Nini kimewarejeshea Profesa Baregu na Safari imani dhidi ya CHADEMA?

Nini kimewarejeshea Profesa Baregu na Safari imani dhidi ya CHADEMA?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Profesa Baregu na Safari walipotea hewani kwa muda Sasa lakini ghafla baada ya Chadema kuwatimua Wabunge 19 wasomi Hawa wanaonekana kupata nguvu nakuanza kuonyesha imani kubwa kwa Chadema.

Si Hawa tu Bali wasomi wengi wamejitokeza kwenye mitandao kuishabikia Chadema, Je, hii ni ishara kwamba Chadema inapiga Vita vyema kuliko kipindi Cha nyuma?

Kama wazee wamekubali kutofautisha maslahi ya Taifa na maslahi binafsi, kwanini vijana tusiwekeze nje ya siasa tupate mtaji wakuendesha siasa kuliko kusubiri tuajiriwe na siasa kama walivyolemazwa ndugu zetu?
 
Chadema ni sacos ya mbowe na kundi lake, ndo maana wameanza kuondoka, baada ya masrahi yao kuisha, nabado utasikia heche yupo ujerumani na bagonza yupo uingereza.
 
Chadema ni sacos ya mbowe na kundi lake, ndo maana wameanza kuondoka, baada ya masrahi yao kuisha, nabado utasikia heche yupo ujerumani na bagonza yupo uingereza.
Ukisikia heche kaenda ujerumani, ujue kakimbia mkono wa chuma wa dikiteta magufuli, bagonza tayari katishwa, muda si mrefu naye atakimbia nchi!
 
Prof Safari alitangaza amestaafu siasa, tena CDM walimzodoa baada ya kutoa baadhi ya ushauri wakati anatangaza kustaafa. Ninacho ona Mbowe anahitaji wenye akili nyuma yake, wote waliokuwa think tank ya CDM hawapo tena, wamebaki waropokaji na wanasiasa.

Ni bahati mbaya tu muda umeshawatupa mkono hao ma Prof na kina cha maji waliyozama CDM tayari ni kirefu sana, kuikoa CDM kwa sasa inahitaji kudra tu za mwenyezi Mungu maana wameshazungukwa na CCM kila kona.
 
Chadema ni sacos ya mbowe na kundi lake, ndo maana wameanza kuondoka, baada ya masrahi yao kuisha, nabado utasikia heche yupo ujerumani na bagonza yupo uingereza.
Inaonyesha inakuuma sanaa hadi unasema personal attack kwa kufukuzwa hao 19
Lkn tayari alishakuwa ivyo
 
Prof Safari alitangaza amestaafu siasa, tena CDM walimzodoa baada ya kutoa baadhi ya ushauri wakati anatangaza kustaafa. Ninacho ona Mbowe anahitaji wenye akili nyuma yake, wote waliokuwa think tank ya CDM hawapo tena, wamebaki waropokaji na wanasiasa.

Ni bahati mbaya tu muda umeshawatupa mkono hao ma Prof na kina cha maji waliyozama CDM tayari ni kirefu sana, kuikoa CDM kwa sasa inahitaji kudra tu za mwenyezi Mungu maana wameshazungukwa na CCM kila kona.
Mlisema hivyo mpaka kufikia miezi miwili kabla ya Oct 28

Mlichokiona wenyewe mlitaharuki, ukiachilia mbali wasanii mliokua nao na mashangingi yakutosha

Lakini bado mlikimbizwa ulimi nje mkaona bora mvuruge uchaguzi maana mlikua tayari mnatweta

CHADEMA never DIE
 
Prof Baregu na Safari walipotea hewani kwa muda Sasa lakini ghafla baada ya Chadema kuwatimua Wabunge 19 wasomi Hawa wanaonekana kupata nguvu nakuanza kuonyesha imani kubwa kwa Chadema.

Si Hawa tu Bali wasomi wengi wamejitokeza kwenye mitandao kuishabikia Chadema, Je, hii ni ishara kwamba Chadema inapiga Vita vyema kuliko kipindi Cha nyuma? Kama wazee wamekubali kutofautisha maslahi ya Taifa na maslahi binafsi, kwanini vijana tusiwekeze nje ya siasa tupate mtaji hawakuendesha siasa kuliko kusubiri tuajiriwe na siasa kama walivyolemazwa ndugu zetu?
Chadema imekufa,hata kama waionee huruma namna gani. Prof Safari alishuhudia Mbowe akiuza game kwa Edo, hakukemea kitu,leo anakumbuka neti asubuhi?
 
Back
Top Bottom