Nini kinaendelea kati ya viongozi wa Simba na Manara?

Nini kinaendelea kati ya viongozi wa Simba na Manara?

Umesema kweli, nadhani kitu kimoja hata viongozi wanatamani sana wamuondoe Manara, wanaamini sana kwamba manara anajipatia umaarufu kupitia matangazo mbali mbali na wadhamini sema kinachowazingua ni reaction ya mashabiki Manara ameshajijenga saaana hata wakimuondoa hiyo reaction ya mashabiki sijui itakuaje tu.

Nimeongea hivyo kufuatia ile issues ya Kaduguda kwenda WASAFI then akajisafisha peke yake zigo lolote la lawama akamptupia Manara.

Ni mawazo yangu tu lakini.
Dawa ni kumwambia alete vyeti vya shule.
 
Niligundua kuwa simba kuna tatizo siku ile walipotoa taarifa ya kukana alichozungumza, halafu eti hiyo taarifa imetoka katika ofisi ya habari ya simba ambayo Manara ni mhusika na hajui kaandika nani.
Nadhani busara ingetumika kama Manara alizungumza vile, wangemwomba akaombe msamaha mwenyewe au kutolea ufafanuzi wa kauli yake na sio kumkana kwa njia ile.
 
Kwa ufatiliaji wangu wa mitandao ya kijamii mpaka muda huu katika harusi ya ndugu yetu Manara Jana, sijamuona kuongozi yeyote wa Bodi ya Simba, sio Moo, Hans, Babra wala Rage. Je, hii inamaana gani hawakupewa mialiko au?

Nimemuona hadi GSM pale, nimeona viongozi wengi na mashabiki wengi lialia wa Yanga wanampongeza ila Mo hata kupost insta hajapost, Simba SC nao insta hawajapost.

Je, inamaanisha kuna sintofahamu ndani ya Msimbazi kati ya matajiri na Manara au ni Mimi tu sijapata kuona ila walikuwepo wote?
Watu wa Utopolo mnapenda sana vya bure mlienda kula tu pale.
 
Hivi aliyewaambia Manara ni Simba nani?
Manara yupo Simba kikazi zaidi.

Ni mpenzi na mkereketwa wa Yanga. Na ndio maana kawaalika Yanga wenzie.

Mwenyewe anajisifia mtoto wake Yanga lialia. Mliokuja mjini miaka ya Karibuni au umri wenu mdogo atawazuga sana.
Sawa mke wa Manara
 
Inakusaidia nini wewe viongozi wa simba wakipost picgmha za harusi ya manara?
 
Kwa ufatiliaji wangu wa mitandao ya kijamii mpaka muda huu katika harusi ya ndugu yetu Manara Jana, sijamuona kuongozi yeyote wa Bodi ya Simba, sio Moo, Hans, Babra wala Rage. Je, hii inamaana gani hawakupewa mialiko au?

Nimemuona hadi GSM pale, nimeona viongozi wengi na mashabiki wengi lialia wa Yanga wanampongeza ila Mo hata kupost insta hajapost, Simba SC nao insta hawajapost.

Je, inamaanisha kuna sintofahamu ndani ya Msimbazi kati ya matajiri na Manara au ni Mimi tu sijapata kuona ila walikuwepo wote?
Huo ni uwezo wako Mdgo wa Ku evaluate and analyze mambo. Issue ya harusi sio ya klabu. Think twice
 
Sawa mke wa Manara
Inaonekana imekuuma sana kusikia
Ambacho hukipendi.

Wengi mmemjua baada ya kuwa msemaji Simba. Kiasi unaamini hakuna anayemjua kabla.

Kwa taarifa yako baba yake mzazi ni mshikaji wangu na ndugu zake nafahamiana nao kitambo.

Mliokuja mjini miaka ya 2000 mkifika mjini mnasumbuankwa ushamba kujifanya mnajua.
 
Kwa ufatiliaji wangu wa mitandao ya kijamii mpaka muda huu katika harusi ya ndugu yetu Manara Jana, sijamuona kuongozi yeyote wa Bodi ya Simba, sio Moo, Hans, Babra wala Rage. Je, hii inamaana gani hawakupewa mialiko au?

Nimemuona hadi GSM pale, nimeona viongozi wengi na mashabiki wengi lialia wa Yanga wanampongeza ila Mo hata kupost insta hajapost, Simba SC nao insta hawajapost.

Je, inamaanisha kuna sintofahamu ndani ya Msimbazi kati ya matajiri na Manara au ni Mimi tu sijapata kuona ila walikuwepo wote?
Nyie wanawake huwa kwa kufuatilia issues za watu hamjambo. Fanyeni kazi jamani.huu muda mnatoa wapi?yaani ni udaku kila sehemu. Get busy woman. Sisi wanaume hata kujua hilo jambo hatukujua.
 
Nyie wanawake huwa kwa kufuatilia issues za watu hamjambo. Fanyeni kazi jamani.huu muda mnatoa wapi?yaani ni udaku kila sehemu. Get busy woman. Sisi wanaume hata kujua hilo jambo hatukujua.
Sema Babra kasimama mzee, nisham DM sana insta hajibu, una connection zake?
 
Back
Top Bottom