Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Ni muhimu kufahamu tatizo hili limekuwa la muda gani, na mp yako inachukua siku ngapi kuisha, wewe una umri gani, huwa unapata siku zako kila mwezi au la? Mambo mengine ni ya uchunguzi zaidi kwenye njia yako ya uzazi.Hivyo kwa ufupi nakushauri uonane na gynacologist.
mp yangu inachukua siku 3 ya 4 inaruka na kumalizikia ya 5. umri wangu ni kati ya 25-29. huwa napata siku kila mwezi. niimwona gyno ndio akanipa hvo vidonge tajwa hapo juu lakn tatizo bado halijaisha