Nini kimempata Rais Museveni, kwanini ameomba sheria ya kubana mapenzi ya jinsia moja ifanyiwe marekebisho, Mabeberu wamemchimba mkwara?

Nini kimempata Rais Museveni, kwanini ameomba sheria ya kubana mapenzi ya jinsia moja ifanyiwe marekebisho, Mabeberu wamemchimba mkwara?

Papa yuko vatikani anasema mashoga ni wana wa Mungu mse7 awezi kumpinga kiongozi wake wa dini kanisa ndilo linalo ongoza dunia atakae pinga ushoga usagaji ukahaba kukiona

Ukatoliki na ushoga ni kama samaki na maji.
 
Kuchagua soba ameamua kushugulika na chanzo cha tatizo siyo kutibu dalili ni busara ya pekee
 
Mbona kuna mashoga wengi huku, Ni kawaida kama yeye Raisi ameongeza mapendezo ambayo ata mimi nimeona yako vzr hasa upande wa kuwanyonga mabasha nyie mnaoona kushindwa hajafatiria hii habr vyema




'Wewe ni mwanaume'... ’kuwa mwanaume’,
From putin[emoji635][emoji1218]
1682259997670.jpg
 
View attachment 2595606

Afrika iliweza kushuhudia wiki chache zilizopita bunge la Uganda likipitisha muswada wa kutokomeza ushoga kimafia, Wengi tukaona Uganda awe mfano wa kuigwa na tukawapongeza sana kwamba ndio taifa la kuigwa katika suala la kulinda maadili yetu ya kiafrika.

Kilichobaki ilikuwa ni kumpasia pasi museveni amalizie kupitisha muswada huu uwe sheria, ilibaki tu saini ya Rais Museveni kufanya muswada huo uwe sheria, Kila mtu alijua Museveni ataipitisha fasta tu maana hata katika hotuba zake na vyombo vya kimataifa hamungunyi maneno wala kukwepesha, wala haogopagi chochote kusema hakuna watu wanaomkera kama wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na anatamani wasiwepo kabisa kwa namna yoyote.

La haula!! Museveni kagoma kusaini muswada huo, kaomba upitiwe upya, Museveni tunaemjua huyu au !?

Wabunge walipedekeza muswada huu adhabu za vifungo vya gerezani na kifo kwa wale wanaobaka lakini Museveni kwa sasa kapendekeza kuwe na rehab, rehab ni kama zile sober house za wenye uraibu.

Hakika ni kitu cha kushangaza maana ikumbukwe Raisi huyu alikuwa ni kichwa cha treni kuwa mstari wa mbele kutamani kabisa kuutokomeza ushoga hata kwa mbinu za kimafia , nini kimetokea mpaka kawa hivi ??

Conclusion: Hivi vitu viwe kimya kimya tu kama hapa bongo unawekwa ndani miaka 30 kimya kimya, kwa sasa kupiga kelele kwa wanaotoa misaada ni kutafuta attention unnecessary, ni mwendo wa kimya kimya tu
Inje ya mada hii jamii foram ukiwa nije ya inchi haipatikani au tatizo nini au ndio ban jamani nieleweshwe,nipo Kongo huku toka nimefika nahangaika nashindwa kabisa kuingia.
 
View attachment 2595606

Afrika iliweza kushuhudia wiki chache zilizopita bunge la Uganda likipitisha muswada wa kutokomeza ushoga kimafia, Wengi tukaona Uganda awe mfano wa kuigwa na tukawapongeza sana kwamba ndio taifa la kuigwa katika suala la kulinda maadili yetu ya kiafrika.

Kilichobaki ilikuwa ni kumpasia pasi museveni amalizie kupitisha muswada huu uwe sheria, ilibaki tu saini ya Rais Museveni kufanya muswada huo uwe sheria, Kila mtu alijua Museveni ataipitisha fasta tu maana hata katika hotuba zake na vyombo vya kimataifa hamungunyi maneno wala kukwepesha, wala haogopagi chochote kusema hakuna watu wanaomkera kama wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na anatamani wasiwepo kabisa kwa namna yoyote.

