DAMAGE REPAIR ....YA UBAYA WANAOWAFANYIA WAPINZANIA KWA UJUMLA WAO ....
Picha hizo JPM alikuwa waziri!
Najiuliza ni nin kimemsukuma Gersno Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?
Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.
Je,ni hivi hivi tu?
Upendo huu umeanza lini?
View attachment 1398775
View attachment 1398776
Comrade hapa tayari umepanic.
Maendeleo hayana vyama!
Mambo ya juhudi ni upuuzi mtupu,hata wanaofanya hayo mambo ni kwa sababu ya kukosa ukomavu,pia kukosa Upendo kwa nchi yao.LABDA WAMESHAUNGA JUHUDI, TUNAPANGWA KISAIKOLOJIA
Mbowe kakutieni mimba kila mkiamka mnamuwaza yeye tu.hao muda si mrefu watawekwa 'karantini' ya uangalizi wa kisiasa na bw. Mbowe, hapendi kuona hayo yakifanyika.
Ni kejeli tu na madharau.Najiuliza ni nin kimemsukuma Gersno Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo?
Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu.
Je,ni hivi hivi tu?
Upendo huu umeanza lini?
View attachment 1398775
View attachment 1398776
Kama ni hivyo basi, ukipona utalipa, kama Mungu akikupenda zaidi hilo deni litakuwa ndiyo ubani wanguKwa wanaonidai, niko nyumbani. Karibuni lakini mje na dawa ya kikohozi maana hiki kikohozi kikavu kinanisumbua sana.
Kweli kabisaMakosa mengi yaliyopo Leo hasa yamesababisha na Vyama, mfano, Nje ya Chama, ni lini umewahi kumuona Mh Mdee akipelekwa mahakamani?
Nje ya Chama, ni lini Mh Mbowe amewahi kushinda mahakamani Kwa makosa yake?
Nje ya Chama wote ni watu Wema kuliko Bashite, na Kwa maana hiyo utambue wazi kabisa urafiki wa mtu na mtu haijalishi anatokea Chama gani
Nje ya Vyama, Sisi sote tunapendana tena sio kidogo
Lakini ndani ya Chama, shetani anakaa huko, mawazo ya kuvunja mageti ya magereza ni ndani ya Chama,
Ndani ya Chama uzalendo hamna
Ni hayo mkuu