Nini kimemsibu Mulamula?

Nini kimemsibu Mulamula?

Umeongea na kuandika upotoshaji wa kimakusudi kwa kuonyesha kutokuwa na uelewa wa kutosha, Hoja ilizoweka hapo juu Ni za uongo na kinafiki Sana,

Hoja ya usafiri alioutumia mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani pamoja na viongozi wengine wengi tu waliokwenda kwenye mazishi ya Malkia wa uingereza yaliratibiwa na kusimamiwa na nchi mwenyeji katika kurahisisha usafiri na suala Zima la ulinzi na usalama kwa Hawa viongozi wetu, kwa kuwa Kama viongozi wetu wangetumia mfumo wa misafara kwa kilo mmoja Basi ingetumia muda mrefu Sana kumalizika wote na hata suala la ulinzi lingekuwa gumu Sana hasa kwa kuzingatia kuwa Ni Kama viongozi wote wa serikali na nchi walikuwa pale, hivyo hoja yako uliyotoa hapo juu inakosa mashiko

Hoja ya pili ambayo mh Rais wetu mpendwa alipokuwa kule msumbiji Napo Naoona umeamua kupotosha na kuandika uongo wako hapa kwa kuficha ajenda zako za kinafiki, kwani suala Hilo nilishalieleza Sana humu kwa wapotoshaji Kama wewe, kwamba ifahamike kuwa mh Rais wetu mpendwa hakutumia glas aliyotumia mwenyeji wake, Bali glasi ilibadilishwa na akapewa nyingine na msaidizi wake hatua chache alipotoka alipokuwa Amesimama mwenyeji wake, hata namna mh Rais wetu mpendwa alivyoipokea ilionyeshwa vyema japo kwa vipofu Kama wewe na mliojaa mihemuko na kukosa umakini unaweza usiona chochote kile na ukaja kupotosha hapa Kama ulivyofanya sasa

Mwisho ifahamike kuwa suala la uteuzi na utenguzi wa viongozi wa kuteuliwa na mh Rais wa nchi linabaki mikononi mwa mh Rais pekee , yeye ndiye anayeweza kufahamu kwa wakati gani na mazingira yapi mtu fulani ataweza kufaa katika nafasi fulani na kumudu majukumu yake kuendana na matarajio yake Rais, kwani Leo ndio Mara ya kwanza kufanya hivyo? Kwani mawaziri wangapi walikuwa katika wizara hiyo na wakapumzishwa na kupisha wengine? Kwani Leo ndio Mara ya kwanza kufanywa utenguzi na uteuzi mpya?

Tumuache mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani afanye kazi na watu au viongozi anaoona wanastahili kumsaidia kwa wakati huu katika kuwatumikia watanzania

Kazi iendeleee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
 
Umeongea na kuandika upotoshaji wa kimakusudi kwa kuonyesha kutokuwa na uelewa wa kutosha, Hoja ilizoweka hapo juu Ni za uongo na kinafiki Sana,

Hoja ya usafiri alioutumia mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani pamoja na viongozi wengine wengi tu waliokwenda kwenye mazishi ya Malkia wa uingereza yaliratibiwa na kusimamiwa na nchi mwenyeji katika kurahisisha usafiri na suala Zima la ulinzi na usalama kwa Hawa viongozi wetu, kwa kuwa Kama viongozi wetu wangetumia mfumo wa misafara kwa kilo mmoja Basi ingetumia muda mrefu Sana kumalizika wote na hata suala la ulinzi lingekuwa gumu Sana hasa kwa kuzingatia kuwa Ni Kama viongozi wote wa serikali na nchi walikuwa pale, hivyo hoja yako uliyotoa hapo juu inakosa mashiko

Hoja ya pili ambayo mh Rais wetu mpendwa alipokuwa kule msumbiji Napo Naoona umeamua kupotosha na kuandika uongo wako hapa kwa kuficha ajenda zako za kinafiki, kwani suala Hilo nilishalieleza Sana humu kwa wapotoshaji Kama wewe, kwamba ifahamike kuwa mh Rais wetu mpendwa hakutumia glas aliyotumia mwenyeji wake, Bali glasi ilibadilishwa na akapewa nyingine na msaidizi wake hatua chache alipotoka alipokuwa Amesimama mwenyeji wake, hata namna mh Rais wetu mpendwa alivyoipokea ilionyeshwa vyema japo kwa vipofu Kama wewe na mliojaa mihemuko na kukosa umakini unaweza usiona chochote kile na ukaja kupotosha hapa Kama ulivyofanya sasa

Mwisho ifahamike kuwa suala la uteuzi na utenguzi wa viongozi wa kuteuliwa na mh Rais wa nchi linabaki mikononi mwa mh Rais pekee , yeye ndiye anayeweza kufahamu kwa wakati gani na mazingira yapi mtu fulani ataweza kufaa katika nafasi fulani na kumudu majukumu yake kuendana na matarajio yake Rais, kwani Leo ndio Mara ya kwanza kufanya hivyo? Kwani mawaziri wangapi walikuwa katika wizara hiyo na wakapumzishwa na kupisha wengine? Kwani Leo ndio Mara ya kwanza kufanywa utenguzi na uteuzi mpya?