La haula!! Museveni kagoma kusaini muswada huo, kaomba upitiwe upya, Museveni tunaemjua huyu au !?

Wabunge walipedekeza muswada huu adhabu za vifungo vya gerezani na kifo kwa wale wanaobaka lakini Museveni kwa sasa kapendekeza kuwe na rehab, rehab ni kama zile sober house za wenye uraibu.

Hakika ni kitu cha kushangaza maana ikumbukwe Raisi huyu alikuwa ni kichwa cha treni kuwa mstari wa mbele kutamani kabisa kuutokomeza ushoga hata kwa mbinu za kimafia , nini kimetokea mpaka kawa hivi ??

Conclusion: Hivi vitu viwe kimya kimya tu kama hapa bongo unawekwa ndani miaka 30 kimya kimya, kwa sasa kupiga kelele kwa wanaotoa misaada ni kutafuta attention unnecessary, ni mwendo wa kimya kimya tu
Muwe mnafatilia habari kwa undani sio kukurupuka tu. Mseveni kakataa kusaini muswada huo akiwataka urudishwe bungeni uongezewe makali zaidi. Mishoga inaleta kakipande kadogo kutuaminisha amesanda. Mzee kiboko sana huyu[emoji3][emoji3]
 
Nashindwa kuamini sayari ya dunia imefika hatua ushoga unabambaniwa
 
Waafrika wengi ni wajinga sana kama wanyama hususani wabongo. Wengi walimsifia Museveni bila kujua nini kilikua kinaendelea Uganda!

Muswada ule haukupelekwq Bungeni na serikali ya Museveni bali ni mbunge mmoja ndie alipeleka mapendekezo hayo kama ambavyo mbunge yeyote anaweza kufanya hapa Tanganyika, baada ya muswada kupita Bungeni ndipo Rais husaini uwe sheria.

Sasa kwakua Muswada ule haukutokea serikalini kinyume na mazwazwa wengi walivyoamini ndipo Museveni kaomba marekebisho kama ilivyotangazwa.

Kuna a very thin line katika uwezo wa kufikiri kati ya mwafrika na mnyama.
"Kuna a very thin line katika uwezo wa kufikiri kati ya mwafrika na mnyama". Sijawahi kuona mtu anajitukana hivi inawezakana unajiongelea mwenyewe na siyo waafrika.
Wajinga na Wapumbavu wapo kwenye societies zote tunatofautiana idadi tu.
 
Waafrika ni wanyama na wafu wanaotembea. Ndio maana pamoja na rasilimali tele zilizojaa bado tunaishi kinyama. Zaidi ya akili ya kujifuta mavi hamna kipya mwafrika anaweza jisimamia.

Mwafrika ni mtu wa hovyo sana.
Sawa cha msingi na wewe ni mwaafrika.
 
Umesema wewe ni msomi!? Kazi ipo,
Yaani msomi wewe unataka victims ndio waanzishe kampeni ya kusema sisi tulifanyiwa hivi na hivi kwa hiyo wasifanyiwe wengine, lol

Wakati hao viongozi wenu wa dini, wajomba zenu, mabwana zenu waliozalisha hilo kundi mnakula nao na kugonga glass huku wakishinikiza homosexuals wauawe,

Fikiri zaidi.
Yaan mie nachokaa kwa kweliiii, sijui hata nifanyeje huendaa watu wataelewaa.
 
Unajua ni kwanini watu wanaunga mkono serikali?

Ni kwa sababu mashoga wa Tanzania wengi wao wanaharibu wadogo zetu kwa makusudi.Ipo mifano ya mashoga wanaokuwadia vijana wa shule kwa mabasha.Juzi kati hapa kuna mashoga waliandaa event ya kuwafundisha watoto wa kiume jinsi ya kujiandaa kabla ya kwenda kuonana na mwanaume na vitu kama hivyo.

Mfano wewe hapa JF nimepitia post zako za nyuma nimekuta sehemu unafurahia watoto wa hostel na bwenin wakifiryanah.Hii inafanya watu wakuone mbaya na wakuchukie.

