Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Huyo Elon Musk ana scandal ya kutoka na mke wa mwanzilishi wa googleHii ipo Afrika ya weusi tu,kwa wenzetu maisha ni zaidi ya "sexual,emotional personal gratifications,wenzetu maisha ni Fanya jambo litakaloiacha Dunia katika hari Bora kuliko uliyoikuta,
Mtu kama bakheresa,Eron musk hawezi kuwa anawaza misambwanda,na kupiga pipe tu,ana ndoto kubwa zitakazo ishi miaka zaidi ya 50 akishakufa!