Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
Labda ni Prof. mzigo maana hata jiwe alimtema piaKazi iendelee!
Nimepitia mkeka mpya wa walioteuliwa kuwa Makatibu Tawala, cha kushangaza nimekutana na jina la Prof. Kahyarara, aliyekuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Zaidi sana utaona ndiye Katibu Mkuu pekee aliyetolewa kwenye hiyo nafasi na kuwa RAS.
Sijui nini kimempata huyu Prof hadi kuonekana hatoshi kwenye nafasi ya kuwa Katibu Mkuu.
Tumtakie kila la heri katika nafasi yake mpya ya Katibu Tawala Mkoa wa Geita.
View attachment 2306732
Ma vyeo ya kuteuliwa huwa hayaeleweki..Kazi iendelee!
Nimepitia mkeka mpya wa walioteuliwa kuwa Makatibu Tawala, cha kushangaza nimekutana na jina la Prof. Kahyarara, aliyekuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Zaidi sana utaona ndiye Katibu Mkuu pekee aliyetolewa kwenye hiyo nafasi na kuwa RAS.
Sijui nini kimempata huyu Prof hadi kuonekana hatoshi kwenye nafasi ya kuwa Katibu Mkuu.
Tumtakie kila la heri katika nafasi yake mpya ya Katibu Tawala Mkoa wa Geita.
View attachment 2306732
Kama cheo gani?Hii nchi ina vyeo vingi vya kijinga ambvyo havina kazi wawakilishi kibao utendaji zero
Wewe taahira kwa sababu hujafikia hiyo status unajua kila mtu ni kabwela kama wewe 😂😂Endelea kuota
Wazee tupo sanaKuna watu wanadhani jf ni watoto tu kumbe na wazee mmo
Umekuja mbiombio sio? Mtoto laini sana weweWewe taahira kwa sababu hujafikia hiyo status unajua kila mtu ni kabwela kama wewe [emoji23][emoji23]
Asingeweza kuwa pamoja na waziri yule ambaye ni kilaza.Kazi iendelee!
Nimepitia mkeka mpya wa walioteuliwa kuwa Makatibu Tawala, cha kushangaza nimekutana na jina la Prof. Kahyarara, aliyekuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Zaidi sana utaona ndiye Katibu Mkuu pekee aliyetolewa kwenye hiyo nafasi na kuwa RAS.
Sijui nini kimempata huyu Prof hadi kuonekana hatoshi kwenye nafasi ya kuwa Katibu Mkuu.
Tumtakie kila la heri katika nafasi yake mpya ya Katibu Tawala Mkoa wa Geita.
View attachment 2306732
Imagine mtu ambae ukarani wa sensa unamtoa jasho ashindane na mtu aliyefikia ngazi ya ukurugenzi wa idara wizarani!!Wewe taahira kwa sababu hujafikia hiyo status unajua kila mtu ni kabwela kama wewe 😂😂
Hongera Sana mkuu. Nimekutana na jamaa aliacha kazi ya ulecture wa university. Sasa ana kampuni yake mwaka wa sitaNilishavuka huko, kipindi naacha kazi serikalini nilifikia ngazi ya ukurugenzi wa idara pale MFA, nikaja huku kwenye international organizations. Siishi maisha ya kupangiwa tena nini cha kufanya. Najipangia mwenyewe na nimejiajiri.
Hiyo siyo nafasi ya mtu binafsiKazi iendelee!
Nimepitia mkeka mpya wa walioteuliwa kuwa Makatibu Tawala, cha kushangaza nimekutana na jina la Prof. Kahyarara, aliyekuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Zaidi sana utaona ndiye Katibu Mkuu pekee aliyetolewa kwenye hiyo nafasi na kuwa RAS.
Sijui nini kimempata huyu Prof hadi kuonekana hatoshi kwenye nafasi ya kuwa Katibu Mkuu.
Tumtakie kila la heri katika nafasi yake mpya ya Katibu Tawala Mkoa wa Geita.
View attachment 2306732
Mkuu mbona umechafukwa sana, alifanyaje?Kahyarara ni mtu wa hovyo sana sijui Samia alimrudisha wanini.
Hana tofauti na wasomi wengine wa kiafrika ambao pamoja na usomi wao hawana tofauti na washenzi.
Kwani yeye hafai kuwa RAS?Kukosea wapi huyu Prof hadi wamtupe huko kwenye uRAS
Mmh sijuiKahyarara ni mtu wa hovyo sana sijui Samia alimrudisha wanini.
Hana tofauti na wasomi wengine wa kiafrika ambao pamoja na usomi wao hawana tofauti na washenzi.
Kuna level ukiipita katika maisha kuna vitu utaona vya kawaida sana. Na kuna level ukiwa katika maisha kuna vitu kwako unaweza kuviona ni ndoto. Kuna mtu anaiona iphone 13 pro max kwake ni ndoto na kuna mtu naona ni kitu cha kawaida.Hongera Sana mkuu. Nimekutana na jamaa aliacha kazi ya ulecture wa university. Sasa ana kampuni yake mwaka wa sita
Kahyarara alifanya madudu ya kutisha pale NSSF, zaidi ya kusifia vyeti vyake na arrogance iliyozidi kipimo huyo jamaa ni mtupu wa kiwango chake. Ieleweke kupata elimu kubwa, kuwa mzuri sana darasani haukufanyi kuwa bora katika service delivery.Mmh sijui
Namfahamu Prof vizuri sana
Wazazi wake ni wacha Mungu sana
Ni familia yenye hofu ya Mungu sana..
Kielimu yupo vizuri ‘he is smart’ that I know for sure… sijui labda uongozi ndio shida but lipo jambo remote ya msoga inaiangamiza nchi hivyo tu…
Prof rudi shuleni kufundisha (abroad)siasa ni mchezo mchafu.
Wapumbavu wengi nchini ndo Wakuu wa Idara. Nikiwa mdogo niliposikia huyu ni Mkuu wa mkoa Nilikuwa naogopa hata kumkaribia maana nilijua ananizidi si cheo Tu lakini hata busara na uwezo wa kupambanua Mambo. Leo wanapewa nafasi hizo watu Wenye kima cha chini cha kufikiri kisa Tu kawasilisha vikaratasi vilivyotolewa na Taasisi za elimu ambazo kumbe zinaendeshwa na vilaza Wenye vyeti.Nchi hii siku ikiacha kuabudu vyeti vya shule pekee na kuangalia ufanisi sidhani kama tutatoka hapo tulipo kwenda hatua nyingine. Kuna shida kubwa sana ya elimu zetu na bahati mbaya tunapeana nafasi sababu ya vyeti bila kuangalia na mambo mengine ya utendaji kazi. Angalia wafanya biashara wa kubwa sio wasomi na hata viongozi bora kutokea pia sio wasomi. Nchi hii tumefika hapa sababu ya hawa hawa wasomi ni wakati utendaji na ufanisi iwe kigezo bila kudharau elimu tufanye mix ya vyote.