Nini kinaendelea kati ya viongozi wa Simba na Manara?

Nini kinaendelea kati ya viongozi wa Simba na Manara?

Ila Watanzania bana. Wewe sheria za wafanyakazi wenzio wote umehudhuria. Je ambazo hujahudhuria uko na mgogoro nao?
 
Kwa ufatiliaji wangu wa mitandao ya kijamii mpaka muda huu katika harusi ya ndugu yetu Manara Jana, sijamuona kuongozi yeyote wa Bodi ya Simba, sio Moo, Hans, Babra wala Rage. Je hii inamaana gani hawakupewa mialiko au?

Nimemuona hadi GSM pale, nimeona viongozi wengi na mashabiki wengi lialia wa Yanga wanampongeza ila Mo hata kupost insta hajapost, Simba SC nao insta hawajapost.

Je, inamaanisha kuna sintofahamu ndani ya Msimbazi kati ya matajiri na Manara au ni Mimi tu sijapata kuona ila walikuwepo wote?
Hoyo harusi imegharimiwa kila kitu na gsm ndio maana viongozi wa simba,walikataa kwenda
 
Utopolo mnawekeza nguvu nyingi kwenye kufitini kama kina mama. mlikuja na Kagere na Boko mkapewa spana mmekuja na stori za manara eti hajapostiwa. dume zima unalilia manara kupostiwa
 
Kwa ufatiliaji wangu wa mitandao ya kijamii mpaka muda huu katika harusi ya ndugu yetu Manara Jana, sijamuona kuongozi yeyote wa Bodi ya Simba, sio Moo, Hans, Babra wala Rage. Je, hii inamaana gani hawakupewa mialiko au?

Nimemuona hadi GSM pale, nimeona viongozi wengi na mashabiki wengi lialia wa Yanga wanampongeza ila Mo hata kupost insta hajapost, Simba SC nao insta hawajapost.

Je, inamaanisha kuna sintofahamu ndani ya Msimbazi kati ya matajiri na Manara au ni Mimi tu sijapata kuona ila walikuwepo wote?
Haji ni mtoto wa Yanga japo yuko Simba kiufupi "mzazi hauwi!"
 
Asee!
Ndiko tumefika huku?
Watu kama wewe unataka kuwaendesha matajiri kwa ushabiki wa bongo fleva na team wema?

Wanaume wa darisalama mnakwama wapi?Au we si mwanaume?
Isingekuwa umejiita Mr_X mi ningeamini ni demu tu kaandika mambo yao ya insta.
Kwa ufatiliaji wangu wa mitandao ya kijamii mpaka muda huu katika harusi ya ndugu yetu Manara Jana, sijamuona kuongozi yeyote wa Bodi ya Simba, sio Moo, Hans, Babra wala Rage. Je, hii inamaana gani hawakupewa mialiko au?

Nimemuona hadi GSM pale, nimeona viongozi wengi na mashabiki wengi lialia wa Yanga wanampongeza ila Mo hata kupost insta hajapost, Simba SC nao insta hawajapost.

Je, inamaanisha kuna sintofahamu ndani ya Msimbazi kati ya matajiri na Manara au ni Mimi tu sijapata kuona ila walikuwepo wote?
 
Hivi aliyewaambia Manara ni Simba nani?
Manara yupo Simba kikazi zaidi.

Ni mpenzi na mkereketwa wa Yanga. Na ndio maana kawaalika Yanga wenzie.

Mwenyewe anajisifia mtoto wake Yanga lialia. Mliokuja mjini miaka ya Karibuni au umri wenu mdogo atawazuga sana.
 
Back
Top Bottom