Mim pamoja na usomi wangu kidogo siamin ktk mashoga wakuzaliwa sbb mm ni mkristo na imani yangu inasema tofauti.

Ninachoamini kwa hakika ni kuwa wapo mashoga ambao ni matokeo ya kulawitiwa utotoni.

Wapo walioingia huko kwa kuponzwa na tamaa.

Sasa basi wale gays ambao leo hii ni gays kwa kufanyiwa ushetani utotoni na viongoz wetu wa dini au baba na wajomba zetu walitakiwa waunge tena kukemea ushoga kulazimishwa kwa watoto na vijana na sio kufurahia.

Kama gay kawa gay kwa kulawitiwa utotoni kwanin badala ya kutaka ushoga kuonekana kitu cha kawaida asifanye kampen ya kuifungua macho jamii kuwa msituchukie tuko hiv tulivyo sbb mmetutengeneza wenyewe.Msituchukie bali tushirikiane kuona tufanyaje ili watoto wengine wasifanyiwe kama tulivyofanyiwa sisi.Ikiwa hivi ni rahisi kuingiza hata hoja za kuzaliwa hivyo mtu ukaeleweka.

LOVE LEAD
Huwezi kuwa na upendo then ukafurahia kuona watoto na wadogo zetu wanaingizwa ktk ushoga kisa kifo cha wengi ni harusi.
sijawahi kufurahia wala kushabikia watoto wawe mashoga, au kuwafundishaaa, Nafikiri utakua umekurupuka ktk kupitia hizo comments zangu, zisome kwa umakini afu utafakari.

Ninachopinga huwa ni kukiukwa kwa kanuni na taratibu, na siku zote huwa nasema shule za jinsia 1 zivunjwee, sababu yanayotendeka huko sio mazuri hata kidogo, najua ulisoma kuhusu kuwa mwanafunzi akikutwa shoga afukuzwee, na kushitakiwa, ndipo nilipopinga na watu wakadai mie nafurahia wanafunzi kuharibika, sasa rudi kasome tenaa palee ili upatee kuelewaa. Siku zote nitasema ukweli haijalishi kuna watu hawapendi au hawataki kusikia.

Km kuna watu au kundi lipo linalofundisha watoto hayo mambo basi wachukuliwe hatua, na ithibitike kweli sio kutuhumu watu holela hii ndio tunapingaaa, watu wapatikane kwa kufuata taratibu na kanuni..

Naomba kuku uliza wee hoja zako za kupinga ushoga unachukua kupitia Dini??
 
Yaani kuna watu wapumbavu sana hasa watu kama misukule watanzania , yaani kudivert attention ya watu kuweka attention na masuala muhimu yanayogusa nchi na kuhathiri maisha ya mwananchi kwa kiasi kikubwa wao wanaongelea trivial issues zinazohusu faragha ya mtu , na ccm imeshakuwa jinsi ya kucheza na akili ya misukule ya kitanzania
Mbwa kabisa ,I'm so sick
Yaan wee acha tyuuh, inashangaza kwa kweli.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti shoga limefurahi dah ! Hii vita ya mashoga na serikali zao imekaa patamu sana . Mashoga sahizi yanafanya party huko UGANDA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mu7 kasalimu amri, haya wafuasi wake waungane nae kukana huo muswadaa.

Alikua ana wachota akili watu, hata yeye alijua uwezo hana kabisaa. Lol
Sheria bhana kwenye kuzitunga na kuzipitisha watu wanatakiwa kuwa makini sana zisije kukurudia, Kuna president nakumbuka ni Asia aliwahi sign sheria ya kunyongwa Hadi kufa kama ukikutwa na dawa za kulevya,siku si mwanae mpendwa akadakwa ilikuwa ni mjadala dunia nzima jamaa akukubali mwanae anyongwe alipindisha sheria😀😀😀ni sawa na ushoga unapitisha sheria ya kuua mashoga Kwa sababu mwanao sio shoga,mara paah mwanao anagundulika ni shoga 😀😀hapo sijui itakuwaje au ndo wanatunga sheria za kuwakandamiza watu Baki na sio wao,
 
Back
Top Bottom