Nini kimetokea hadi vijana maarufu wa CCM akina January, Nape, Kigwangalla, Makonda, Gambo nk kuzimika ghafla?

Nini kimetokea hadi vijana maarufu wa CCM akina January, Nape, Kigwangalla, Makonda, Gambo nk kuzimika ghafla?

Kwani vijana BAVICHA wanawakaba hao mataga?

Mbona hamjiamini kiasi hiki?
 
Mlio
Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.

Nini kimewatuliza?

Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.

Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.

Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo

Maendeleo hayana vyama!
Mlio Wa bunduki wa nini wakati hakuna mhalifu?
Chadema imechoka na ACT, sasa watajibu mapigo gani?
 
Nape,January na Makonda walidhani wao ni untouchable kwa kuwa nyakati fulani wamemsaidia mtawala.Wanaweza wakaibuka tena lakini sidhani awamu hii kama watapewa kipaumbele.

Kigwangala ameponzwa na tabia ya kupenda mapambano hata pale alipoonywa na mkubwa wake aliendeleza likembe.
Gambo yule ni invisible atapaa tena.
Gambo ni comeback kid,,yule atarudi juu...
 
Awamu ya kwanza ililea wanasiasa wale wale mpaka wanastaafu na wengine mpaka mauti yalipo wafika. Enzi zile wasomi walikua wachache.

Siku hizi kuna vijana wapya wanaibuka na uwezo mkubwa wa kujenga hoja. Kila mtu ana stahii nafasi.
Kama huyu mh. Mkuu.
Eqdon8fXIAE4JAY.jpg
 
Nape,January na Makonda walidhani wao ni untouchable kwa kuwa nyakati fulani wamemsaidia mtawala.Wanaweza wakaibuka tena lakini sidhani awamu hii kama watapewa kipaumbele.

Kigwangala ameponzwa na tabia ya kupenda mapambano hata pale alipoonywa na mkubwa wake aliendeleza likembe.
Gambo yule ni invisible atapaa tena.
Achana na wote,Ila huyu MAKONDA!!!!!
 
Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.

Nini kimewatuliza?

Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.

Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.

Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo

Maendeleo hayana vyama!
Hata uchawi nao una exipire date.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti.

Nini kimewatuliza?

Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza wamezimika pia.

Mwisho wa uchaguzi ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.

Mungu wabariki vijana wa Afrika akina Bobi Wine na Jaffo

Maendeleo hayana vyama!
uko muda wao sasa hivi chama kipo mikokoni mwa mdhamnini
 
Hawa vijana enzi za JK na awamu ya kwanza ya JPM walijiona wao ndiyo CCM na CCM ndiyo wao...sasa wanalilia tumboni...wana maumivu zaidi ya yale ya wana CDM....

Tena washukuru kupewa hata hako ka ubunge vinginevyo kikwetu kuna msemo kwamba "mchwa ushakula kamba" ..means hakuna ujenzi hapo!!
 
Back
Top Bottom