LGE2024 Nini kimetokea kiasi kwamba Wananchi hawataki kujiandikisha hadi wanafatwa majumbani na wanatoa majibu ya dharau kwa wahamasishaji?

LGE2024 Nini kimetokea kiasi kwamba Wananchi hawataki kujiandikisha hadi wanafatwa majumbani na wanatoa majibu ya dharau kwa wahamasishaji?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Baada ya siku zakujiandikisha vituoni kukamilika nashauri serikali iongeze walau siku3 za waandikishaji kuwafata watu kwenye makazi/kazi zao kama ilivyokuwa sensa.Vinginevyo Hali ni mbaya
Wazir Mchengerwa Mwenye kifua kwenye mambo ya uchaguzi kashaongeza
 
Wanafatwa majumbani na wagombea "kula", ndiyo, "kula", siyo kura.

Ulitaka wasifatwe majumbani? Si wanapewa somo la uraia?
Halafu mnawalaumu waarabu kwanini hawawasaidii wapalestina. Hicho unachofanya ndicho waarabu wanafanya
 
Huenda hizi kauli za makada zime disappoint pakubwa mnooooooooooooooooooo watu ,jamani nilikuwa najipitia zangu tu,nikapita kituoni kujiandikisha yaaaaaani watu hawaendi,kujiandikisha,hivi serikali haijapigia promoooo Sana huu uchaguzi nahizi,yaani watu wengi wako na bize zao tu,namuuliza Mrs wangu ,habari ya kujiandikisha yaani kagoma kabisaaaaaa,Sasa serikali ichukue Kama sampuli,Kuna shida gani,ili nisijezua ugomvi nimeamua kunyamaza tu,lakini naona shida IPO sijui labda ni kwetu tu huku au ni nchi yote?
Shida ipo. Wananchi wako bize na shughuli zao za kujitafutia mlo.
 
Halafu mnawalaumu waarabu kwanini hawawasaidii wapalestina. Hicho unachofanya ndicho waarabu wanafanya
Hahaha.....hakuna anayetaka kujihangaisha kwa sababu ya mtu mwengine
 
H
Viongozi wa upinzani wanalalamika kuwa wanapambana sana kutupigania Watanzania ila sisi hatuko tayari.

Kwamba kijana ni Bora aende akaangalie mpira dakika 90 Tena umbali mrefu kuliko kutumia dakika 2 kujiandikisha mtaani kwake.

Mwanzoni ilikua ni kwamba labda chama tawala kimekosa mvuto wa kushawishi watu kuandikishwa kwenye daftari na labda kwenye kupiga kura BUT inapotokea hata vyama pinzani vina struggle to pull out the crowd kujiandikisha TU basi kunae shida mahala.

SASA ndugu zangu hususani nyie wa vyama vya upinzani Hapa kuna tafiti tano za kitaaluma zinazojadili kwa nini vyama vya upinzani vinakosa mvuto kwa vijana kiasi cha kushindwa shawishi hata zoezi la uandikishaji wapiga kura katika daftari.

Na kwamba kabla ya kulaumu dola, tafiti hizi zitawapa njia na majibu kwanini mna struggle.

1. Barrett, M. & Pachi, D. (2019). Multilevel factors influencing youth political engagement.

Tafiti hii inaeleza kuwa vikwazo vya kimuundo na kisiasa vinavyotokana na mazingira ya kisiasa vinawakatisha tamaa vijana kushiriki siasa rasmi, yakiwemo mazingira ndani ya vyama vya upinzani. Wanaona siasa kama michongo fulani wa wao kutumika tu ili kunufaisha "wahuni" fulani kwa hiyo wanaona CCM na CHADEMA wote ni walewale tu yaani. soma (uk. 231).

2. Fahmy, Eldin (2003). A Disconnected Generation? Encouraging Young People’s Political Participation in the UK. Youth and Policy, 81, uk. 1-20.

Utafiti huu unahusisha kutoshiriki kwa vijana katika siasa na vikwazo vya kijamii na kiuchumi, pamoja na kutokuwa na imani na taasisi za kisiasa. Yaani kijana hawezi kuwa hajala afu ukampangishe foleni kisa tu ni kamanda aisee, hata akienda amini amefata ID ya kukopea Pesa X. Never kwa sababu anampenda Bonifasi.

3. Henn, M. & Foard, N. (2014). Youth political engagement and disengagement in Britain.

Huyu mtafiti yeye anaonyesha kuwa kizazi kipya kimekata tamaa na miundo ya kisiasa ya jadi, yakiwemo vyama vya upinzani, kutokana na mtazamo kuwa havitekelezi kwa ufanisi masuala yao na kimefumbatanisha siasa na uongo uongo na hata easiest way kusema wewe ni muongo watasema tu "oyaa acha siasa..." (uk. 112).

