Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Kuna ka ugonjwa kanamtafuna. Soon kilio kitamfichua.Nimemuona mheshimiwa Dr. Mwigulu Nchemba ama hayupo sawa. Sio yule tuliyemzoea mwenye uso wenye nuru na bashasha. Nini kinamsibu?
View attachment 3194838View attachment 3194840
Nasikia watuuu wa daslama wanasema ndy wakala mkuu wa mitandao ya simu.Ndio nani huyo kwani...🤔
Nakubaliana na wewe, wapumbavu wengi wanawa judge wenzao kwa muonekano ambao wanahisi na kudhani wao. Wengi wao wanaosema au kuwaita wenzao wamekosa Nuru wachunguze utagundua ni simple minded.Hii kitu ya nuru sikubaliani nayo , nilikua mnene kiasi fulani nikaanza tizi na mlo kamili, kurudi nyumbani watu wakaniambia nimekosa nuru🤔 nikajiuliza kumbe nuru ni kuhifadhi manyama uzembe yasiyo na faida mwilini 🤔
ClassmateNdio nani huyo kwani...🤔
Kweli kabisa mkuu.Nakubaliana na wewe, wapumbavu wengi wanawa judge wenzao kwa muonekano ambao wanahisi na kudhani wao. Wengi wao wanaosema au kuwaita wenzao wamekosa Nuru wachunguze utagundua ni simple minded.
Wizi wa mali ya umma haumwachi mtu salama, wananchi tunalia na kutoa laana kwa viongozi kila kukicha.Nimemuona mheshimiwa Dr. Mwigulu Nchemba ama hayupo sawa. Sio yule tuliyemzoea mwenye uso wenye nuru na bashasha. Nini kinamsibu?
View attachment 3194838View attachment 3194840
Ukifika umri unaanza kuchuja,labda uwe vegetarianAnazeeka
Genuinely ni miaka 42 ila anaonekana kama mtu wa miaka 60+, nafikiri vilio vya wananchi na laana wanazomtupia kwa wizi wa mali za umma zinammaliza kidogo kidogo.Kwani huyu jamaa ana umri gani, maana kwa ninavyomuona hapo inawezekana vyeti na uhalisia ni tofauti.
Mwigulu hawezi kuwa 42, labda in afterlife sio dunia ya sasa. He's over 50 hata muonekano unaonyesha.Genuinely ni miaka 42 ila anaonekana kama mtu wa miaka 60+, nafikiri vilio vya wananchi na laana wanazomtupia kwa wizi wa mali za umma zinammaliza kidogo kidogo.
Sawa ila huyu bado ni bwana mdogo sana, ni laana tu za watu ndizo zinazommaliza na asipo angalia atakuja tu kushituka nanii nayo inamuanguka ghafla.Ukifika umri unaanza kuchuja,labda uwe vegetarian
Jamani narudia, huo muonekano wake ni laana tunazomtupia zinamtafuna tuMwigulu hawezi kuwa 42, labda in afterlife sio dunia ya sasa. He's over 50 hata muonekano unaonyesha.
Malaika wananwita motoniNimemuona mheshimiwa Dr. Mwigulu Nchemba ama hayupo sawa. Sio yule tuliyemzoea mwenye uso wenye nuru na bashasha. Nini kinamsibu?
View attachment 3194838View attachment 3194840
Laana gani!?..mtu 50+ unasema mdogo!?Sawa ila huyu bado ni bwana mdogo sana, ni laana tu za watu ndizo zinazommaliza na asipo angalia atakuja tu kushituka nanii nayo inamuanguka ghafla.
Uzee sio ugonjwa halafu kila mtu atazeeka tu kama atajaliwa maisha marefu.Uzee unabisha hodi kwa kasi, na majukumu yanamzeesha na mbaya zaid si ajabu ana pesa ila hajui azitumie vipi kuuweka mwili sawa walau asizeeke kwa kasi.
Ile timu yake ya kampeni enzi zile ilikuwa kiboko...🤣🤣Mimi huwa najiuliza aliwezaje Kuchora mawe nchi nzima.
Viongozi wengi "Ni kazeze ni kazeze ni kazeze".Nimemuona mheshimiwa Dr. Mwigulu Nchemba ama hayupo sawa. Sio yule tuliyemzoea mwenye uso wenye nuru na bashasha. Nini kinamsibu?
View attachment 3194838View attachment 3194840