Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Shule ya msingi ikifutiwa matokeo au ikishikiliwa (withheld) matokeo kwa kosa la uongozi wa shule kufanya udanganyifu nini kinafuata ili watoto waweze kuchaguliwa kuendelea elimu ya upili( secondary)?
~ Watarudia mitihani?
~ Watapewa muda gani kujiandaa na mitihani?
~ Kuchaguliwa shule za sekondari nafasi zao zitakuwaje? Hii inaleta usumbufu sana kwa wazazi na wanafunzi ambao hawahusishwi katika kupanga kufanya udanganyifu.
~ Wakirudi shule gharama atabeba nani?
~ Je, serikali itawasaidia wazazi wasibebeshwe mzigo wa gharama za ziada?
Mwenye uzoefu au taarifa sahihi atuelekeze hapa.
Watu wa wizara husika tunaomba maelezo juu ya hili muweze kupunguza taharuki kwa wazazi na walezi ambao wana watoto wahanga wa tukio hili ambao hawana uzoefu wa kukumbwa na kadhia hii.
~ Watarudia mitihani?
~ Watapewa muda gani kujiandaa na mitihani?
~ Kuchaguliwa shule za sekondari nafasi zao zitakuwaje? Hii inaleta usumbufu sana kwa wazazi na wanafunzi ambao hawahusishwi katika kupanga kufanya udanganyifu.
~ Wakirudi shule gharama atabeba nani?
~ Je, serikali itawasaidia wazazi wasibebeshwe mzigo wa gharama za ziada?
Mwenye uzoefu au taarifa sahihi atuelekeze hapa.
Watu wa wizara husika tunaomba maelezo juu ya hili muweze kupunguza taharuki kwa wazazi na walezi ambao wana watoto wahanga wa tukio hili ambao hawana uzoefu wa kukumbwa na kadhia hii.