Pole
miss strong,Umesema hali hii imetokea mara ya kwanza kwako kwahio sidhani kama unasababu ya kuhofia..Ila ikiendelea kujitokeza nakushauri ukamuona daktari wa wanawake(gynocologyist)
Hali uliyokuwa nayo inaweza kusababishwa na vitu tofauti:
- Hormonal imbalance ambayo inawakuta sana wamama watu wazima wanaokaribia post menopause..hali hii husababisha siku zipotee ikisha zinarudi ghalfa.
- Sababu nyingine ni ABNORMAL THICKENING OF UTERUS LINING hali hii pia inaweza kusababishwa na hormal imbalance mfano kwasababu ya kutumia njia tofauti za uzazi wa mpango
- POLYPS/FIBROIDS pia zinaweza kusababisha irregular mensturation