Nini kimetokea kwa hawa wachezaji watatu?

Nini kimetokea kwa hawa wachezaji watatu?

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
FB_IMG_1693434509163.jpg


Nimeona wanatrend sana ni nini haswa kinaendelea? 😂😂😂

Kuna mmoja hapo alipiga hatrick timu ina wachezaji wanne 😂
 
Huyo Max hata kuitwa kufuta viatu vya wenzie hana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwahio wewe unafurahia kufuta viatu vya wenzio sio wewe kweli kolo fc kwa max ni suala la muda tuuu
 
Feisali atawatoa mimba mashabiki wa timu fulani.Kashauzwa huyo.
 
Back
Top Bottom