Baba mlezi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 237
- 48
Du hii noma nikadhani alivoambiwa na madaktari walikuwa wanamtania kumbe kweli hata humu napata jibu hilo hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My dia pole........ila umewahi kumwona dactari.....
Nimewahi kusikia pia vidonge vya uzazi wa mpango
huwa inasababisha pia khali hii,imekutokea mara nyingi !!!!!
Pole sana dear wangu
- Ulikua katika dozi yoyote ya dawa?
- Umebadili mazingira?
- Kwa kawaida mzunguko wako ni wa siku ngapi? Au ni wa namna gani(regular or irregular)
Bi dada japo huwa navaa suruali ila ujuzi hauna mipaka...kuna sababu anuai za hali hii kutokea! Yumkini umebadili mazingira uliyokuwa unaishi kigeografia ama kupata na msongo wa mawazo karibuni! Pia kuna matumizi ya madawa/kemikali ambazo hii inaweza kuwa mojawapo ya side effect! Muhimu ni kuwaona wataalamu wa kitabibu kabla hali haijawa ya kudumu!
ni hali ya kawaida tu hiyo wala sio tatizo linalo hitaji utabibu,
simply ni kwamba ulikuwa na multiple maturation ya ova na amabzo ziliforce endometrium thickening kwa haraka kabla mzunguko haujaisha.
uzuri uterus inajins ya kujilinda so ilipoona endometrium imekuwa thick ilibidi erosion ifanyike. sio kitu kipya labda kwakua ndio umeona kwa mara ya kwanza kwako.
linekuwa ni tatizo la kitabibu kama damu yake inakuja na maumivu makali halafu ni dysfunctional yaani inatoka tu bila sababu unajikuta mwezi mzima bado inatoka tu.
Hata hivyo nikupe hingera kwamba bado u-kigori
Asante dada gfsonwin......
Ni kweli mara ya kwanza imenitokea,nashukuru kwa ushaur wako ingawa wakitaalamu sana.
Thanks kwa ushaur wako.......kuhusu msongo wa mawazo hapana kwa sasa maana nipo kawaida tu.Ntacheck hali mpk kesho then fasta ntakwenda hospitali
hapo bold sasa ulitaka uwe wa aina gani??
kumbuka afya haina njia nyingine lazima useme ukweli tu.
huwez ukaliita jicho pua.
huna tatizo mwaya relax na endelea na maisha yako ya kawaida mumie!!
Pole lakini...kuwa mwanamke ni issue sana,mama yangu mwanamke najua...na namheshimu sana huyu bi dada wa zamani japo alinitwanga sana kwa makosa ambayo mengine aliover look! Nikiona mwanume anayempiga mwanamke huwa nafikiri alijizaa mwenyewe! Quote me!
pole my twin. mie sina utaalamu katika hilo. labda umsome Chocs hapo juu. kama hakuna katika hayo basi nikuitie MziziMkavu aje labda atatusaidia.
Habar wana Jf.........
Tarehe 21 ya mwez uliopita nilimaliza hedhi yangu lakin kinachonishangaza jana tarehe 6 nmeanza kupata siku zangu.
Naombeni ushaur wenu jaman maana haijawahi tokea hali hii!!!!!!
Je kufululiza kunywa ulabu inaweza ikawa sababu???
Naomben ushaur wenu
Heaven on Earth, DEMBA, Madame B, Chocs, Karucee, mimi49, Smile, atug, charminglady, ladydoctor, Kongosho, Mamndenyi na wana jf kwa ujumla!!!!
Pole sana mamie... Ngoja tuwaite MaDr waje....
Wapi Dr. Riwa, MziziMkavu, mimi49 na mummy measkron....