wilsonwizzo3
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 625
- 2,704
aisee kumbe Arusha bado sana yaani kumbe stand ipo mjini!!!!
serikali kama vile imewasahau flani hivi,jiji la tatu kwa ukubwa halafu kweli ikosekane stand ya mabus tu!!!
ni kama vile kwa Mwanza jiji la pili ila hakuna airport iliyokidhi international standard
vitu kama hivi ni aibu kwa serikali ya ccm