Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio sababu wanaccm karibia wote huabudu vyeo, wanajua nje ya madaraka wanaweza kuwa 🌈 wote.View attachment 3050595
aliekua Waziri Wa Mambo ya Ndani kipindi cha Jk, Lawrence Kingo Masha ana zunguka Makanisani walau aweze kupata Msaada wa Kimawazo, nini kimetokea ? Hana watu sahihi wa kumsaidia kati ya waliomzunguka ?
Hayo ndo maisha kila mtu ana zamu yake, unafikia hatua unakosa mtu sahihi wa kuamini kabisa, jnaona aliens ni bora kuliko ulio nao urafiki.View attachment 3050595
aliekua Waziri Wa Mambo ya Ndani kipindi cha Jk, Lawrence Kingo Masha ana zunguka Makanisani walau aweze kupata Msaada wa Kimawazo, nini kimetokea ? Hana watu sahihi wa kumsaidia kati ya waliomzunguka ?
Buza kwa Lulenge kwa mkongomani mmoja Freemason anayejiita kiboko ya wachawi.Anazunguka katika nyumba za ibada wapi?
Jiandae na laki tano gharama ya kumuona.Yule jamaa sijui anahuburi saa ngapi. jioni nitakwenda kule..
Na shekh wa dasalama alingoa mpaka viyoyozi na mifagio ya ofisini [emoji1787][emoji1787]Nape akiona watu kama kina Masha anazidi kuchanganyikiwa alafu mnakumbuka huyu Masha alipotumbuliwa aling"oa hadi vitasa vya milango ya ofisi yake akidai amenunua kwa hela yake?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yule nabii nae tapeli tu, anafanya ramli chonganishi Sasa je Masha akitoka pale akaenda kumkata panga mkewe?Masha alikua bonge la brazamen... enzi hizo tuko sekondari yeye ni waziri wa nishati vile....mtanashati nadhifu..anaongea kiswanglish...mtoto kutoka familia bora ..sijui nini kimempata...
Nimeona video yake eti yuko kwa yule mganga sijui nabii kiboko ya wachawi..anaambiwa mke wake ndo mbaya wake imajini😇😇😇😇😇🙄
Hukumuona kwa kiboko ya wachawi akiombewaAnazunguka katika nyumba za ibada wapi?