Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Huyo Elon Musk ana scandal ya kutoka na mke wa mwanzilishi wa googleHii ipo Afrika ya weusi tu,kwa wenzetu maisha ni zaidi ya "sexual,emotional personal gratifications,wenzetu maisha ni Fanya jambo litakaloiacha Dunia katika hari Bora kuliko uliyoikuta,
Mtu kama bakheresa,Eron musk hawezi kuwa anawaza misambwanda,na kupiga pipe tu,ana ndoto kubwa zitakazo ishi miaka zaidi ya 50 akishakufa!
mlema ndo nani mkuu?🤔Mbona Mlema alioa uzeeni? Na wengine wengi.
We all want to be attached and belong to someone from early stage of our life to the end.
Upo sahihi bossNi ivi hakuna kitu kibaya utakifanya kitakuacha salama ukifanya kitu kweny ujana kama kibaya kitakuja kukutesa mbeleni huko .
Achana na hao wanawake rejea Uzi wa jamaa alizaaa na wanawake watatu tofauti sasa leo 37 years anataka kuoa ila anaona atawatesa watoto kama akioa mke huyu mmoja wengine watakuwa na mama wa kambo.ukijua formula ya kutuliza akili mapema utapata mfanikio mengi mbeleni ya kiuchumi na nafsi kwa ujumla.
Aliimba kassim mganga[emoji28][emoji106]Usije itaka harusi kwa pupa
Dedication kwa mama JAliimba kassim mganga[emoji28][emoji106]
Ha ha ha.....kabisa chief[emoji4]Dedication kwa mama J
Mwambie shemeji yake wa Jf kamtumiaHa ha ha.....kabisa chief[emoji4]
Nini kilitokea baada ya kufariki?! Au unajifanya hujui kilichompeleka yule dada?!Mbona Mlema alioa uzeeni? Na wengine wengi.
We all want to be attached and belong to someone from early stage of our life to the end.
Mrema alifiwa na mke, je hao wamefiwa na mme?Mbona Mlema alioa uzeeni? Na wengine wengi.
We all want to be attached and belong to someone from early stage of our life to the end.
ana mtindo wa kupiga V kwenye top zake, nido kama ina bulge kimtindo ivi na green veins kwa mbaaliMtoto ana nido hatari