Nini kimewakumba wanawake na hii trend ya kutafuta ndoa uzeeni

Nini kimewakumba wanawake na hii trend ya kutafuta ndoa uzeeni

Vladivostok

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2022
Posts
307
Reaction score
1,387
Salam wanajamvi. Katika Siku za karibuni kumeibua wimbi kubwa la wanawake kutafuta ndoa ukianzia Misikitini, Kanisani, mtandaoni na kila sehemu utakuta wanaweka matangozo ya kutafuta waume mbaya zaidi tayari in jua la jioni umri umekwenda.

Kuna kipindi walisema hawaitaji ndoa wakasema tafuta pesa lakini sasa hivi hawesemi tena wote hao wanatafuta ndoa kwa gharama yoyote hadi wengine wanagharamia wenyewe.

Je nini kimewakumba kutaka ndoa uzeeni?
FB_IMG_16641665855726017.jpg
 
Mbona Mlema alioa uzeeni? Na wengine wengi.
We all want to be attached and belong to someone from early stage of our life to the end.
 
Ni ivi hakuna kitu kibaya utakifanya kitakuacha salama ukifanya kitu kweny ujana kama kibaya kitakuja kukutesa mbeleni huko .

Achana na hao wanawake rejea Uzi wa jamaa alizaaa na wanawake watatu tofauti sasa leo 37 years anataka kuoa ila anaona atawatesa watoto kama akioa mke huyu mmoja wengine watakuwa na mama wa kambo.ukijua formula ya kutuliza akili mapema utapata mfanikio mengi mbeleni ya kiuchumi na nafsi kwa ujumla.
 
Ni ivi hakuna kitu kibaya utakifanya kitakuacha salama ukifanya kitu kweny ujana kama kibaya kitakuja kukutesa mbeleni huko .

Achana na hao wanawake rejea Uzi wa jamaa alizaaa na wanawake watatu tofauti sasa leo 37 years anataka kuoa ila anaona atawatesa watoto kama akioa mke huyu mmoja wengine watakuwa na mama wa kambo.ukijua formula ya kutuliza akili mapema utapata mfanikio mengi mbeleni ya kiuchumi na nafsi kwa ujumla.
Yaani!!
 
Shida inaanzia pale wanawake wanapokuwa kwenye ujana wao( kuanzia maiaka 20- 27).Katika huo umri mabinti wengi wanakuwaga very much selective when it comes to choosing their patners.

Unaskia fulani anataka mwanaume tall,black,handsome na awe na pesa.Naye mwingine hataki kuolewa na wanaume kutoka kwa makabila fulani fulani.Yaani wanakuwa very selective na umri nao unazidi kuyoyoma.

Picha linaishi unakuta dada wa wa watu amefikisha miaka 30 ila Bado hajampata mwanaume anayekidhi vigezo vyake.Sasa ndio Hawa akina Isha Mashauzi wanakuja kujistukia uzeeni eti wanaanza kujitangaza kwenye mitandao wakitafuta wanaume wa kuwaoa.
 
Salam wanajamvi. Katika Siku za karibuni kumeibua wimbi kubwa la wanawake kutafuta ndoa ukianzia Misikitini, Kanisani, mtandaoni na kila sehemu utakuta wanaweka matangozo ya kutafuta waume mbaya zaidi tayari in jua la jioni umri umekwenda.

Kuna kipindi walisema hawaitaji ndoa wakasema tafuta pesa lakini sasa hivi hawesemi tena wote hao wanatafuta ndoa kwa gharama yoyote hadi wengine wanagharamia wenyewe.

Je nini kimewakumba kutaka ndoa uzeeni?View attachment 2368295
Aisee namba yake iko wapi jamani? Mtoto ana nido hatari...yaani hapo tittty fvck hadi raha
 
Shida inaanzia pale wanawake wanapokuwa kwenye ujana wao( kuanzia maiaka 20- 27).Katika huo umri mabinti wengi wanakuwaga very much selective when it comes to choosing their patners.

Unaskia fulani anataka mwanaume tall,black,handsome na awe na pesa.Naye mwingine hataki kuolewa na wanaume kutoka kwa makabila fulani fulani.Yaani wanakuwa very selective na umri nao unazidi kuyoyoma.

Picha linaishi unakuta dada wa wa watu amefikisha miaka 30 ila Bado hajampata mwanaume anayekidhi vigezo vyake.Sasa ndio Hawa akina Isha Mashauzi wanakuja kujistukia uzeeni eti wanaanza kujitangaza kwenye mitandao wakitafuta wanaume wa kuwaoa.
Kelsea u asemwa hukuuuuu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mbona Mlema alioa uzeeni? Na wengine wengi.
We all want to be attached and belong to someone from early stage of our life to the end.
Hii ipo Afrika ya weusi tu,kwa wenzetu maisha ni zaidi ya "sexual,emotional personal gratifications,wenzetu maisha ni Fanya jambo litakaloiacha Dunia katika hari Bora kuliko uliyoikuta,
Mtu kama bakheresa,Eron musk hawezi kuwa anawaza misambwanda,na kupiga pipe tu,ana ndoto kubwa zitakazo ishi miaka zaidi ya 50 akishakufa!
 
Shida ni kwa kuwa wanatafuta ndoa wakati wameshachakazwa sana! Anyaway ndoa ni haki ya kila mtu.
 
Back
Top Bottom