ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Kweli Arusha initially aibu, stand gani hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Arusha initially aibu, stand gani hii?
[emoji38]Nmeondoka Arusha mwaka 2011, kumbe stand ni ile ile [emoji15] ile sio stand ule ni uwanja wa maegesho ya magari ya mikoani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawataki ijengwe nje ya mji.
AiseeGambo akiwa mkuu wa mkoa na baadhi ya viongozi wenzake walitaka ijengwe eneo walilohodhi aridhi kubwa ili walipwe fidia, serikali wakati wa mh. Lukuvi ikashtuka.
Kajambe mbeleHebu sema ujinga wa watu wa Arusha ni upi?
Kinachokwamisha ni kuwakuwa watu wa kanda ya kaskazini wanajitambua hivyo serikali ya CCM kwakuwa inapenda wajinga na kuchukia wanaojitambua basi inafanya kukomoa.
Ila sisi hatujali. Miundombinu ni muhimu lakini pia quality of life na uwezo wa mtu mmoja mmoja (per Capita Income) ndio unapima maendeleo.
Ndio maana mikoa mingine japo wana ma stand na mamiundombinu mazuri lakini bado ni maskini.
Chagua mwenyewe. Kanda ya kaskazini ina watu wenye kujitambua.
Fungu la ujenzi liliamishwa hadi hapo viongozi wa mkoa wakiwemo madiwani uchwara watakaposema imetosha ijengwe kule serikali ilipoamua.Aisee
Sasa wamefikia wapi?
Mikoa karibu yote stand zimejengwa.
Mtabaki Arusha tu😂
Stendi inajengwa mwezi wa saba mwaka huu kwenye mradi wa Tactic🙏🙏Fungu la ujenzi liliamishwa hadi hapo viongozi wa mkoa wakiwemo madiwani uchwara watakaposema imetosha ijengwe kule serikali ilipoamua.
Bahati mbaya sana hawakujua kipindi kile wanaweka ubishi kwa mtu aliyekuwa na usongo wa pesa, legendary JPM so mzee baba akahamishia mkoa mwingine.
Huyu RC wa sasa mzee Mongella vile hana nguvu but angeweza mshawishi Mama President amwage mpunga, maana mkoa kitalii huu upo kiuchafu uchafu tu.
Ngoja tuone mradi ukianza, tatizo hawa watu wa arusha wana ujuaji wakipumbavu na ujinga, wakicheza tena na huu mradi wasahau kuhusu stendi.Wameamua wafanye kimya kimya siyo?.
Habari bila picha hainogi