Tumuache mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani afanye kazi na watu au viongozi anaoona wanastahili kumsaidia kwa wakati huu katika kuwatumikia watanzania

Kazi iendeleee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Ongeza na namba ya simu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma sehemu amenunua jumba marekani wanadai hiyo ndio sababu
 
Sababu ulizozitoa zote ni sahihi na ongezea na hii, kwa nini alialikwa na Biden na kuandaliwa chakula cha dhifa ya Kitaifa white House juzi Kati yeye kama yeye badala ya VP aliyekuwepo huko au Rais?

Najaribu kuwaza tuu.
Mm naweza kukunga mkono kwa hoja yako hyo ya kumuhujumu au kujifanya mjuaji mbele ya dp

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Umeongea na kuandika upotoshaji wa kimakusudi kwa kuonyesha kutokuwa na uelewa wa kutosha, Hoja ilizoweka hapo juu Ni za uongo na kinafiki Sana,

Hoja ya usafiri alioutumia mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani pamoja na viongozi wengine wengi tu waliokwenda kwenye mazishi ya Malkia wa uingereza yaliratibiwa na kusimamiwa na nchi mwenyeji katika kurahisisha usafiri na suala Zima la ulinzi na usalama kwa Hawa viongozi wetu, kwa kuwa Kama viongozi wetu wangetumia mfumo wa misafara kwa kilo mmoja Basi ingetumia muda mrefu Sana kumalizika wote na hata suala la ulinzi lingekuwa gumu Sana hasa kwa kuzingatia kuwa Ni Kama viongozi wote wa serikali na nchi walikuwa pale, hivyo hoja yako uliyotoa hapo juu inakosa mashiko

Hoja ya pili ambayo mh Rais wetu mpendwa alipokuwa kule msumbiji Napo Naoona umeamua kupotosha na kuandika uongo wako hapa kwa kuficha ajenda zako za kinafiki, kwani suala Hilo nilishalieleza Sana humu kwa wapotoshaji Kama wewe, kwamba ifahamike kuwa mh Rais wetu mpendwa hakutumia glas aliyotumia mwenyeji wake, Bali glasi ilibadilishwa na akapewa nyingine na msaidizi wake hatua chache alipotoka alipokuwa Amesimama mwenyeji wake, hata namna mh Rais wetu mpendwa alivyoipokea ilionyeshwa vyema japo kwa vipofu Kama wewe na mliojaa mihemuko na kukosa umakini unaweza usiona chochote kile na ukaja kupotosha hapa Kama ulivyofanya sasa

Mwisho ifahamike kuwa suala la uteuzi na utenguzi wa viongozi wa kuteuliwa na mh Rais wa nchi linabaki mikononi mwa mh Rais pekee , yeye ndiye anayeweza kufahamu kwa wakati gani na mazingira yapi mtu fulani ataweza kufaa katika nafasi fulani na kumudu majukumu yake kuendana na matarajio yake Rais, kwani Leo ndio Mara ya kwanza kufanya hivyo? Kwani mawaziri wangapi walikuwa katika wizara hiyo na wakapumzishwa na kupisha wengine? Kwani Leo ndio Mara ya kwanza kufanywa utenguzi na uteuzi mpya?

Tumuache mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani afanye kazi na watu au viongozi anaoona wanastahili kumsaidia kwa wakati huu katika kuwatumikia watanzania

Kazi iendeleee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Chawa kabisa! Umenena vyema.
 
Halafu msisahau Mulamula ni msomi ambaye anaweza kurudi UN anytime akiamua. Hana njaa kabisa. Hivi vyeo watishiwe Mawaziri mamburura (wale VIJANA)!
Afudi tuu kwani kakatazwa na nani? Kama ni nafasi ya kisiasa hawezi unless uwe backed na Nchi ila kama ni ya kuajiriwa ni yeye tuu..

Mtu anapiga bil.4 eti ananunua nyumba,huu ni mzaha kwa Wananchi.
 
Inahusika na ujumbe wenu kwenda New York kwenye general assembly na kukaa kwenye hoteli ya kifahari wakati huku mnang'ang'ana na tozo. Kuna clip ipo sosho midia!!!
 
