ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Usituongopee mkuu, hata sisi tunahitaji nyuso zenye nuru na tabasam. Kukosa nuru ni ishara ya maradhi au/na uchovu.Mwanaume Pesa Nuru waachie wanawake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usituongopee mkuu, hata sisi tunahitaji nyuso zenye nuru na tabasam. Kukosa nuru ni ishara ya maradhi au/na uchovu.Mwanaume Pesa Nuru waachie wanawake
Hauchoki kihivyo😃 huyo ana tatizoHivyo vitatu vinazeesha? Mtu aliyeko early 50s kweli uso umechoka.
Hahah! Hawa mafisad pamoja na kwamba wanapatamo lkn wanakula pesa kwa masimango mazito ningekuwa Mimi siwezi ningeshaachia ngazi mapema. Chakula Cha kula unasemwa hakishuki vizuri aisee!Hizi fedha hizi. Biblia iliposema fedha na mali ni vitu vya kupita haikukosea.
AbeeDaaah we Dada
Hata sijui niandike niniHii kitu ya nuru sikubaliani nayo , nilikua mnene kiasi fulani nikaanza tizi na mlo kamili, kurudi nyumbani watu wakaniambia nimekosa nuru🤔 nikajiuliza kumbe nuru ni kuhifadhi manyama uzembe yasiyo na faida mwilini 🤔
Ume highlights points zile zile;Abee
Kwani hapo Mwiguku kapoteza Nyama? Nuru ni nuru tu hata ukiwa na manyama uzembe au laHii kitu ya nuru sikubaliani nayo , nilikua mnene kiasi fulani nikaanza tizi na mlo kamili, kurudi nyumbani watu wakaniambia nimekosa nuru🤔 nikajiuliza kumbe nuru ni kuhifadhi manyama uzembe yasiyo na faida mwilini 🤔
Kibongo bongo ukivimba mashavu unaonekana umeyapatia maisha.Hata sijui niandike nini
Nuru unakuaje mkuu ?Kwani hapo Mwiguku kapoteza Nyama? Nuru ni nuru tu hata ukiwa na manyama uzembe au la
Yaani mtu amenenepa mpk nuru ya usoni inapotea Kwa kushiba bado unasema hana furaha au unatafuta Kiki mjini,wkt mwendo kasi tu inawashinda halafu mtu anadai hela hakuna wanaenda kopa nje wkt hela ipo Kwa wananchi wanashindwa wawezesha lkn hela ya mzungu ndio nzuriNimemuona mheshimiwa Dr. Mwigulu Nchemba ama hayupo sawa. Sio yule tuliyemzoea mwenye uso wenye nuru na bashasha. Nini kinamsibu?
View attachment 3194838View attachment 3194840
50+Kwani huyu jamaa ana umri gani, maana kwa ninavyomuona hapo inawezekana vyeti na uhalisia ni tofauti.
Sijui umri wake lakini huo uzee wa ghafla ni uchovu, chuki na ufisadi.
Kanenepa sana!Nimemuona mheshimiwa Dr. Mwigulu Nchemba ama hayupo sawa. Sio yule tuliyemzoea mwenye uso wenye nuru na bashasha. Nini kinamsibu?
View attachment 3194838View attachment 3194840
Uko sawa kabisa na ni hatari hata kwa uzao wake.Dhuluma zinazeesha
Si mmesema anaelekezwa Kibla January hii?Nimemuona mheshimiwa Dr. Mwigulu Nchemba ama hayupo sawa. Sio yule tuliyemzoea mwenye uso wenye nuru na bashasha. Nini kinamsibu?
View attachment 3194838View attachment 3194840