Nini kina sababisha siku za hedhi kupitiliza kama huna mimba?

Nini kina sababisha siku za hedhi kupitiliza kama huna mimba?

Ahahahahahahh, nivea bhana lol!
Mwaya nenda kamuone daktari bingwa wa magonjwa ya akina mama hope utasidika
hahaaahahahahah shost wangu hujambo ni moja ya diagnosisi na troubleshooting za kwanza
 
Pole.ngoja niku-PM tiba yake.
Ila ingekuwa vizuri kama ungehamishia ujumbe huu JF Doctor
 
mh, umetumia family planning drugs? anyway nenda hospitali ukapate ufumbuzi
 
niliwahi kusikia kitu kama hiki pale Arusha mpaka yule mdada akafa kwa mateso makubwa sana.
mume /mke wa mtu sumuuuuu kaka wadad wengi wameekufa mtindo huo nilishuudia hapo kigamboni dada huyo alivuja damu akawa kama karatasi kwenye upepo kisa mume wa mtu watch your step lady ni moja ya troubleshooting other wise aende hospitali
 
Athari za Mbuzi Kagoma hizo......(just kidding) Paloma njoo usaidie huku si juzi ulinambia una the same problem??
 
''jamani mimi ni msichana mwenye umri wa miaka ishirini na saba, tokea wiki iliyopita, nimepatwa na hili tatizo japo awali ilikuwa siku nne au tatu sasa naona zimezidi, kwa anayejua tiba, ushauri, nisaidieni wakuu ili shemeji yenu apate huduma''

kama umetumia sindano za family planing zaweza kua sababu..me nlichoma nlibleed mwezi mzima,nkarudia tena ili nijue km ndo zimenletea shida nkakuta nizenyewe..baada yakuacha nimerudia hali yakawaida..
 
Asanteni wakuu kwa ushauri, ilianza tar,27 mwezi april, nkajua bada sku tatu itakata, dah? Ndio ikawa mwendelezo, pia ni mara ya kwanza ktk maisha yangu!
 
Nenda hospital, kwa kawaida mwanamke anatakiwa pate siku zisizidi siku 7, zaidi ya hapo ni abnormal. Hii inaweza kuwa uterine fibroid au dysfunctional uterine bleeding. Nenda hospital ili waone shida ni nini.
 
Hili siyo tatizo la kulifumbia macho hata kama likikoma onana na watalumu wa matizo hayo. Ila kama unatumia njia za uzazi wa mpango some times inatokea matatizo kama haya jambo si kwa wote usijali utapona upesi God be with you!
 
Kwa dalili ulizotaja, waweza kuwa una uterine fibroid au dysfunctional uterine bleeding. Kwa maelezo zaidi nenda ktk kituo cha huduma za afya ya akina mama kilicho karibu nawe. Kwa maelezo ya awali soma hapa chini

Uterine fibroids are benign tumors that originate in the uterus (womb). Although they are composed of the same smooth muscle fibers as the uterine wall (myometrium), they are many times denser than normal myometrium. Uterine fibroids are usually round or semi-round in shape.
[h=4]
Uterine fibroids: are often described based upon their location within the uterus. Subserosal fibroids are located beneath the serosa (the lining membrane on the outside of the organ). These often appear localized on the outside surface of the uterus or may be attached to the outside surface by a pedicle. Submucosal (submucous) fibroids are located inside the uterine cavity beneath the lining of the uterus. Intramural fibroids are located within the muscular wall of the uterus.

Dysfun
ctional uterine bleeding is irregular bleeding from the uterus. For example, you may get your period more often than every 21 days or farther apart than 35 days. Your period may last longer than 7 days. It is not serious, but it can be annoying and disrupt your life. In most cases, this problem is related to changes in hormone levels. It is not caused by other medical conditions, such as miscarriage, fibroids, cancer, or blood clotting problems. Your doctor will rule out these and other causes of vaginal bleeding to confirm that you have dysfunctional uterine bleeding.[/h]Source 1: Uterine Fibroids Symptoms, Emobilization, Causes, Surgery - MedicineNet
Source 2: Dysfunctional Uterine Bleeding-Topic Overview
 
Back
Top Bottom