JPM alimtumbua kisa alimshinikiza aende kwenye kikao kimojawapo huko ugaaubuni JPM akamwambia nitaenda, muda ukakaribia Mulala akamkumbusha tena JPM kuwa tunaomba hakikisho lako Mhe. Rais kama unaenda au huendi, JPM akamjibu Mlamula kuwa nitakwambis..

Mlala kama mkuu wa protocal ikabidi amshirikishe marehe Che Nkapa, ndo Nkapa akampigia JPM kumuuliza 'Hivi we unajua una kikao nje na kwa we bado Rais mpya inabidi uende lau ujitambulishe huko kwa wenye dunia yao?'

JPM akamjibu Nkapa kwa upole kuwa nitaenda mzee wangu..

Kwa hasira JPM akamgeukia Mlamla..'we umenishtaki kwa Mkapa ili iweje? sasa SIENDI we nend wewe na huyo Mkapa wako na sitaki kufanyakazi na wewe tena na nisikuone hapo Ifisini ahahaha

Nakumbuka usiku ule Mulamula akampigia mkapa yaliyojili ..Mkapa akaogopa akasema we achana naye Mwehu huyo..ahahaha
 
Mulamula ametumbuliwa. Maswali ni Mengi lkn yapo mawili makubwa yaliyoaibisha nchi yetu kimataifa, yamkini yamesabishwa na makosa ya balozi zetu (zilikuwa chini ya Mulamula) kushindwa kuratibu mambo vizuri?

1. Je, ni ile kadhia ya mama kupandishwa school bus kwenye mazishi ya malkia?

2. Je, ni ile clip iliyoaibisha nchi kwa kumuonesha mama akigonga glasi na Rais Nyusi kisha akamnywesha Rais Nyusi na kunywa mwenyewe kwa glasi ileile?

Au tuhuma hizi zina ukweli?

View attachment 2375381
View attachment 2375383

Tuna haki ya kuuliza na kujua maana wanakula kodi na tozo zetu.
Unamweka Mhaya kuwa Waziri wa Mambo ya nje ya nchi tena mwanamke unategemea nini?
 
JPM alimtumbua kisa alimshinikiza aende kwenye kikao kimojawapo huko ugaaubuni JPM akamwambia nitaenda, muda ukakaribia Mulala akamkumbusha tena JPM kuwa tunaomba hakikisho lako Mhe. Rais kama unaenda au huendi, JPM akamjibu Mlamula kuwa nitakwambis..

Mlala kama mkuu wa protocal ikabidi amshirikishe marehe Che Nkapa, ndo Nkapa akampigia JPM kumuuliza 'Hivi we unajua una kikao nje na kwa we bado Rais mpya inabidi uende lau ujitambulishe huko kwa wenye dunia yao?'

JPM akamjibu Nkapa kwa upole kuwa nitaenda mzee wangu..

Kwa hasira JPM akamgeukia Mlamla..'we umenishtaki kwa Mkapa ili iweje? sasa SIENDI we nend wewe na huyo Mkapa wako na sitaki kufanyakazi na wewe tena na nisikuone hapo Ifisini ahahaha

Nakumbuka usiku ule Mulamula akampigia mkapa yaliyojili ..Mkapa akaogopa akasema we achana naye Mwehu huyo..ahahaha
Hizi wanaitaga "za chini ya uvungu"
 
Kuteuliwa na kufunguliwa ni kautaratibu ka kazi
 
Mulamula ametumbuliwa. Maswali ni Mengi lkn yapo mawili makubwa yaliyoaibisha nchi yetu kimataifa, yamkini yamesabishwa na makosa ya balozi zetu (zilikuwa chini ya Mulamula) kushindwa kuratibu mambo vizuri?

1. Je, ni ile kadhia ya mama kupandishwa school bus kwenye mazishi ya malkia?

2. Je, ni ile clip iliyoaibisha nchi kwa kumuonesha mama akigonga glasi na Rais Nyusi kisha akamnywesha Rais Nyusi na kunywa mwenyewe kwa glasi ileile?

Au tuhuma hizi zina ukweli?

View attachment 2375381
View attachment 2375383

Tuna haki ya kuuliza na kujua maana wanakula kodi na tozo zetu.
mulamul kafanya kazi UN kong time sanaaa
 
Mambo mengine ya siri tusiyoweza yajua hapa. But God is on her side for stand with nation ethics.

Amekubali ku step down kuepuka Yale anaona kesho yeye atakuwa ndio responsible. Ndio màana husikii neno ametumbuliwa.
Au "atapangiwa shughuli nyingine".
 
Back
Top Bottom