4. Grasso, M. et al. (2018). Youth political development and political socialization. Utafiti huu unasisitiza jinsi mazingira ya kijamii na kisiasa yanavyoumba ushiriki wa kisiasa kwa vijana, ikionyesha kuwa vyama vya upinzani mara nyingi hushindwa kuendana na masuala muhimu kwa vijana, jambo linalopunguza mvuto wao. Yaani mna deal na vijana kwenye matukio yanayowa favor tu kisiasa but som core issue aaaah (uk. 235).

5. Andolina, M. et al. (2003). Influences on youth civic engagement.

Utafiti huu unazingatia ushawishi wa familia, shule, na marafiki katika kutengeneza mitazamo ya kisiasa kwa vijana na kupendekeza kuwa kutoshiriki kwa vijana katika vyama vya upinzani kunatokana na ukosefu wa maadili ya kisiasa kutoka kizazi kimoja hadi kingine.(uk. 319).

Ukisoma vema utagundua mambo kadhaa moja wapo ni kwamba vijana wengine wanaona wanasiasa wote mna akili zinazofanana (which is partially true) na kwamba nyie endeleeni na issue zenu na na wao na issue zao na ikifaa kabisa bora zimwi likujualo kuliko zimwi jipya.

Mnataka ku change a status quo ila maneno na matendo yenu vijana wanaona bora wabaki na walichokizoea.

Nlikutumia case study mfano ni Boniface Jacob alikua Meya Ubungo for almost 10 years, leo Ubungo kuna shida ya maji afu bila kutumia hata akili lawama anampa mwanasiasa aliyepo sasa wakati alikuwa na almost 10 good years Ubungo kama Meya, Mkuu wa Baraza la Madiwani ambae kimajukumu yeye ndio mpitisha bajeti kabisa ya Manispaa ili ampe MED atekeleze ila leo anaweza ruka hata mita 10000 kisiasa kwamba huhusiki na shida za maji ndani ya Ubungo/Kino.

Haya mambo na mengine ndo vijana wanaona ebana eeeh endeleeni navyo. Msilaumu, mlipanda hii mbegu nyinyi wapinzani.
Hizi sababu nyingi ulizotaja ziko Tanzania tu? Nenda Kenya uone vijana wao au nenda USA uone vijana wao walivyo active linapokuja swala la uchaguzi wa viongozi wa Nchi.

Sema tz ni kama alivyosema Rais Moi
 
Wapinzani wantupigania au wanajipigania? Mtu unampigia kura awe mbunge au diwani.anaenda bungeni anakula Bata miaka mitano na kiinua mgongo Cha milioni 250 .wewe kabwela unaendelea kula mihovo na maharage .😂😂😂😂😂😂.huyo uliyemchagua anakuja kukukamua Kodi kama ng'ombe wa kisasa.Angalia wakina Mdee and COVID 19.wanakula Bata wewe unaendelea kupiga makalele eti hawatakiwi bungeni😂😂😂😂. mwenye nacho huongezewa bana.unachagua kiongozi ambaye hana uwezo wa kujenga hoja Ili iwe nini kwa mfano ? Hivi mtu ambaye hakuenda shule au ameishia la sabaana uwezo wa kuchaugua kiongozi wa kumletea maendeleo kweli?akipewa debe la mahindi anaona amepewa dili 😂 😂 😂
 
H

Hizi sababu nyingi ulizotaja ziko Tanzania tu? Nenda Kenya uone vijana wao au nenda USA uone vijana wao walivyo active linapokuja swala la uchaguzi wa viongozi wa Nchi.

Sema tz ni kama alivyosema Rais Moi
Wengine wanasingizia eti mwenge ndio unasababisha Vijana wa bongo wanakuwa watulivu. Shubaamit nyi mlitaka walete vurugu kama wale wahuni wa kenya
 
Wapinzani wantupigania au wanajipigania? Mtu unampigia kura awe mbunge au diwani.anaenda bungeni anakula Bata miaka mitano na kiinua mgongo Cha milioni 250 .wewe kabwela unaendelea kula mihovo na maharage .😂😂😂😂😂😂.huyo uliyemchagua anakuja kukukamua Kodi kama ng'ombe wa kisasa.Angalia wakina Mdee and COVID 19.wanakula Bata wewe unaendelea kupiga makalele eti hawatakiwi bungeni😂😂😂😂. mwenye nacho huongezewa bana.unachagua kiongozi ambaye hana uwezo wa kujenga hoja Ili iwe nini kwa mfano ? Hivi mtu ambaye hakuenda shule au ameishia la sabaana uwezo wa kuchaugua kiongozi wa kumletea maendeleo kweli?akipewa debe la mahindi anaona amepewa dili 😂 😂 😂
Wapinzani wantupigania au wanajipigania? Mtu unampigia kura awe mbunge au diwani.anaenda bungeni anakula Bata miaka mitano na kiinua mgongo Cha milioni 250 .wewe kabwela unaendelea kula mihovo na maharage .😂😂😂😂😂😂.huyo uliyemchagua anakuja kukukamua Kodi kama ng'ombe wa kisasa.Angalia wakina Mdee and COVID 19.wanakula Bata wewe unaendelea kupiga makalele eti hawatakiwi bungeni😂😂😂😂. mwenye nacho huongezewa bana.unachagua kiongozi ambaye hana uwezo wa kujenga hoja Ili iwe nini kwa mfano ? Hivi mtu ambaye hakuenda shule au ameishia la sabaana uwezo wa kuchaugua kiongozi wa kumletea maendeleo kweli?akipewa debe la mahindi anaona amepewa dili 😂 😂 😂
Wapinzani wengi wa bongo ni hawajielewi wao wanatumika viongozi wanafaidi matunda,pesa za ruzuku na marupurupu kibao wanayohongwa na serikali.

