wewe ulizihesabu fedha zilizonunulia game? Acha utopolo!Chadema imekufa,hata kama waionee huruma namna gani. Prof Safari alishuhudia Mbowe akiuza game kwa Edo, hakukemea kitu,leo anakumbuka neti asubuhi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ulizihesabu fedha zilizonunulia game? Acha utopolo!Chadema imekufa,hata kama waionee huruma namna gani. Prof Safari alishuhudia Mbowe akiuza game kwa Edo, hakukemea kitu,leo anakumbuka neti asubuhi?
Chadema siyo chama cha siasa nishasema! Nikibubu cha watu.
🤸wewe ulizihesabu fedha zilizonunulia game? Acha utopolo!
Hakuna ccm yoyote iliyoizunguka cdm, bali kuna madaraka ya urais yanayotumika vibaya kuihujumu cdm.Prof Safari alitangaza amestaafu siasa, tena CDM walimzodoa baada ya kutoa baadhi ya ushauri wakati anatangaza kustaafa. Ninacho ona Mbowe anahitaji wenye akili nyuma yake, wote waliokuwa think tank ya CDM hawapo tena, wamebaki waropokaji na wanasiasa.
Ni bahati mbaya tu muda umeshawatupa mkono hao ma Prof na kina cha maji waliyozama CDM tayari ni kirefu sana, kuikoa CDM kwa sasa inahitaji kudra tu za mwenyezi Mungu maana wameshazungukwa na CCM kila kona.
Wanakufuata wewe mjinga mwenzao! Ukitoka na wao watatoka.Sijui kwanini wajinga wanazidi kujazana JF!