Nini kimepelekea Kadinali Pengo kuondolewa kwenye tovuti ya Jimbo Kuu la D'Salaam?

Ruwaichi ni mzuri Sana kwenye utume na uinjilishaji sijawahi kuchoka kumsikiliza akihubiri
 
hapana,sio kushika madaraka ya juu ktka kanisa katoloki Tz,,kwa kanisa katoliki hakuna askofu wa jimbo aliyejuu ya mwingine,akofu yuda anakua askofu mkuu wa jimbo kuu Dar na sio Tanzania.
wapo maaskofu wakuu wengi tu Tz kadri ya majimbo yao.
 
aisee huyo Ruwaichi napenda sana namna yake ya kuzungumza. Anajiamini na anasema ukweli tupu..... IBADA NYINGI SANA ZA KUSIMIKWA MAASKOFU, MAZISHI YA MAASKOFU, NA IBADA ZA KIASKOFU JAMAA HUWA ANAPEWA NAFASI YA KUHUBIRI. Nilimuna Arusha wakati Lebulu anastaafu.
 
Huyo angalia
 

Attachments

  • 1553584650689.png
    167.5 KB · Views: 26
Umeangalia picha ya pili toka kushoto kona ya kushoto kwako? Ni nani huyo? kama kweli upo serious!
 
Archbishop Jude Thaddeus Ruwaichi yuko vizuri sana hata mimi namkubali sana huyu mkapuchini. Yuko simple but tough. Hupendelea kuvaa kanzu lake lile la kijivu la kikapuchini kuliko mavazi ya kiaskofu. Hawatofautiani simplicity na Cardinal Sean Patrick O'Malley OFMcap wa Boston
 
Mimi siyo mkatoliki lakini huyo askofu namsikilizaga sana... ni mzungumzaji mzuri, hachoshi ukimsikiliza. Mwingine ni yule wa dodoma sijui anaitwa nani ila hao jamaa ni wazuri sana kwenye kuzungumza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…