Upinzani ni biashara ila watu watakuja kushtuka baadae sana.

Viongozi ndio wanafaidi na chawa wao
 
WaTanganyika wa leo wamejanjaruka! Walitaka Tume huru ya uchaguzi... Ikaletwa kituko.
 
Kabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimiza adhima yao ya kuwachagua viongozi wanaowataka.

Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.

Wananchi walijivunia sana Viparata vyao is it" vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.

Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo

Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?

Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?
Ukweli ni kwamba wananchi wamechoshwa na wababaishaji waliopewa dhamana na chama changu CCM Kwa siku za karibuni!

Ccm hii ya machawa inayogawa baiskeli na piki piki ni ccm mbovu sana haijawahi kutokea!!

Mwenyekiti anatoa rushwa ya wazi kabisa bila soni kabla ya uchaguzi no dhahiri wamekiharibu chama na Sasa Tiss inapaswa kuandaa chama Cha kukipa madaraka 2025 na sio kwa huu utopolo!!
 
Ukweli ni kwamba wananchi wamechoshwa na wababaishaji waliopewa dhamana na chama changu CCM Kwa siku za karibuni!

Ccm hii ya machawa inayogawa baiskeli na piki piki ni ccm mbovu sana haijawahi kutokea!!

Mwenyekiti anatoa rushwa ya wazi kabisa bila soni kabla ya uchaguzi no dhahiri wamekiharibu chama na Sasa Tiss inapaswa kuandaa chama Cha kukipa madaraka 2025 na sio kwa huu utopolo!!
Chama Gani sasa kishike madaraka 2025? Cha upinzani? Hapana aisee.sijaona mimi.watu wanataka kuvunja misingi ya nchi ndo uwape nchi? Hapana.Angalia kule Ukraine kwa kumchagua msanii zelensky nchi imeharibika kabisa kwa sababu kavunja misingi ya nchi.leo wapinzani hawataki mwenge wa uhuru,hawataki muungano,hawataki umoja wa kitaifa Bali majimbo,nk .hao utawapaje nchi kwa mfano
 
Kabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimiza adhima yao ya kuwachagua viongozi wanaowataka.

Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.

Wananchi walijivunia sana Viparata vyao is it" vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.

Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo

Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?

Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?
Baada ya uchaguzi "Kiongozi" na "uongozi" unakuwa ni Mali binafsi ya "muwekezaji" na sio "wawekezaji"
 
Wizi wa kura na matokea ya uchaguzi kupindishwa
Kimsingi mimi sioni umuhimu wa kupga kura mpaka tutakapokuwa na Tume Huru ya uchaguzi

Yaani unaenda kupga kura kushindana na mgombea wa ccm ambapo uchaguzi upo chini ya Wizara ya Tamisemi,

Ni sawa na kucheza mechi na timu ambayo refa ni nahodha wa timu unqyoshndana nayo, akishirikiana na linesman na kamisaa wa mechi halaf utegemee kushinda
 
Kabla ya mwaka 2015 kulikuwa na mwamko mkubwa sana kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha ili kutimiza adhima yao ya kuwachagua viongozi wanaowataka.

Kuanzia 2010 hadi 2015 ulizuka msemo unaitwa Kichinjio. Yaani kadi ya mpiga kura ambapo mwenye nayo anaamua kumkatilia mbali Diwani, Mbunge au Rais anayeonekana hafai kwenye uongozi.

Wananchi walijivunia sana Viparata vyao is it" vichinjio" Ilikuwa hakuna kusukumana kwenda kujiandikisha.

Ghafla bini vuu wananchi wamesusa. Yaani imefika mahala hata ukiwapa rushwa hawaendi Ng'oo

Tutafakari kama taifa nini kimetokea? Je, uzalendo utatoka wapi ikiwa wananchi wanakwama kushiriki mambo ya kitaifa mepesi kama haya?

Je, tunaweza kufikia level ya uzalendo wa Wananchi wa Israel, Irani, Lebanoni au China?
Wako busy mechi ya Simba na yanga jumamosi ijayo baada ya hapo mabishano yake hadi wiki nyingine.

Inawezekana hii ratiba za mechi ya Simba na yanga ilipangwa ili kuwatoa watu kwenye reli; watakapostuka muda wa kujiandikisha umepita.

Wakitoka hapo wanakuja kulialia kwenye key boards. Wameibiwa kura..

Wanasiasa wajanja wanaendelea kuitafuna Tanganyika wajinga wanaendelea kulala usingizi wa pono.
 
Back
Top Bottom