yes mkewe wa kwanza ni mkristo, mama January pia ni mkristo. Ila January na mkewe wa pili (Barbara) ni waislamu.
 
Ila umemuona akiingia kanisani?View attachment 2689125
Nakumbuka mwezi wa ramadhani iliyopita Raisi William Ruto na makamu wa raisi wa Kenya jina lake ni gumu Huwa linanishinda kutamka na kuandika waliingia msikitini na kushiriki swala ya magharibi na waislamu muda mfupi kabla ya futari lakini haimaanishi kuwa kwa kiingia msikitini tayari ni waislamu.
Uislamu wa January bado ni uislamu wa kufikirika.
Nineona picha ya freeman Mbowe pia akiwa na kanzu na baraghashia akiwa kwenye Baraza la Eid na sidhani kama na yeye keshakiwa muislamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…