Nini kimemsibu Mwigulu? Uso wake umekosa nuru!

Nini kimemsibu Mwigulu? Uso wake umekosa nuru!

Kwanini mkuu?,.

Sometimes ni vichallenge tu vidogo vidogo kama homa mafuaa mtu sura inakosa nuru kiasi lakini watu wanakuza mambo😄😂
Hii kitu ya nuru sikubaliani nayo , nilikua mnene kiasi fulani nikaanza tizi na mlo kamili, kurudi nyumbani watu wakaniambia nimekosa nuru🤔 nikajiuliza kumbe nuru ni kuhifadhi manyama uzembe yasiyo na faida mwilini 🤔
 
Back
Top Bottom