kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Ruwaichi ni mzuri Sana kwenye utume na uinjilishaji sijawahi kuchoka kumsikiliza akihubiriHata mimi nimeiona sasa. Sijui kulikoni.
Wahusika watatufafanulia.Ila binafsi namkubali ARCHBISHOP JUDE THADEUS RUWAICHI kwa utume na uinjilishaji wake. Tangu nimwone jimboni Mwanza mwaka 2012 akitoa kipaimara katika parokia yetu kwa jinsi alivyowauliza walengwa maswali nilianza kumfuatilia mpaka leo.Jaribu kuingia website ya TEC fuatilia katika misa mbalimbali mahubiri yake. Fuatilia anavyovaa ( He embraces simplicity ).
Ukiwa unachangia hivi,,,unapower kubwa ya ushawishiNgoja tumuulize boss wake, papaa Francis huko Vatikano isijekuwa ndiyo katika wale wenye shutuma, maana habari zinaonesha papaa Francis anajaribu kusafisha uozo ndani ya kanisa, alishauriwa kusafisha: Pope Francis must clean up the Vatican
Papaa nae anatumbua!
Fact gani alizotoa tayari mnamajibu mnayo yataka endeleeni nayoFacts kama hizi Magilapeak na timu yake hawana uwezo wa kuzijibu. Ni kukimbia tu.
Nilitaka nishangae usiwepo maana wewe sijui wakristo walikutoa bikra ya tigo bila kukulipa.Ngoja tumuulize boss wake, papaa Francis huko Vatikano isijekuwa ndiyo katika wale wenye shutuma, maana habari zinaonesha papaa Francis anajaribu kusafisha uozo ndani ya kanisa, alishauriwa kusafisha: Pope Francis must clean up the Vatican
Papaa nae anatumbua!
Hautaki nichangie uzi wa wazi? Si mngetumiana pmNilitaka nishangae usiwepo maana wewe sijui wakristo walikutoa bikra ya tigo bila kukulipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaharibu sasa dearHautaki nichangie uzi wa wazi? Si mngetumiana pm
Punguani wahed.
You are extremely intelligent, it is the matter of factHautaki nichangie uzi wa wazi? Si mngetumiana pm
Punguani wahed.
hapana,sio kushika madaraka ya juu ktka kanisa katoloki Tz,,kwa kanisa katoliki hakuna askofu wa jimbo aliyejuu ya mwingine,akofu yuda anakua askofu mkuu wa jimbo kuu Dar na sio Tanzania.Nikweli ulichoandika Pengo anatoka madarakani huo niutaratibu unafanyika kwaajili ya kumuidhinisha Ruwaichi kushika madaraka ya juu ktk Kanisa Katoliki Tanzania, wanaanza kumwondoa kwenye maamuzi ya kikanisa taratibu mpaka muda walioupanga ukifika basi atapumzika kazi nyingi za kikanisa na atabiakia nancheo cha Kadinali mstaafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itachukua Miongo kadhaa Wafipa kupata Tena Madaraka makubwa Baada ya Mizengo Pinda Na Kardinal Pengo
Pengo alikuwa Na Hikma Sana
Maharage ya wapi vile [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nimemkubuka Gwajima
Umeangalia picha ya pili toka kushoto kona ya kushoto kwako? Ni nani huyo? kama kweli upo serious!SOURCE: Website ya Jimbo Kuu la D'Salaam
Nimeshtushwa kuondoloewa kwa Kardinali Polycarp Pengo kwenye website ya Jimbo Kuu la D'Salaam.
Ukiisoma inaonyesha Jude Thadaeus Ruwa'Ichi ndiye Askofu Mkuu wa Jimbo hilo na Eusebius Nzigilwa ni Askofu Msaidizi.
Jamani nikumbusheni. Je, inawezekana Kardinali Pengo ameshaondolewa jimboni ni mimi tu ndiyo sina taarifa?
Je, kuna mjadala wowote humu JF kuhusu kuondolewa Pengo labda umenipita?
Wana JF naomba ufafanuzi maana mantiki sijaielewa.
Website hii hapa:
Archdiocese of Dar-es-Salaam – Roman Catholic
Kwani Pengo alikuwa na madaraka Tanzania nzima??!! we dhehebu gani?!
Archbishop Jude Thaddeus Ruwaichi yuko vizuri sana hata mimi namkubali sana huyu mkapuchini. Yuko simple but tough. Hupendelea kuvaa kanzu lake lile la kijivu la kikapuchini kuliko mavazi ya kiaskofu. Hawatofautiani simplicity na Cardinal Sean Patrick O'Malley OFMcap wa Bostonaisee huyo Ruwaichi napenda sana namna yake ya kuzungumza. Anajiamini na anasema ukweli tupu..... IBADA NYINGI SANA ZA KUSIMIKWA MAASKOFU, MAZISHI YA MAASKOFU, NA IBADA ZA KIASKOFU JAMAA HUWA ANAPEWA NAFASI YA KUHUBIRI. Nilimuna Arusha wakati Lebulu anastaafu.
Mimi siyo mkatoliki lakini huyo askofu namsikilizaga sana... ni mzungumzaji mzuri, hachoshi ukimsikiliza. Mwingine ni yule wa dodoma sijui anaitwa nani ila hao jamaa ni wazuri sana kwenye kuzungumza.Archbishop Jude Thaddeus Ruwaichi yuko vizuri sana hata mimi namkubali sana huyu mkapuchini. Yuko simple but tough. Hupendelea kuvaa kanzu lake lile la kijivu la kikapuchini kuliko mavazi ya kiaskofu. Hawatofautiani simplicity na Cardinal Sean Patrick O'Malley OFMcap wa Boston
Wakati uzi huu unaandikwa alikuwa ameondolewa kwenye websiteUmeangalia picha ya pili toka kushoto kona ya kushoto kwako? Ni nani huyo? kama kweli upo serious!