Chura
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,385
- 2,402
Ilikua swala muda tu why mulamula...
Mosi Balozi liberata ni mtendaji mzuri ila sio mwanasiasa mzuri kuna issue nyingi za kisiasa zinahusu diplomasia ambazo alitakiwa azitolee ufafanuzi kama mwanasiasa ila alishindwa mfano, issue ya Royal tour baada ya kupokelewa tofauti na watanzania wengi wakilitazama kama jambo la kufuja kodi, balozi waziri hakuwahi kulielezea swala hilo kwa namna ya kutuliza mambo akiwa kama mwanasiasa.Mfano mwingine Rais kunyweshana juice na Rais mwenzie wa kiume hili nalo lilipita hivi hivi wakati tulitarajia wajuvi wa maswala haya kutoka chuo cha diplomasia ama wizara ya mambo ya nje, wajiachie lakini ndo kama hivyo ikawa bora liende, ishu ya kupanda basi msibani ambayo ilichukuliwa kwa uzito mdogo wakati kiuhalisia ilishusha hadhi sana ya mpendwa wetu Rais watu anawaongoza wali mdown look kwa kweli, kwenye wizara ya foreign serious hili swala lilitakiwa kupewa clarification ya uzito sana why this and not that, ila ndo kama hivyo wizara ya bibie iliona sawa tu.
Swala la pili ni umri, mulamula ana miaka 66 sasa, uwezo wake umejidhihirisha kupungua kila inapoitwa leo amekua akisahau sana mambo na ameshindwa kuzungumza vitu kwa ufasaha hivyo kuishia kucheka cheka tu.
3.Kushindwa kuwajibika kama sehemu ya maamuzi, collective guilty huyu mama aliwahi kujitoa kwenye maamuzi fulani ya serikali kuhusu usalama wa nchi ya Msumbiji hii kitaalamu alipuyanga sana hapa hata mzee mkuchika alimshangaa huyu bibie, maamuzi ya serikali hata kama yametolewa na kichwa kimoja hua ni maamuzi ya wote nilitegemea mama amuache soon baada ya kutoka Msumbiji ila sijui kwa nn amenkawiza kimtindo.
4.Wanawake wana mambo mengi sana ikiwemo wivu na husuda kuna tuhuma mwanamama alishindwa kuratibu picha ya namba moja wa kwetu na familia namba moja ya US, badala yake akatokea yeye kwenye picha ile adhimu, unaambiwa kule Zanzibar ilitembea misonyo na kujiapiza sio kwa nchi hii(😂😂😂hapa mnisamehe nimeandika kama Mange sababu hii ni udaku japo ile picha ya waziri na Biden plus Flotus kweli ipo.😂😂)
5. Tano na mwisho hili sasa ndo la msingi zaidi japo tuna haki ya kumtaka hiRais akiteua atoe sababu na akitumbua pia atoe sababu. However Kwa vile hatujawahi kudai rais atoe sababu za kumteua fulani, siku akitumbua pia hatuna uhalali wa kudai kupewa sababu.
Imperium locuta; causa finita est
Authority has spoken, the matter is settled.
Mosi Balozi liberata ni mtendaji mzuri ila sio mwanasiasa mzuri kuna issue nyingi za kisiasa zinahusu diplomasia ambazo alitakiwa azitolee ufafanuzi kama mwanasiasa ila alishindwa mfano, issue ya Royal tour baada ya kupokelewa tofauti na watanzania wengi wakilitazama kama jambo la kufuja kodi, balozi waziri hakuwahi kulielezea swala hilo kwa namna ya kutuliza mambo akiwa kama mwanasiasa.Mfano mwingine Rais kunyweshana juice na Rais mwenzie wa kiume hili nalo lilipita hivi hivi wakati tulitarajia wajuvi wa maswala haya kutoka chuo cha diplomasia ama wizara ya mambo ya nje, wajiachie lakini ndo kama hivyo ikawa bora liende, ishu ya kupanda basi msibani ambayo ilichukuliwa kwa uzito mdogo wakati kiuhalisia ilishusha hadhi sana ya mpendwa wetu Rais watu anawaongoza wali mdown look kwa kweli, kwenye wizara ya foreign serious hili swala lilitakiwa kupewa clarification ya uzito sana why this and not that, ila ndo kama hivyo wizara ya bibie iliona sawa tu.
Swala la pili ni umri, mulamula ana miaka 66 sasa, uwezo wake umejidhihirisha kupungua kila inapoitwa leo amekua akisahau sana mambo na ameshindwa kuzungumza vitu kwa ufasaha hivyo kuishia kucheka cheka tu.
3.Kushindwa kuwajibika kama sehemu ya maamuzi, collective guilty huyu mama aliwahi kujitoa kwenye maamuzi fulani ya serikali kuhusu usalama wa nchi ya Msumbiji hii kitaalamu alipuyanga sana hapa hata mzee mkuchika alimshangaa huyu bibie, maamuzi ya serikali hata kama yametolewa na kichwa kimoja hua ni maamuzi ya wote nilitegemea mama amuache soon baada ya kutoka Msumbiji ila sijui kwa nn amenkawiza kimtindo.
4.Wanawake wana mambo mengi sana ikiwemo wivu na husuda kuna tuhuma mwanamama alishindwa kuratibu picha ya namba moja wa kwetu na familia namba moja ya US, badala yake akatokea yeye kwenye picha ile adhimu, unaambiwa kule Zanzibar ilitembea misonyo na kujiapiza sio kwa nchi hii(😂😂😂hapa mnisamehe nimeandika kama Mange sababu hii ni udaku japo ile picha ya waziri na Biden plus Flotus kweli ipo.😂😂)
5. Tano na mwisho hili sasa ndo la msingi zaidi japo tuna haki ya kumtaka hiRais akiteua atoe sababu na akitumbua pia atoe sababu. However Kwa vile hatujawahi kudai rais atoe sababu za kumteua fulani, siku akitumbua pia hatuna uhalali wa kudai kupewa sababu.
Imperium locuta; causa finita est
Authority has spoken, the matter is settled.